BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,376
- 8,120
Kwa mujibu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Wanawake wa Tanzania Bara wanamilikia Nyumba zao wenyewe kwa 18.1% ukilinganisha na Wanawake wa Zanzibar 12.8.
Wanawake wa Vijijini wanamiliki Nyumba zao kwa 18.8 ukilinganisha na Wanawake wa Mijini wanaomiliki nyumba kwa 16.5.
Orodha ya Mikoa yote inayoongoza kwa Wanawake wanaomilikia Nyumba zao.
1. Mwanza - 37.7%
2. Tanga - 28.8
3. Njombe - 27.3
4. Kagera - 26.3%
5. Iringa - 24.2%
6. Lindi - 24.1%
7. Mtwara - 23.1%
8. Mara - 23%
9. Ruvuma - 21.4%
10. Geita - 20.6%
11. Mbeya - 20.5%
2. Singida - 17.8%
13. Tabora - 17.2%
14. Kilimanjaro - 15.7%
15. Mjini Magharibi - 15.5%
16. Arusha - 15.3%
17. Pwani - 15.3%
18. Songwe - 15.1%
19. Kigoma - 14.5%
20. Pemba Kaskazini - 13.8%
21. Dodoma - 13%
22. Dar es Salaam - 12.6%
23. Shinyanga - 12.1%
24. Unguja Kusini - 12%
25. Morogoro - 11.4%
26. Simiyu - 10.5%
27. Rukwa - 9.8%
28. Unguja Kaskazini - 9.4%
29. Katavi - 7.8%
30. Pemba Kusini - 6.7%
30. 31. Manyara - 3.8%