Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,668
- 40,916
Kwa mfano Yona yule aliyemezwa na Samaki na kukaa tumboni mwake siku tatu angekuwa mumeo ungemuamini??
Kwamba kapotea nyumbani kwa siku tatu simu zinaita tu na hazipokelewi,
Sms za kawaida zinaonekana kuwa delivered,
Zile za watsapp nazo kale katick ka blue kapo kwamba sms zimesomwa
Lakini hajibu wala kupokea simu,
Halafu baada ya siku tatu anakuja kukuambia eti alikuwa ndani ya tumbo la samaki kwa siku tatu,
Ungemuamini?? Au ungechukua hatua gani??
Kwamba kapotea nyumbani kwa siku tatu simu zinaita tu na hazipokelewi,
Sms za kawaida zinaonekana kuwa delivered,
Zile za watsapp nazo kale katick ka blue kapo kwamba sms zimesomwa
Lakini hajibu wala kupokea simu,
Halafu baada ya siku tatu anakuja kukuambia eti alikuwa ndani ya tumbo la samaki kwa siku tatu,
Ungemuamini?? Au ungechukua hatua gani??