Kwanini wanawake wa Kitanzania siku hizi wanamwita Zari the boss lady "Bibi Tukinao"?

Freed Freed

JF-Expert Member
Jun 27, 2017
6,230
6,469
Halo JF celebrities.

Nimekuwa nikiona mitandaoni, Zari The Boss Lady akiitwa Bi Tukinao! Wanaomwita hivyo ni wanawake. Sasa hili jina maana yake nini na kwanini kabatizwa hivyo?
 
Hawa choka mbaya wana wivu tu na huyo mama wa kiganda

Hivi tukiwapanga hapa Zari,Wema,Mange,Lulu,Hamisa.
Kati ya hao kama hatuto wauliza umri nani anatakiwa kuitwa bibi tukinao ?
 
  • Thanks
Reactions: amu
Back
Top Bottom