wanawake

Maendeleo Ya Wanawake Organisation (MYWO) is a women's NGO that deals with issues to do with women's rights and gender equity in Kenya. It was founded by Jemimah Gecaga in 1952 and has approximately 600,000 groups contributing to a total membership of about two million women. It is currently chaired by Rukia Subow and has various agendas in its mission statement, including maternal, child health and family planning and training women in leadership and development.Historically it was promoted by the British during their colonial rule over Kenya and helped provide services only for those against the Mau Mau anti-colonial uprising.Ruth Habwe served as secretary general of the organization from 1968 until 1971.

View More On Wikipedia.org
  1. Analogia Malenga

    Utafiti: Wanawake waliowazidi waume zao kwa miaka kumi au zaidi wanaridhika na kufurahia mahusiano kuliko wenye umri sawa

    Watu wengi hawapendelei mahusiano ambayo mwanamke ni mkubwa kiumri kuliko mwanaume. Mwanamke mwenye umri mkubwa anayetaka kutembea na vijana wadogo, kwa kiingereza huitwa Cougar, lakini wao hawana jina kwa vijana wa kiume wanaotaka wanawake wakubwa. Tanzania vijana hao huitwa vibenten Hali ya...
  2. dubu

    Wanawake wenye Matege are second to none, hutajuta

    Wakuu, Nliamua kufanya uchunguzi, tena wa kina kwa kipindi cha mvua na jua. Nikagundua wanawake wenye matege watamu sana wengi wao hawajijui kama ni watamu. Uke wao unatoa ushirikiano. Nlifanya mlinganisho nikakuta. 1. Wanakunjika vyovyote utakavyo. 2. Wameongezewa sukari nyingi na hii...
  3. Melanny

    Naomba kuongea na wanawake wenzangu ambao wapo kwenye ndoa na ambao mna matarajio ya kuja kuolewa

    Amani iwe nanyi.. Nawaombeni radhi kama ntakuwa nimewakwazaa. Wanawake wenzangu.mimi ni msichana na huwa nina marafiki wengi sana wakiume. Marafiki wa kike sina mazoea nao saana.coz hawawezi kukisaidia plus wivu hata kitu kidogo tu. Katika marafiki zangu wengi ambao ninao wakiume 95% huwa...
  4. beth

    Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR): Asilimia 70 ya Saratani yabainika kwa Wanawake

    Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), imesema mzigo wa magonjwa ya saratani upo kwa wanawake kwa asilimia 70. Pia imesema hakuna takwimu za kuthibitisha Kanda ya Ziwa inaongoza kwa matukio ya saratani nchini. Hayo yalielezwa jana na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi hiyo, Prof...
  5. Abunwasi

    Maajabu ya wanawake yaliyowashinda hata wana falsafa kuelewa

    Wanajamvi, Hii nimeikuta ukutani kwangu nikaona kubwa ni busara kueleta hapa ingawa kwenye hili mimi sina upande ninaoshabikia . 'Wanawake ni binadamu wa ajabu sana katika uso huu wa Dunia yaani hawa watu ni next level, kuwaelewa ni ishu iliyowashinda hata wana falsafa, Newton na uwezo wake...
  6. Superbug

    Suruali ya mwanaume kutuna sehemu ya mbele huongeza nyota ya kupendwa sana na wanawake

    Nimefanya utafiti kwa muda mrefu na kwa sample kubwa nikagundua kwamba ukiwa unahutubia au uko mbele ya hadhara ya wadada watupu wewe peke yako ukawa ndio mwanaume pale halafu suruali ikatuna kwa mbele (sio saaana mpaka ikawa aibu ) basi utapendwa Sana na zaidi ya nusu ya hao wadada...
  7. Electrician JF

    Wanawake jambo hili likiwatokea mnajisikiaje?

    Wewe ni ke alafu mdogo wako au dada ikitotea mmetembea kimapenzi na mwanaume na mwanaume mmoja ikitokea mmefahamu huwa mnajisikiaje? Dada chuo kikuu mdogo mtu A level
  8. S

    Kweli wanawake na maendeleo!?

    Mchezo huu ambaye hajawahi kuchezewa anyoshe kidole: Demu anakuhaidi anakuja getoo full kusafisha na perfume inaishia kuumwa milija ya pumbu popote waweze kuchezea Kwa mfanya mwanamke HELA, Gari n.k
  9. N

    Wanawake mjifunze kutoka kwa Meghan Markle, mpelekeshe mwanaume unavyojisikia

    Mambo ya kupiga magoti kwa wakwe yashapitwa na wakati. Wanawake siku hizi wamesoma na wana mishahara yao. Wanaume muanze kujipanga
  10. W

    Hivi kwanini baadhi ya wanawake hamtakiani mema?

