wanawake

Maendeleo Ya Wanawake Organisation (MYWO) is a women's NGO that deals with issues to do with women's rights and gender equity in Kenya. It was founded by Jemimah Gecaga in 1952 and has approximately 600,000 groups contributing to a total membership of about two million women. It is currently chaired by Rukia Subow and has various agendas in its mission statement, including maternal, child health and family planning and training women in leadership and development.Historically it was promoted by the British during their colonial rule over Kenya and helped provide services only for those against the Mau Mau anti-colonial uprising.Ruth Habwe served as secretary general of the organization from 1968 until 1971.

View More On Wikipedia.org
  1. GuDume

    Hili suala linakuaje, huyu dada amekuja mara ya tatu ofisini kwangu kutoa gesi. wanawake wa siku hizi hamna aibu?

    Sijui kama niwe na hasira au kawaida tu maana pengine mimi naweza kuwa nime mind lakini kwa wengine ni jambo la kawaida sana. huyu dada tupo naye ofisini.. ni dada mzuri kwa sura ,rangi na umbo. tabia sijui ingawa nimeanza kupata mashaka sana. Huyu dada kuna siku alikuja ofisini akasema amekuja...
  2. Zurie

    Tunajiremba kwa pesa zetu, kinachowaumiza wanaume ni kipi?

    Wanaume naomba niwaulize kitu kimoja, Kwanini mnaumia sana sisi kujiremba? Yaani nafanya kazi, natengeneza pesa, naenda saluni natengeneza nywele zangu, nabandika kucha, naweka kope zangu za bandia kwa pesa zangu. Mwanaume anatoka huko roho inamuuma eti "Akina dada wanajiremba sana, ooh sipendi...
  3. super black

    Vitu 10 ambavyo wanawake wamewazidi wanaume

    Vitu 10 Ambavyo Wanawake Wamewazidi Wanaume...![emoji116] 1. Wana Nguo Nyingi Kuliko Wanaume. 2. Wanafahamu Nani Ni Baba Halisi Wa Watoto Wao. 3. Ni Wepesi Kupenda Na Wakipenda Hupenda Kweli. 4.Wanaoga Mara Nyingi Zaidi Kwa Siku. 5. Wana Huruma Sana Ingawa Mara Nyingi Huwa Inawaponza. 6. Wana...
  4. RAGNAR LOTH

    Kijana epuka ndoa na wanawake wenye kazi hizi

    Mwalimu : Wengi wenu mna dhana potofu kwamba ukioa mwalimu mpo in safe side. Hawa watu akili zao zimelala fofofo. Mtu anayeridhirika na ujira wa laki 3 kwa mwezi kwa kutoa sadaka siku zake 30 kwa mwezi ni wa kumuepuka. Hana changamoto mpya katika maisha. Akirudi kazini yuko exhausted kabisa...
  5. Eddy Love

    Wanawake hivi mkiachana kwenye mapenzi ni lazima muwe maadui?

    Unakuta mwanamke hujawai kutembea naye wala kumfanyia baya lolote lile lakini bahati mbaya mahusiano yamevunjika tu ghafla, hakuna mawasiliano pande zote mbili lakini siku unamuona online umemtumia tu ujumbe wa kumsalimu povu linamtoka vibaya na tena haliishii hapo atatoa nyuzi zinazokuhusu wewe...
  6. STUNTER

    Kambi la masoja: Wanaume tunapeana maujanja ya vitu ambavyo ulikuwa huvijui kuhusu wanawake

    Enzi hizo kabla ya kuwaelewa wasichana vizuri kuna-stage wanaume tunapitia na huwa mara nyingi tukikaa tunajazana mauongo uongo mengi kiasi kwamba mpaka ukitoka hapo kama kuwaogopa wasichana basi unawaogopa kweli na kama kuwapenda basi unawapenda kweli. Karibuni tujadili propaganda ambazo...
  7. kiwatengu

    Wadada/Wanawake JF wapo!! Verification

    Wakuu! Nimeona nyuzi kadhaa na comments kadhaa hapa jukwaani, zikilalamika sana juu ya wanaume kutumia ID za kike ili kupata umaarufu. Wengi wanasema Jf hakuna hii jinsia pendwa ya KE. Ninaomba tufanye verification kidogo hapa, ili mambo yakae sawa. Mimi nitawataja wadada waliopo humu ambao...
  8. Trigonometry

    Kwanini wanawake wanaamini kuwa mwanaume mwenye gari ndio sahihi?

