wanawake

Maendeleo Ya Wanawake Organisation (MYWO) is a women's NGO that deals with issues to do with women's rights and gender equity in Kenya. It was founded by Jemimah Gecaga in 1952 and has approximately 600,000 groups contributing to a total membership of about two million women. It is currently chaired by Rukia Subow and has various agendas in its mission statement, including maternal, child health and family planning and training women in leadership and development.Historically it was promoted by the British during their colonial rule over Kenya and helped provide services only for those against the Mau Mau anti-colonial uprising.Ruth Habwe served as secretary general of the organization from 1968 until 1971.

View More On Wikipedia.org
  1. Y

    Dah! Ila wanawake mnavumilia mengi

    Natumai hamjambo wakuu Jana nilikua naongea na dada angu kwa simu, katika mazungumzo nikatia utani kidogo, dada angu ulivyo mzuri hivyo ilikuaje ukaolewa na sura ngumu vile? Akajibu ukiwa na kipato sura ngumu inavumilika kaka angu. Nadhani hakupenda utani ule then mwisho akanambia kaka...
  2. T

    Spika Ndugai na wabunge Wanawake (Viti Maalum)

    Leo nimemsikia Spika akiongea kuwa humo mjengoni hakuna siyejua shida wanazopitia wabunge wa viti maalum wa Chadema. Imekuwa siri ya wazi na iliyokubalika kwa jamii kuwa ukitaka viti maalum Chadema, lazima Mwenyekiti na kambi yake waridhishwe na wewe. Ila leo ndo mara ya kwanza kumsikia mkuu...
  3. Melanny

    Wanawake tulio mbali na wenza wetu tujadili changamoto tunazopata na jinsi ya kuzitatua

    Habari zenu wanawake wenzangu wa MMU. Karibuni tujadili changamoto zinazotupata kipindi ambacho wapenzi wetu wawapo mbali, kikazi au kwa shughuli yoyote ile inayowafanya msionane kwa mda mrefu. Mimi binafsi MUME wangu sipo naye karibu, ninaweza kukaa week 3 mpaka miezi 3 bila kuonana...
  4. The Mongolian Savage

    Nimekoma kuwapigia wanawake miluzi ninapoendesha Baiskeli

    Mzuka Wanajamvi, Baada ya umbea wa COVID-19 kwenye kijiwe chetu. Nikachukua baiskeli yangu kuelekea ghetto. Njiani kwa mbele kulikuwa na mwanamke nikampigia miluzi na sauti za busu ili anipishe. Alipogeuka kwa mshangao kumbe mama mkwe wangu Yani nilinyonga faster kuelekea upande wa akina...
  5. Superbug

    Siku nikifa wanawake watalia mnoo.

    Siijui hiyo siku ila itakapokuja utakuwa msiba wa wanawake hakika. Kuanzia upanga mpaka tukuyu Buzurugwa mpaka korogwe Naples mpaka turini Ngarenaro mpaka same Rukwa mpaka lufilyo Moshi mpaka makorora Kisumu mpaka horohoro Bigwa Moro mpaka wanging'ombe Songea mpaka chalinze Mtalia na...
  6. Chereko tena

    Wanawake, unatumiaje vocha hadi inaisha bila kumkumbuka aliyekutumia?

    Wanabodi habarini, ninahtaji msaada wa ushauri kwa experienced people whether wamefanya au ona kwa macho au wenye kuwa na uzoefu Kumekuwa na mazoea ambayo baadhi yetu yanasokota mioyo yetu hasa pale unamtumia mpenzi wako vocha pengine ya1000/5000-unamtumia kwa lengo la upendo, ukitaraji pengine...
  7. Mzukulu

    Kwanini Wanawake wengi wa Dar es Salaam siku hizi wanapenda kuishi Kikolabo?

    Kila Mwanamke utakayekutana naye tu ukimuuliza kapanga wapi atakumbia sehemu fulani lakini ni lazima atasema anaishi na Mwenzake. Kumetokea nini kwani mbona huko nyuma Wanawake wengi wa Dar walikuwa wanaishi peke yao tu? Na kwanini pia Wadada (Wanawake) wengi wa Mkoani Dar es Salaam Siku hizi...
  8. Mzukulu

    Wanawake wenye miaka 38-48...

    Kwanini Wanawake walio na Umri kati ya Miaka 38 hadi 48 ni wepesi sana Kutongozeka halafu ni Ving'ang'anizi sana Kimahusiano? Uzoefu wenu unahitajika sana Wandugu juu ya hili Suala nililolileta hapa mbeleni yenu kwani lipo sana tu.
  9. safuher

    Wanaume tunapokutana na wanawake kuna ambao wanavutia kwa ndoa na kuna ambao wanavutia kwa ngono tu

    Wengi hushangaa kwa nini kajikuta kaoa mwanamke mwenye heshima na adabu msomi lakini sio mzuri,hana umbile ambalo alitamani hapo mwanzo awe nalo mwanamke atakaemuoa. Wanaume wengi utawakuta wameoa wanawake ambao wako nje na malengo yao ya zamani na maisha bado yanakwenda. Wakati mwingine huwa...
  10. Bushmamy

    Nifanyeje kuwasaidia hawa wanawake waliotelekezwa?

