Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,052
- 12,906
Kwa utafiti wangu wanawake wengi wa siku hizi hawajui kupika au mapishi kwa ujumla wake.
Wanawake wengi wa siku hizi wanaamini viungo vingi kwenye mboga ndio mapishi mazuri.
Mbona inawekewa viungo vingi hadi inapoteza ladha. Hakuna tofauti ya mapishi ya nyumbani ya mboga fresh kabisa na mapishi ya KFC ambapo unakuta kuku alichinjwa hata miezi 8 iliyopita. Kwa KFC kuwekea kuku viungo vingi sana angalau ipate ladha ni sahihi maana kuku au mboga zao nyingi sio fresh, kuku ana miezi 8 toka amechinjwa, ukimla bila viungo ni tasteless kabisa.
Ukija huku kwetu tuna mboga fresh kabisa, ng'ombe au kuku amechinjwa leo ama jana ila viungo anavyowekewa anapoteza ladha kabisa. Unakua ni sawa inapata ladha ya viungo na sio mboga au nyama yenyewe, ile teste ya kuku au nyama halisi huipati.
Kwa mapishi ya siku hizi ukitaka kupata real taste ya nyama labda uende bar ule nyama choma au kuku choma au uchome mwenyewe nyumbani. Ama unywe supu tu.
Nyama inawekewa vitunguu maji, vitunguu swaumu, pilipili hoho, karoti, nyanya, meat masala, royco mchuzi mix na viungo vingine. Hapo huwezi kupata real taste ya nyama.
Mama zetu zamani walikua wakipika nyama viungo vichache sana unakula unapata ladha halisi ya kuku au nyama.
Kina mama acheni kurundika viungo vingi kwenye mboga, inapoteza ladha.
Wanawake wengi wa siku hizi wanaamini viungo vingi kwenye mboga ndio mapishi mazuri.
Mbona inawekewa viungo vingi hadi inapoteza ladha. Hakuna tofauti ya mapishi ya nyumbani ya mboga fresh kabisa na mapishi ya KFC ambapo unakuta kuku alichinjwa hata miezi 8 iliyopita. Kwa KFC kuwekea kuku viungo vingi sana angalau ipate ladha ni sahihi maana kuku au mboga zao nyingi sio fresh, kuku ana miezi 8 toka amechinjwa, ukimla bila viungo ni tasteless kabisa.
Ukija huku kwetu tuna mboga fresh kabisa, ng'ombe au kuku amechinjwa leo ama jana ila viungo anavyowekewa anapoteza ladha kabisa. Unakua ni sawa inapata ladha ya viungo na sio mboga au nyama yenyewe, ile teste ya kuku au nyama halisi huipati.
Kwa mapishi ya siku hizi ukitaka kupata real taste ya nyama labda uende bar ule nyama choma au kuku choma au uchome mwenyewe nyumbani. Ama unywe supu tu.
Nyama inawekewa vitunguu maji, vitunguu swaumu, pilipili hoho, karoti, nyanya, meat masala, royco mchuzi mix na viungo vingine. Hapo huwezi kupata real taste ya nyama.
Mama zetu zamani walikua wakipika nyama viungo vichache sana unakula unapata ladha halisi ya kuku au nyama.
Kina mama acheni kurundika viungo vingi kwenye mboga, inapoteza ladha.