    Kwanini wanawake anapokuja mwanamke mwezako anataka ushauri unamuangamiza kwa chuki ambazo labda wewe umepitia badala ya kumtakia heri na mawazo mazuri!
  11. H

    Wellu Sengo: Wanawake wanaopenda wanaume kisa hela wanakosea

    Malkia wa kiwanda Cha bongo movie kwa jina lingine anaitwa "maltida" ambaye pia yupo kwenye tamthiliya ya "Rebecca" inayooneshwa na DSTV amefunguka wakati anafanyiwa mahojiano na millardayo nakusema wanawake wenzake wanaopenda wanaume kwa kuangalia kigezo Cha pesa hawana tofauti na Malaya cos...
  12. Analogia Malenga

    Anywa mikojo ya Wanawake nusu lita ili kukata pombe

    Jamaa mmoja nchini Uganda aliyetambulika kwa jina la Ismail Dholaga mwenye miaka 35, amelazimika kunywa lita moja na nusu ya mikojo ya wanawake ili kurejesha fahamu baada ya kulewa tilalila. Ismail Dholaga ambaye anafanya kazi ya udereva wa pikipiki (bodaboda) alilazimishwa kufanyiwa kitendo...
  13. Analogia Malenga

    Magufuli: Nitaendelea kutumbua majizi 2020

    Aidha, alitaja miradi hiyo kuwa ni ununuzi wa ndege, kujenga reli na elimu bure, huku akitaka Watanzania kudumisha amani na upendo ili uwe mwaka wa maendeleo na ustawi kwa taifa. Kwa mujibu wa salamu za Mwaka Mpya kwa Watanzania zilizopo kwenye taarifa kwa vyombo vya habari, Rais Magufuli...
  14. Babu sea

    Wanawake kuvaa pete kwenye 'index finger' inaashiria nini?

    Habari zenu wadau, Happy New Year Siku hizi kuna kamtindo ka wadada maeneo mbalimbali ya Tz mfano hata hapa Dar hupendelea kuvaa pete lakini pete hiyo ukiichunguza unakuta si ya ndoa inafanana fanana na springi ndogo. Mara nyingi wadada hawa unakuta wamevaa pete hizo kidole cha index (hiki...
  15. Lizzy116

    Siri 6 za wanawake ambazo kamwe hawawezi kukuambia

    1. Idadi ya wapenzi wake wa zamani Wanaume wengi hupenda kujua wao ni wangapi kuwa na mwanamke Fulani. Lakini mwanamke kamwe hawezi akakwambia wewe ni wa ngapi. Kumuuliza jambo hili kunamkera sana mwanamke na ndio maana mara nyingi hawezi akakwambia ukweli. 2. Anakulinganisha na mpenzi wa...
  16. Mukulu wa Bakulu

    Wanawake akili zao wanazijua wenyewe

    Wanawake ukifikiria unashindwa kuelewa hawa watu akili zao zinafanyaje kazi, zinazunguka ant-clockwise ama nini? Nilikua na mpenzi wangu, akawa ananichukulia poa, nikajua huyo ana mwanaume mwingine anaempa kiburi tu, sikujali sana, kapigwa mimba huko na mshikaji kakataa mimba, nashangaa akaanza...
  17. Etwege

    Aina za wanawake wanaodumu kwenye ndoa Tanzania

    Utafiti unaonyesha kuwa ndoa za Vijijini ndio zinadumu kuliko za Mijini pia unaeleza kuwa ndoa zinazofungishwa kimila ndio zinadumu kuliko zinazofungishwa Kidini na Kikatiba (Kanisani, Miskitini na Mahakamani) Utafiti unaonyesha Wanawake wa Makabila 20 bora Tanzania wanaodumu kwenye ndoa kama...
  18. Paula Paul

    Wanawake tumekuwa tukiwaweka wanaume kwenye ‘friend-zone’, sasa wamekuja na hii

    Hi guys, Kikawaida na mara nyingi mwanaume ndio wanakuwa wahanga wa kuwa friendzoned na wanawake ambao wana hisia nao za kimapenzi. Na wanawake tunayo tabia ya kuwa friendzone wanaume ambao wameshaonesha hisia za kimapenzi kwetu lakini hatujavutiwa nao kama wapenzi. Mbali na kuwakataa kama...
Back
Top Bottom