Moto wa volcano
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 688
- 1,722
Juzi Kati baada ya kumaliza mizunguko yangu ya kazi nikaona nitafute Barbershop ya kisasa inayoeleweka nifanye usafi wa ngozi.
Mjini Kati nikaona Barbershop matata Full Brand ikabidi nizame ndani nikakutana na vinyozi tukala story mbili tatu baada ya hapo akatokea Dada akanikaribisha katika chumba cha ndani, kufika huko nimekaa kwenye kiti mtoto pisi akaniegemea begani kwa mahaba karibu kaka nikuhudumie nikapigwa ganzi matata ila kwakuwa fikra zinaniongoza haikuwa shida akanipiga Scrub akamaliza nikajikuta naongeza huduma zingine bila kupenda sijui kusafisha mmba na steaming yote hayo kutokana na madoido ya mtoto.
Baada ya hapo akatoka mzee katika chumba cha Massage anapandisha suruali akoondoka halafu akafuata pisi hatari anahesabu misimbazi , mwenzake akamuuliza mbona umechukua muda yeye akamjibu kwani unazani mzee angeniacha hivi hivi. Moyoni nilichoka
Mjini Kati nikaona Barbershop matata Full Brand ikabidi nizame ndani nikakutana na vinyozi tukala story mbili tatu baada ya hapo akatokea Dada akanikaribisha katika chumba cha ndani, kufika huko nimekaa kwenye kiti mtoto pisi akaniegemea begani kwa mahaba karibu kaka nikuhudumie nikapigwa ganzi matata ila kwakuwa fikra zinaniongoza haikuwa shida akanipiga Scrub akamaliza nikajikuta naongeza huduma zingine bila kupenda sijui kusafisha mmba na steaming yote hayo kutokana na madoido ya mtoto.
Baada ya hapo akatoka mzee katika chumba cha Massage anapandisha suruali akoondoka halafu akafuata pisi hatari anahesabu misimbazi , mwenzake akamuuliza mbona umechukua muda yeye akamjibu kwani unazani mzee angeniacha hivi hivi. Moyoni nilichoka