wanawake

Maendeleo Ya Wanawake Organisation (MYWO) is a women's NGO that deals with issues to do with women's rights and gender equity in Kenya. It was founded by Jemimah Gecaga in 1952 and has approximately 600,000 groups contributing to a total membership of about two million women. It is currently chaired by Rukia Subow and has various agendas in its mission statement, including maternal, child health and family planning and training women in leadership and development.Historically it was promoted by the British during their colonial rule over Kenya and helped provide services only for those against the Mau Mau anti-colonial uprising.Ruth Habwe served as secretary general of the organization from 1968 until 1971.

View More On Wikipedia.org
  1. Black Opal

    Wanawake, pesa au mapenzi ya dhati? Wanaume, tako au tabia nzuri?

    Wanawake kipi cha muhimu kwako mwanaume kuwa nacho, pesa au mapenzi ya dhati? Na kwa mabaharia kipi muhimu kwako mwanamke kuwa nacho, tako au tabia nzuri? Twende kazi...
  2. Jack Palladino

    Kuna baadhi ya Wanawake wanapenda ile harufu ya sigara mwanaume akivuta lakini hawapendi avute sigara!

    Nimekuwa na mahusiano na wanawake tofauti tofauti walevi, wavutaji na wengine hawavuti sigara ila wengi wao wanasema wanapenda harufu ya sigara nikivuta but hawapendi nivute sigara! Hivi hii inakuwaje wadau?
  3. Crocodiletooth

    Wanawake wengi wa nyakati hizi kutokuwa na haiba ya kike, tatizo lipo wapi

    Tunashuhudia katika nyakati hizi Wanawake wengi kutokuwa na haiba ya kike, wengi kuota ndevu, na pia wengi kuwa na haiba za kiume, ubaunsa, ukaidi, ubishi, baadhi utemi, kuvuta bange na N. K, Nini chanzo cha tatizo hili, maana wanawake kwa jinsi ya uumbaji walipaswa kuwa tulizo kwetu akina...
  4. BARD AI

    Ripoti: Zaidi ya Nusu ya Wanawake wa Dar es Salaam wana uzito uliopitiliza

    Licha ya jitihada zinazofanywa na wanawake waishio mjini ikiwamo jijini Dar es Salaam, ripoti ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) inaonyesha idadi ya wanaoelemewa na uzito inaongezeka. Ripoti hiyo ya utafiti wa Ufuatiliaji wa Kaya (NPS) ya mwaka 2020/21 inaonyesha asilimia 47 ya wanawake wenye...
  5. JanguKamaJangu

    Sierra Leonne yapitisha sheria inayolazimisha mashirika ya umma na kibinafsi kuajiri wanawake kwa % 30

    Sierra Leone Alhamisi imepitisha sheria inayolazimisha mashirika ya umma na kibinafsi kutenga asilimia 30 ya kazi zao kwa ajili ya wanawake, katika juhudi za kukabiliana na ukosefu wa usawa wa kijinsia katika jamii inayopendelea wanaume. Rais Julius Maada Bio alisaini mswada huo kuwa sheria...
  6. Brain Kingdom

    Wanawake wahaya mbarikiwe alowafundisha kupapasa mgongo vizuri tukiwa juu aishi milele

    Wasalaam, Jamani Kwa uchache hio ni sifa nzuri ya wanawake wa kihaya hawaboi mpapaso au mtomasowao ukiwa juu kama wote huku akiviringika, naomba kwa heshima wanawake wa makabila mengine sio vibaya mkaiga. Wadiz nikiwa katika meditation ya penzi la kihaya
  7. Brain Kingdom

    Nisiwe mnafiki wanawake wenye chuchu Mungu awazidishie zaidi

    Wasalaam Sina mengi nimetafakari sana kwenye rejea mimi ni Mr chuchuz ujumbe wapenda trakooz mimi siko huko, hakika wanawake wenye chuchu Mungu awabariki sana aongeze idadi yenu kuna haja tuendelee na tafakuri ya kuoa au kuenzi vyombo. Sina mengi mnanibariki sana I feel it uwepo wa mwanamke...
  8. Kipenzi Changu

    Kuwe na "Kifungu cha Kuhonga" kwenye bajeti zetu?

    Jana nilipata laki 5 ambayo haikuwa kwenye bajeti. Nikasema vyovyote iwavyo namtumia maza laki 3 azibe magepu ya Januari. Sasa kuna mtoto mmoja nilimpa namba hakuwahi kunipigia. Nilivyopata tu hela shetani akaingia kazini. Jioni naisikia simu namba ngeni naulizwa uko wapi nije. Mtoto akanikuta...
  9. Idugunde

    Nyanghwale: Majambazi yavamia nyumba na kubaka wanawake

    Watu wawili wanaodaiwa kuwa wezi wameuawa na wananchi wenye hasira katika Kijiji cha Bukungu, Kata ya Kharumwa wilayani Nyang’hwale mkoani Geita baada ya watu hao kuvamia nyumba za watu usiku kisha kupora na kubaka baaadhi ya wanawake. Mkuu wa Wilaya ya Nyang’hwale, Jamhuri Wiliam amethibitisha...
  10. Saint_Mwakyoma