    Kwanini wanawake wanaamini kwamba mwanaume mwenye gari ndo mume sahihi? Je akili zao ziko miguuni hawa wanawake?
  9. juvenile davis

    Shituka: Hizi ndio mbinu za wanawake wa kuwapata mitandaoni

    Kama hujawahi kupata demu Badoo, Fb, Instagram, Sexchat, Jf, Telegram basi wewe una matatizo na sio kidume kamili ila kama ni fala unaweza ukapunyuliwa vipesa vyako na papuchi usipewe ila kwa sisi makonkodi huwa tunawapa vipara na hela hawapati (tunawakopa) mbinu zao ni hizi hapa[emoji116]...
  10. manSniper

    Kwanini wanawake mnatusumbua mkiwa wajawazito?

    Mimi nimechoka na hali ya wife yaani ana mimba ya miezi 2 now. Yani nyumba imekua kero mara leo nataka kuku wa kienyeji, mara mbuzi, mara nisiende kazini anataka tuu tukae nae home, ila hataki kabisa tushiriki tendo la utamu, nimechoka sasa upepo wake umehamia kwenye supu na machungwa, nimechoka...
  11. The Game Changer

    Je, ni kweli wanaooa wanawake wa kizungu wanaoa reject materials?

    Nilikuwa napiga soga kidogo na rafiki yangu aliyewahi kukaa Nchi za scandinavia na akanidondoshea hili: Ukiwa maeneo kama Finland, Sweden etc wanawake wanapatikana free, akimaanisha kwamba ukitaka mwanamke wa kizungu kwa ajili ya ku enjoy naye usiku ni rahisi tu, jichanganye club, cheza vizuri...
  12. holygrail

    Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

    Yaani wadada wa siku hizi sijui wakoje, wanakeraaaa. Unakuta dada mzuri ajabu, shepu shepu, nyuma ana kifurushi cha haja mweh, kuja mbele sasa, chevuuuu, tumbo hilo! Uzuri wote chalii! Tatizo siku hizi mumezidi kuwa waroho, mnakula sana kuliko hata midume, machips mayai, manyama choma, mabia...
  13. Akili Unazo!

    Kwanini wanawake wengi wana mihemko ya Uzinzi miaka hii hata aliyeko kwenye ndoa anazini?

    Kwa kipindi cha mwaka mmoja nimefuatilia maada nyingi humu ndani hakika wanawake wamezidi kufanya ngono ndani ya mahusiano. Yaani kuna matukio yanajitokeza mpaka unashindwa kuelewa kama wana moyo wa huruma au wameingiliwa na shetani gani. Mtu unaingia kwenye Ndoa kwa kusahau yote aliyoyapitia...
  14. The only

    Wanawake wa Kigoma eneo dogo la Ujiji ni balaa, Tanga haioni ndani...

    Mwaveja sana! Asee mimi nilikuwa sijapata fika Kigoma maisha yangu nimedate watanga wengi tuu ila hawa balaa, kimaisha ujiji pamefanana na Bagamoyo wanaume ni wavivu hucheza bao na kahawa muda mwingi shughuli wanayoitegemea ni mawese huvuna na kuchuja baasi, na vijana ni wavuvi. Les go to ma...
  15. Teamo

    MJADALA: Kwanini Wanawake wanaongoza kuwa na majini/mapepo kwa kasi kuliko Wanaume?

    MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU: Salaam wakuu wangu! It's been long time since i posted a thread herein lakini haina mbaya kiviile manake makamanda mnawakilisha kama ilivyo ada! STRAIGHT TO THE TOPIC: Nimeangalia sana kwa uchunguzi wangu wa muda mrefu nikagundua kuwa: 1) Asilimia kubwa sana...
  16. Mshiiri

    Je, Wanaume wengi hufa mapema kutokana na msongo wa mawazo (frustrations) unaosababishwa na wake zao?

    Ni muda mrefu nimekuwa nafanya utafiti katika hii kanda ya mapenzi na kugundua kuwa wanaume wengi hufa kabla ya wake zao hata kama wamezaliwa mwaka mmoja na kubaini kuwa tabia za wake zao huwafadhaisha na kuwafanya waishi maisha magumu sana na kupata yale maradhi ya kufisha kama HYPERTENSION...
Back
Top Bottom