Njoo PM please.Pale unapomuombea mabaya mwenzako.
MUNGU humuinua🤣🤣🤣
Pole
Imenitokeaga na mimi kwa JAckie wangu matokeo yake kaolewa na tajiri tena mwenye bunduki.Nilidhani atateseka ili awe na adabu cha ajabu kaolewa na jamaa tajiri mpaka roho inaniuma.
Poa bwana ila freshi tu yote maisha.
Sio roho mbaya..Alitaka atembelee nyota yangu tu na kafanikishaukimtakia mtu jambo baya, mungu humbarikia zaidi ili uzidi kuumia na roho mbaya yako, roho mbaya huondoa baraka maishani na huleta gundu na mikosi, jitaidi sana kujizuia na kuwatakia mabaya watu ili upate kubarikiwa.
Haya.mungu ndo kampandisha.,Sik
Sikumuombea mabaya...ni katika hali ya kuwekana sawa kitabia
em angalia PM yako tupandishane na sisi kwa kudra zake rabanaHaya.mungu ndo kampandisha.,