Ahahah Aiseee Hatari KubwaWewe mleta mada una matatizo ya akili sio mzima, tatizo ni wewe uko obssed na makabila ya watu loh, jirekebishe na uache mapungufu yako u enjoy maisha dunia hii binadamu hawajakamilika
I always wonder watu kukandia wengine huku wao Wana tabia chafu, bongo hii ukitoa watu wa ukanda wa Pwani, the rest almost wote Wana miroho mibaya ya chuki aisee lakini kunanga wengine sasaAhahah Aiseee Hatari Kubwa
Mimi nimecomment kulingana na mada haya Mambo ya ukabila kwangu huwa ni ujinga flani mtu anayetapa kiupaumbele namuona hamnazo kweliWewe ni mmachame au mmeru?
Ungekuwa kama mimi ambaye niliamua kuyatafuta na nikayapata ungeelewa.Issue sio ukabila issue ni desturi za watu.Kuna makabila yana desturi ambazo zinapelekea wawe na tabia fulani ambazo ni tata.Wameru na Wamachame wanaweza kuwa katika kundi hiloMimi nimecomment kulingana na mada haya Mambo ya ukabila kwangu huwa ni ujinga flani mtu anayetapa kiupaumbele namuona hamnazo kweli