Maendeleo Ya Wanawake Organisation (MYWO) is a women's NGO that deals with issues to do with women's rights and gender equity in Kenya. It was founded by Jemimah Gecaga in 1952 and has approximately 600,000 groups contributing to a total membership of about two million women. It is currently chaired by Rukia Subow and has various agendas in its mission statement, including maternal, child health and family planning and training women in leadership and development.Historically it was promoted by the British during their colonial rule over Kenya and helped provide services only for those against the Mau Mau anti-colonial uprising.Ruth Habwe served as secretary general of the organization from 1968 until 1971.
Unakutana na mtu, wewe tu ndani ya nusu saa ushamchoka. Ni ana gubu, mbishi + mgumu kuelewa. Lakini anaishi na mke na maisha yanaenda.
Ile harufu ya sigara kwa kweli haivumiliki lakini mwanamke analala naye na kuamka naye. Mwingine muda wote kalewa chakali wa kubeba na tolori + kujikojolea...
KIPINDI CHA MR. RIGHT NI KIZURI ILA NAMNA KINAVYOFANYIKA KINAAIBISHA NA KUDHALILISHA WANAWAKE.
Anaandika, Robert Heriel
Kuhani.
Ingawaje ni aibu kubwa Kwa mwanamke kutoka hadharani na kutangaza kukosa mume WA kumuoa lakini hiyo tunaweza kusema ni kasumba tuu Mbaya. Taikon ninaamini hata...
Wanawake wa kisasa wanapojirecodi video au kupiga picha wanapenda Sana kuonyesha makalio yao na sio kitu kingine
Mfano mwanamke umeolewa ila unajirecord unaonyesha tako lako na unasambaza video au picha kwenye mitandao ya kijamii hii ina maana gani?
Hivi hawa viume ni wapi walitukamataga hasa sisi wanaume?
Nikivuta taswira yaliyowatokea Adam, Samsoni etc nachoka kabisa.
Unaweza kuta jitu babe hasa ila likikutana tu na mtoto wa kike mwenye miaka kumi na nane tu anatulia tuli ubabe wote kwisha.
Huwa nabaki najiuliza hivi sisi wanaume...
Ulishawahi kutoka na mwanamke wa mjini sister du fulani out? Akiletewa menu anaagiza nusu kuku na chips alafu anakula kiupaja kimoja na vichips kadhaa anajifuta na tishu kwa mikogo vingereza vingi alafu anakwambia ameshiba! 🤔
Wanaume tumeumbwa mateso hadi kwenye ndoa yanatukuta haya. Leo...
Baadhi ya wakazi Wilaya ya Arumeru, Arusha wameomba Serikali kuingilia kati hali ya uhaba wa chakula ambayo sio ya kawaida inayoendelea katika mkoa huo.
Hali hiyo imesababisha makundi ya kina mama na watoto kutembea umbali mrefu wakitafuta chakula kwa kuombaomba maeneo tofauti, ambapo mara...
Hii kitu imezoeleka sana kwenye familia zetu lakini watu wengi wanashindwa kuiongelea, wanawake wamekosa huruma kabisa mwisho wa siku wanauwa bila kujuwa kuwa wanauwa, kuna familia moja huko kanda ya ziwa jamaa alienda kuowa huko dodoma kondoa kwa warangi.
Lakini jamaa alikuwa ameishapata...
Waziri wa Jinsia, Jeannette Bayisenge amefichua kuwa vita dhidi ya ukatili wa kijinsia nchini humo ni kubwa
Amesema utafiti wa mwaka 2020 umeonesha asilimia hiyo imetokana na wanawake kuamini kuwa kuna uhalali wa wao kupigwa kutokana na sababu mbalimbali
Baadhi ya sababu hizo ni kama mwanamke...
Najua kusema ni uhuru wa kila mtu lakini wanaume wengine mmezidi kukejeli wanawake humu. Sijapata kuona kabisa hamjui kutuheshimu kabisa.
