JamiiForums
JF Official Account
- Nov 9, 2006
- 6,204
- 5,032
Mwanamke anapaswa kuaminiwa kupewa fursa na nafasi katika kila sekta kwani ana uwezo wa kuleta matokeo chanya. Iwapo ujuzi anaoapewe nafasi bila kubaguliwa bali sifa na vigezo ndio vimpe nafasi.