Swali kwa wanawake.

Stroke

JF-Expert Member
Feb 17, 2012
34,668
40,916
Kwa mfano Yona yule aliyemezwa na Samaki na kukaa tumboni mwake siku tatu angekuwa mumeo ungemuamini??

Kwamba kapotea nyumbani kwa siku tatu simu zinaita tu na hazipokelewi,

Sms za kawaida zinaonekana kuwa delivered,

Zile za watsapp nazo kale katick ka blue kapo kwamba sms zimesomwa

Lakini hajibu wala kupokea simu,

Halafu baada ya siku tatu anakuja kukuambia eti alikuwa ndani ya tumbo la samaki kwa siku tatu,

Ungemuamini?? Au ungechukua hatua gani??
 
😂 hit and run 🏃

Principle

Cjamtaja mtu msinijazie povu, mawenge yote usingekuwa nayo
 
A
Kwa mfano Yona yule aliyemezwa na Samaki na kukaa tumboni mwake siku tatu angekuwa mumeo ungemuamini??

Kwamba kapotea nyumbani kwa siku tatu simu zinaita tu na hazipokelewi,

Sms za kawaida zinaonekana kuwa delivered,

Zile za watsapp nazo kale katick ka blue kapo kwamba sms zimesomwa

Lakini hajibu wala kupokea simu,

Halafu baada ya siku tatu anakuja kukuambia eti alikuwa ndani ya tumbo la samaki kwa siku tatu,

Ungemuamini?? Au ungechukua hatua gani??
Akili za kilumumba lumumba hizi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom