Maendeleo Ya Wanawake Organisation (MYWO) is a women's NGO that deals with issues to do with women's rights and gender equity in Kenya. It was founded by Jemimah Gecaga in 1952 and has approximately 600,000 groups contributing to a total membership of about two million women. It is currently chaired by Rukia Subow and has various agendas in its mission statement, including maternal, child health and family planning and training women in leadership and development.Historically it was promoted by the British during their colonial rule over Kenya and helped provide services only for those against the Mau Mau anti-colonial uprising.Ruth Habwe served as secretary general of the organization from 1968 until 1971.
Si ajabu ndio wanaoongoza kwa kuolewa. Hakuna mwanaume anaejielewa amuoe mwanamke wa hovyo hovyo kisa ana sura nzuri.
Nyie wenye sura nzuri msipojirekebisha mtaishia kudanga tu.
Samahani nilisahau kusalimia.
Katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 jumla ya wabunge 276 walichaguliwa majimboni kati yao wabunge wanawake walikuwa 26 na wanaume 250.
Kati ya hao wabunge 26 wanawake, wabunge 6 walitoka chama kikuu cha upinzani CHADEMA.
Hiyo ni sawa na 23% ya wabunge wanawake wenye majimbo.
CHADEMA hongereni...
Habari za muda huu Wakuu wa MMU, naandika kwa huzuni uzi huu kisa ni hiki.
Kaka wa rafiki yangu ni mwanajeshi kituo cha kazi ni Tabora, hana maelewano na ndugu zake yaani rafiki yangu pia na wazazi wake kisa ni mke wake waliyezaa nae watoto wawili.
Tangu ahamishiwe kituo cha kazi Tabora kutoka...
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Fatma Kombo Masoud amekuwa mwanamke wa tatu kujitokeza kuomba ridhaa ya chama hicho kugombea urais wa #Zanzibar
Fatma anafanya idadi ya watia nia kupitia Chama cha Mapinduzi hadi sasa kufikia 26 visiwani humo
------
Tunaweze kusema historia imevunjwa. Hadi...
Mwenyekiti wa mtaa wa Mtakuja, kata ya Chang'ombe mjini Dodoma, Issa Yusuph adaiwa kugawa viwanja kwa warembo na wenye makalio makubwa.
Chini ya utaratibu huo, mwenyekiti huyo amekuwa akiwanyima viwanja wanawake wasiokuwa na sura nzuri na makalio makubwa kwa kuwa hawana msaada kwake.
Shutuma...
WATAWA WA MAPINDUZI - The
Revolutionary Nuns
Mabinti VIPANGA na WAZURI wa sura waliokua wakichaguliwa na GADAFFI mwenyewe. Licha ya UREMBO na AKILI nyingi, Mabinti hawa walikuwa wamepikwa KUUA. Kwa miongo 2 walijitoa KAFARA kumlinda MTAWALA mkongwe wa LIBYA.
Mwaka 1979, Kanal Muammar Gadaffi...
Kwa utafiti wangu wanawake wengi wa siku hizi hawajui kupika au mapishi kwa ujumla wake.
Wanawake wengi wa siku hizi wanaamini viungo vingi kwenye mboga ndio mapishi mazuri.
Mbona inawekewa viungo vingi hadi inapoteza ladha. Hakuna tofauti ya mapishi ya nyumbani ya mboga fresh kabisa na...
Natumai muwazima wa afya tele wananzengo.
Leo napenda kuwakumbusha kidogo wanawake walio katika ndoa. Wanawake wengi walio katika ndoa wakikosewa/kukosana na wenza wao mara nyingi hulipiza kisasi kwa kuwanyima papuchi.
Kwa hili mnakosea sana coz ni ngumu sana kuyaishi maisha ya ndoa bila...
Ukinipinga pinga kwa hoja.
