Dah! Poleni sana kwa kweli nimesoma thread nyingi humu nakuta wanaume wanalalamika juu ya kudhulumiwa pesa zao na wanawake na mzigo hawajapewa
Kuna mwingine nae pia kaanzisha uzi eti demu akisema amekumiss basi ww inabid umtumie pesa nikacheka sana ninajua kinachowasumbua hawa wanaume wa namna hii ni kwamba hawajawah kupendwa na kuwa ktk mapenz ya dhati
Katika dunia ya sasa ili uweze kuwatambua wanawake wez inabid uwe na wale wenye mapenz ya dhat haya matapeli ya mapenzi ndio yanayosambaza agenda za pesa pesa tu yaan wanachptaka kila mtu aamin mapenz ni peaa na kwel wamefanikiwa sn sasa hv asilimia kubwa ya wanaume wanaamini mapenzi ni pesa
Mwanamke anaekupenda kwa dhati hakuombi pesa mpaka ww mwenyewe ujiongeze na ata akikuomba anakuomba km anasita vile na ata ukimpa kidogo au nusu halalamiki
Mimi nimewahi kutana girls kadhaa unakuta lengine siku ya kwanza tu mnakutana lishaagiza chips yai jikon na mishikaki juu hapo bado linataka nauli ukiombamzigo utasikia leo nipo period na ukikataa kumpa anachotaka anaanza julalamika kampan yko mbovu ukimwambia chukua chips kavu anakataa mara utasikia mm kwetu nimezoea kula mishikaki
Wengine siku akikukubalia tu basiiii siku hiyohiyo utasikia baby nikuombe kitu na kuna wale wa tuma ya kutolea mara tuma nauli nije hawa wote ni wez na matapel wana aina nying sn za kutapeli siwez kuziweka zote hapa maana wanaolizwa ni weng anaweza kuzuga ata anaumwa utume pesa aende hospital sasa kimbembe mwambie umsindikize uko hoapital weeeh
Niliwah kutana na wadada kadhaa wenye mapenz ya dhat sasa kuna mmoja ndio alivunja tekod kabisa huyu alikuwa hana simu lkn nikimwambia jion saa 10 tukutane sehemu fulan achelew saa waldk lazima atakuja na km kuna tatizo atatuma ata mtoto aje aniambie kinagaubaga ukimpa 2000 anasema asante kuna mwingine pia alikuwa hawez kufanya kitu bila kuniomba ushaur project zake zote mpaka zA ndan ya chama lazima aniambie mwanamke anaekupenda akikuudh lazma akuombe msamaha au akubembeleze
Ukiona bi dada linafanya makosa ya waz tena makusud na kesho akijirud haombi ata msamaha jua hamna kitu apo yaan unakuta anakuomba pesa ya nauli hatokezi na kesho akija anaanza na baby mambo atak kuongelea jana nn kilimkwamisha atak kuomb aMsamaha
Anataka ww ndio uombe msamaha ata km makosa ni yake jaman ifike wakati ata mtu ujawah kupendwa au kuwa ktk mapenz ya dhat muwe mnawashtukia hawa wez mfunguke akili mwanamke akileta upuuz piga chin km anauza aseme
NAWATAKIEN WEEKEND NJEMA niko somwwhete mnisamehe kwa wrong typing maana nimetype fasta sn
USHAUR TAFUTA MWANAMKE ANAEKUPENDA km hakupendi basi usimpe pesa kabla ujala mzigo
Kuna mwingine nae pia kaanzisha uzi eti demu akisema amekumiss basi ww inabid umtumie pesa nikacheka sana ninajua kinachowasumbua hawa wanaume wa namna hii ni kwamba hawajawah kupendwa na kuwa ktk mapenz ya dhati
Katika dunia ya sasa ili uweze kuwatambua wanawake wez inabid uwe na wale wenye mapenz ya dhat haya matapeli ya mapenzi ndio yanayosambaza agenda za pesa pesa tu yaan wanachptaka kila mtu aamin mapenz ni peaa na kwel wamefanikiwa sn sasa hv asilimia kubwa ya wanaume wanaamini mapenzi ni pesa
Mwanamke anaekupenda kwa dhati hakuombi pesa mpaka ww mwenyewe ujiongeze na ata akikuomba anakuomba km anasita vile na ata ukimpa kidogo au nusu halalamiki
Mimi nimewahi kutana girls kadhaa unakuta lengine siku ya kwanza tu mnakutana lishaagiza chips yai jikon na mishikaki juu hapo bado linataka nauli ukiombamzigo utasikia leo nipo period na ukikataa kumpa anachotaka anaanza julalamika kampan yko mbovu ukimwambia chukua chips kavu anakataa mara utasikia mm kwetu nimezoea kula mishikaki
Wengine siku akikukubalia tu basiiii siku hiyohiyo utasikia baby nikuombe kitu na kuna wale wa tuma ya kutolea mara tuma nauli nije hawa wote ni wez na matapel wana aina nying sn za kutapeli siwez kuziweka zote hapa maana wanaolizwa ni weng anaweza kuzuga ata anaumwa utume pesa aende hospital sasa kimbembe mwambie umsindikize uko hoapital weeeh
Niliwah kutana na wadada kadhaa wenye mapenz ya dhat sasa kuna mmoja ndio alivunja tekod kabisa huyu alikuwa hana simu lkn nikimwambia jion saa 10 tukutane sehemu fulan achelew saa waldk lazima atakuja na km kuna tatizo atatuma ata mtoto aje aniambie kinagaubaga ukimpa 2000 anasema asante kuna mwingine pia alikuwa hawez kufanya kitu bila kuniomba ushaur project zake zote mpaka zA ndan ya chama lazima aniambie mwanamke anaekupenda akikuudh lazma akuombe msamaha au akubembeleze
Ukiona bi dada linafanya makosa ya waz tena makusud na kesho akijirud haombi ata msamaha jua hamna kitu apo yaan unakuta anakuomba pesa ya nauli hatokezi na kesho akija anaanza na baby mambo atak kuongelea jana nn kilimkwamisha atak kuomb aMsamaha
Anataka ww ndio uombe msamaha ata km makosa ni yake jaman ifike wakati ata mtu ujawah kupendwa au kuwa ktk mapenz ya dhat muwe mnawashtukia hawa wez mfunguke akili mwanamke akileta upuuz piga chin km anauza aseme
NAWATAKIEN WEEKEND NJEMA niko somwwhete mnisamehe kwa wrong typing maana nimetype fasta sn
USHAUR TAFUTA MWANAMKE ANAEKUPENDA km hakupendi basi usimpe pesa kabla ujala mzigo