Natumai hamjambo wakuu
Jana nikiwa katika harakati zangu za hapa na pale nilikutana na dada mmoja matata wa age ya 27-30, nikawa nimemwelewa sana nikaomba tubadilishane contact akakubali but alikuja nitibua nilipomuuliza ushadate na wangapi eti kwa umri huo ananijbu wawili, dah! alinikata stim kabisa hadi nikagairisha mtongoza.
Niwaase wadada mpunguze uongo usio na tija coz kuna nyakati mtakuja chezea bahati mkachengana na magari ya mishahara.
Jana nikiwa katika harakati zangu za hapa na pale nilikutana na dada mmoja matata wa age ya 27-30, nikawa nimemwelewa sana nikaomba tubadilishane contact akakubali but alikuja nitibua nilipomuuliza ushadate na wangapi eti kwa umri huo ananijbu wawili, dah! alinikata stim kabisa hadi nikagairisha mtongoza.
Niwaase wadada mpunguze uongo usio na tija coz kuna nyakati mtakuja chezea bahati mkachengana na magari ya mishahara.