Wanawake ni binadamu wa ajabu sana katika uso huu wa Dunia yaani hawa watu ni next level, kuwaelewa ni ishu iliyowashinda hata wana falsafa, Newton na uwezo wake wote linapokuja suala la wanawake lazima atoke kapa na (ndio maana haieleweki hata kama akioa). Manabii na...
Katika mafundisho ya jamii, jamii za zetu zote zinamtaarisha mtoto wa kike kuwa mlezi wa familia. Kuondoka nyumbani kwa mtoto wa kike ni kukabidhiwa kwa mume. Mume huyu anakua ndiyo mtu wa kukulinda na wewe unategemewa umlee. Ujue chakula chake, usingizi wake na afya yake.
Katika familia...
Natumai hamjambo wakuu
Jana nikiwa katika harakati zangu za hapa na pale nilikutana na dada mmoja matata wa age ya 27-30, nikawa nimemwelewa sana nikaomba tubadilishane contact akakubali but alikuja nitibua nilipomuuliza ushadate na wangapi eti kwa umri huo ananijbu wawili, dah! alinikata stim...
Halo JF celebrities.
Nimekuwa nikiona mitandaoni, Zari The Boss Lady akiitwa Bi Tukinao! Wanaomwita hivyo ni wanawake. Sasa hili jina maana yake nini na kwanini kabatizwa hivyo?
Ngoja leo tuongee na wanaume tuliooa wanawake wazuri kuona tunakwama wapi. Jana katika pita pita zangu mitaa ya kishua nikaibukia uswazi kwetu. Nikakutana na mwanadada Mashaallah analia huku akiongea kwa hasira akimtaja mtu mmoja kwa jina Mohamed. Alikuwa akipiga makelele Mohamed, Mohamed una...
Habari zenu wadau, wakubwa kwa wadogo... Natumai mko poa na mnaoumwa Mungu awajalie unafuu ikawe heri
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada
Nina swali ambalo nahitaji majibu na ufafanuzi kutoka kwa watoto wa kike sanasana (wajuba wa kiume sio mbaya pia).
Hii ishu imenitokea mimi kabisa...
Wanawake, mko nyuma ya keyboard.
Tuambieni sisi waume zenu tujue, msituonee aibu. Tuchaneni kisawasawa, nini haswa kinawafanya mnachepuka nyie mlioolewa ama mlio kwenye mahusiano yanayotarajiwa kuzaa ndoa? Ama wale mnaokuwa na wapenzi wengi kwa wakati mmoja, nini huwa chanzo?
Wanaume, Leo...
Natumai hamjambo wakuu.
Wakuu nimejikuta nina huu ugonjwa ambao hata sijui umetokea wapi, yaani nimejikuta navichukia vitu karibia vyote vinavyopendwa na wadada, mfano viepe (chipsi), matumizi ya emoji na nk. Napovitumia najihisi kama nafanya mambo yakike.
Je, hii ni hali ya kawaida au kuna...
Naomba kufahamu madhara yatokanayo na kuangalia picha/video za ngono kwa watu wa aina zote, Wanaume kwa Wanawake...!
- Tatizo jingine la mdau wa JF.
=========
MAONI NA USHAURI WA WANAJF
1.
2.
3.
Iwe na maneno uliyoyasikia kwa muda mrefu, leo unawakuta bar wakitafuna nyama choma. Kuna wake wa Mikocheni wanafikiria hajulikani Mbagala, mara unamuona mume wako na taulo kiunoni anatoka kuoga tena kwenye nyumba ya choo cha ushirika.
Utachukua maamuzi gani?
Igweeeeee,
Wadau mambo vipi kiukweli ndugu zangu wanawake wanapishana masham sham baada ya kumgegeda bao la kwanza .
Wadau sijui tatizo ni kwangu tu yaani kuna baazi ya wanawake nikimaliza kumgegeda bao la kwanza hata huwa sitaki kumuona natamani aondoke niendeleee kulala peke yangu tu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.