    Wakuu naandika haha huku moyoni Nikita na uchungu sana kwa. Kweli. Hapa mitaani ninapokaa kuna baadhi ya wamama wakiwa na watoto wao wadogo waliotelekezwa na waume zao wanateseka sana hapa mitaani na kutokana na kula yao kuwa ya shida afya zao sio nzuri na wengine kupelekea kuwaachisha...
  11. Maleven

    Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19

    Uzi huu ni mrefu. Ukichangia naomba ujikite Zaidi katika kutoa maoni yako lakini kukosoa kunaruhusiwa. Binafsi nadhani maamuzi haya yangechukuliwa mwezi mmoja uliopita pale Waziri Mkuu alipotangaza kuzifunga shule na vyuo, lakini haikuwa hivyo badala yake shule zilifungwa kisha hakukuwa na...
  12. Mzukulu

    Unadhani hawa Wanaume wangekosa hizi Silaha muhimu za Wanawake wangechukua Silaha zao zingine zipi wajikinge na CORONA?

    Baadhi ya Wanawake katika eneo la Trans Nzoia Kenya wamelalamikia tabia ya Wanaume kukata sidiria za Wake zao na kuzigeuza barakoa(mask) kwa madai ya kukosa pesa za kununua mask ili kujikinga na corona ” Wazee wanakata Bra (sidiria) zetu na kuzivaa, tena wengine hawajawai hata kutununulia...
  13. Superbug

    Asilimia 98% ya mawazo yangu nawaza wanawake

    Naombeni msaada asilimia 98 ya mawazo yangu nawaza wanawake Yani kila baada ya dk 2/3 lazima niwaze wanawake hivi ni Mimi peke yangu au wanaume wote. Mimi najihisi Nina tatizo naomba msaada wa kisaikolojia. Hii Hali naona sio ya kawaida.
  14. beth

    UNHCR: Wanawake wakimbizi wapo katika hatari ya kunyanyaswa kijinsia wakati huu wa mlipuko wa Corona

    Shirika la UNHCR ambalo linashughulika na wakimbizi limesema kutokana na janga la COVID19, Wanawake na Wasichana wapo katika hatari kubwa ya kunyanyaswa kijinsia UNHCR imesema kufuatia nchi nyingi kufunga mipaka ili kujikinga na maambukizi ya Virusi vya Corona, misaada iliyokuwa ikitolewa kwa...
  15. Superbug

    Kwanini wanawake wanavaa skin Tait?

    Hii nguo inafaida gani kwa wanawake skin Tait kwanini hasa ivaliwe mbona zamani walivaa underskirt kwanini wameacha underskirt wamerukia skin Tait hili swali linaniumiza sana.
  16. Equation x

    Najiuliza huyu aliyeleta utaratibu wa mwanaume kutokumiliki wanawake wengi alikuwa na makusudi gani?

    Asili ya jinsia ya kiume ni kumiliki majike wengi, angalia wanyama, ndege, samaki n.k Na kwa idadi iliyopo duniani wanawake ni wengi kuliko wanaume. Na wengi wanahitaji kuwa kwenye mahusiano na wanaume, ila kutokana na uchache wa wanaume wanaishia kutamani kwa macho. Najiuliza huyu aliyeleta...
  17. Numbisa

    Lockdown yawa mateso kwa wanawake nchini ghana

  18. Superbug

    Baby Kabae ana mvuto mno ni kati ya wanawake wa daraja la kwanza Tanzania

    Kwakweli huyu mtangazaji wa clouds 360 baby kabae ana mvuto mnoo. Ni mzuri Ana exposure Si mjivuni Social Mambo Safi Natamani kumjua zaidi hasa historia yake na asili yake. Baby kabae jua kabisa katika watu wanaokupenda hapa duniani superbug yupo top three. Kama upo humu jf basi like hii post...
  19. Kipenzi Changu

    Wanawake wengi wameshikiwa akili na washauri wa mitandaoni?

    Sijui kama ni mfumo wa maisha umebadilika au lah. Kumeibuka kundi kubwa la washauri wa mambo ya mahusiano huko mitandaoni hususasi facebook. Baadhi yao wanatumia majina ya Iddi Makengo, Chrisa Mauki na wengine wengi Tatizo langu sio hao washauri, bali ni hawa baadhi ya watu wanaopeleka...
  20. Mtuflani Official

    Wanawake 5 mastaa wenye mvuto zaidi Tanzania

    5. Malkia Karen 4. Mimi Mars 3. Faraja Nyalandu 2. Jackline Mengi 1. Nancy Sumari
Back
Top Bottom