    Jamii iache kuhukumu vibaya wanaume wanao ingia kwenye mahusiano ya kimapenzi ( ndoa ) na wanawake wenye umri mkubwa kuwazidi

    Kumezuka wimbi kubwa la wanaume wengi wanaozama kwenye dimbwi la mahusiano ya kimapenzi na baadae sana wanagundua wapenzi wao wamewazidi umri kitu ambacho jamii ya kiTanzania inakichukulia kama kitu cha aibu na cha ajabu mno. Kwenye kila taasisi kuanzia ya familia, makazini na nyumba za ibada...
  11. NetMaster

    Aibu: Waumini wanawake KKKT wanaenda kanisani na suruali / jeans zilizobana, kanisa linachukulia poa tu

    Kumbukumbu la Torati 22:5 >> Mwanamke asivae mavazi yampasayo mwanamume, wala mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyaye mambo hayo ni machukizo kwa Bwana, Mungu wako. Tukiachana na kanisa hili la kilutheri kupasuka kila kukicha kwa migomo na vurugu kama ile vuta nikuvute ya...
  12. DR HAYA LAND

    Trend ya wanawake wa kunyoa vipara imesababishwa na nini?

    Hii trend ya wanawake kunyoa vipara hasa huku uswahilini ni uchawi tu na kuamini ushirikina nothing else .
  13. Expensive life

    Hivi kuna wanawake wajuzi kitandani na watamu kama wamakonde?

    Ndugu zangu kabla sijaowa nimekuwa kimahusiano na baadhi ya wanawake wa makabila tofauti tofauti japo siyo yote. Ila haya makabila yanayosifika kuwa mwanaume akiingia hatoki, kwa maana wanajua sana mavituzi nimeruka nao kiasi ila sikuwahi kuona maajabu yao. Nimepita na wamakonde kama watatu...
  14. JanguKamaJangu

    Burkina Faso: Zaidi ya Wanawake 50 watekwa na Waasi

    Matukio hayo yametokea Kaskazini mwa Burkina Faso, ambapo walikamatwa katika makundi mawili nyakati mbili tofauti. Wakati matukio ya utekwaji yanatokea eneo la Arbinda, baadhi ya Wanawake walifanikiwa kutoroka na kurejea katika vijiji vyao. Wanawake wengi wamekuwa wakitembea kimakundi kuingia...
  15. Boss la DP World

    Wanawake wenye vipini puani

    Rejea somo tajwa hapo juu, utafiti wangu niliyofanya Kwa kutumia sampuli 20 (10 zina vipini na 10 hazina) umebaini kuwa Wanawake wenye vipini wanatiika (kuwa mwelewa) kirahisi zaidi kuliko wasio na vipini, sijajua sababu ni nini. Matokeo ya utafiti: Kati ya sampuli 10 zisizo na vipini, sampuli...
  16. Carlos The Jackal

    Wanawake na matumizi ya Bamia kuongeza 'Utelezi'

    Duuhh wakuu Kila kukicha Kungwi wa Wanawake ana lake jambo !!. Unaambiwa siku hizi ,wakitaka kukutembelea. Bamia zinatengenezwaa, Kisha inachujwa ivi , unapatikana ule utelezi wa Bamia. Baaaasi bwanaa, huo utelezi bidada anaweza kuuweka kwenye kikopo ivi akaja nao kuonana Nawewe au ...
  17. Robert Heriel Mtibeli

    Kasumba potofu walizopewa Watoto kuhusu "wanaume watakaoolewa nao; na Wanawake watakaowaoa"

    KASUMBA POTOFU WALIZOPEWA WATOTO KUHUSU "WANAUME WATAKAOOLEWA NAO; NA WANAWAKE WATAKAOWAOA" Anaandika Robert Heriel. Baba "Wanaume ni wabaya" "Wanaume ni wakatili, wakorofi na wanatabia za kupiga." "Wanaume ni waongo, watakurubuni, watakuchezea alafu watakudampo" Hizo ni baadhi ya kauli ambazo...
  18. Bujibuji Simba Nyamaume

    Wanawake wa Shinyanga hatari tupu, Kajala, mke wa Masanja na mke wa Haji Manara wote kwao Shinyanga

    Ukitaka kwenda kuoa Shinyanga nenda na adabu zote, usije jikuta unaambulia maumivu ya moyo.
  19. chiembe

    Makampuni yaliyo na mikataba na Haji Manara yaifute kwa udhalilishaji wa wanawake

    Manara ana makampuni anavyofanya nayo kazi, ambayo ni makampuni yanayoheshimika sana. Sioni kwa nini aendelee kuwa balozi wa makampuni hayo kwa tabia na maneno machafu aliyotamka kwa Mkewe. Natoa rai mikataba yake itenguliwe
  20. MK254

    Magaidi wa kidini wakataza wanawake wasitibiwe na wanaume, ila pia wanawake wasielimishwe kuwa madaktari

    Mkihabarishwa kuhusu huu uzombi mnang'aka udini, yaani Taliban wametoa katazo kwa wanawake wasitibiwe na wanaume, hapo hapo wamezuia wanawake wasipate elimu, sasa unashindwa kuelewa nani atatibu hao wanawake maana hakutakua na madaktari wa kike. Yaani imani za kidini zinafanya mwanamke anaonwa...
Back
Top Bottom