Sasa kama mtu ana matwaka yake, nyinyi yanakujereni nini? Mnapenda kukosoa mno, siyo kuuliza mkajibiwa, ujuaji mwingi tu. Kama ya kwenu manayaweza.
Kwani...
Kuna mwenzenu huku (wife) amenitumia msj zenu za ku forward sijui katoa wapi akisisitiza niisome (nita share hapo chini), nikakumbuka wanawake wengi huwa wanasahau kwamba wanaume hatujaumbwa kusikiliza maneno mengi ili kupata point moja, niliishia kusoma heading na pale mwisho nikagundua alie...
Kama mmeamua kuifata injili ifatwe inavyotaka, kuipinga injili ni uovu
1 Timotheo 2 :9
Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani.
Nenda makanisa mengine ukute...
Katika vitu vinanishangaza ni wanawake wa kileo kutafuta wafanyakazi na wafanyabiashara baada ya kutafuta wanaume wa kuwaoa.
Inakuwaje mwanamke unaweka sharti la dini kwenye ndoa na sharti la mume au mke kuwa na kazi?
Dini sio ndoa Kama dini ni ndoa mngetongozwa uko msikitini na Makanisani...
Kwa kawaida mtu anayeamini kwamba, ni dhaifu, hujaribu kwa kila njia kuficha udhaifu wake, na moja ya njia hizo ni kujikweza ili kujaribu kumshusha yule ambaye anadhani anamzidi. Mtu asiye na nguvu anaweza kujitahidi kupiga kelele, kupiga ‘mikwala’ na vitisho, na watu wanapomwogopa, hupata...
Ubikira kabla ya ndoa ni muhimu kwa wasichana wengi na familia zao, wakati mwingine wanaume uomba wathibitishe ubikira wao jambo ambalo Shirika la Afya Ulimwenguni linachukulia kama ukiukwaji wa haki za binadamu.
Nchini Irani katika mwaka uliopita idadi Wairani wanaotoa wito wa kukomeshwa kwa...
Hi!
Mwanamke hata kutumia fedha ambazo amezizalisha kwenye biashara yake anaona hasara
Mwanamke hata kutumia mshahara wake kununua mahitaji yake anaona hasara.
Cha ajabu ukimtoa out na kumwambia awe free kuagiza chochote unaweza kuona anaagiza kuku nusu wa sh. 10000, juice ya sh. 5000.
Hii...
Kuna mambo yanafikirisha pale baadhi ya vitabu vya kale kutoa maelekezo ambayo yanapingana na uhalisia wa dunia.
Tanzania (mwaka 2022)
Wanawake 31,687,990
Wanaume 30,053,130
Duniani (mwaka 2021)
Wanaume: 3,970,238,390 (bilioni 3.97 sawa na asilimia 50.42%)
Wanawake: 3,904,727,342 (bilioni...
Jamani, hivi karibuni nilipost instagram video tatu za vijana ambao wameshtukiwa baada ya kujifanya wanawake kisha kuwaomba pesa washkaji bar.
Mademu hao vidume huwa wanategea mtu alewe kisha wanakubaliana naye kwenda kulala na ndipo ataomba pesa ya kinywaji, mara pesa ya kumnunua..nk..ndipo...
Kuna wengine tuna Asili ya Uwoga ( Unyali ) hivyo pale tukiwa tunawatongozeni msiwe tu mnaishia Kututajia kwa Mikogo Majina yenu ya mwanzo lakini pia muwe mnatutajia na ya Ubini ( Ukoo ) sawa?
Wanawake wenye Majina Kamili kama haya yafuatayo usitegemee hata kama GENTAMYCINE nimekutongoza na...
Wakuu,
Kwanza nakubaliana na ule msemo tafuteni pesa,
Bana kuna hawa gold digger yani mwanamke anapenda pesa yupo radhi akuchune mpaka senti ya mwisho, bila kujali alafu ukishiwa hataki hata umtumie sms,
Wengine wanaenda mbali zaidi wanakuwambia sio type yangu🤣,
Kweli hatukatai wanawake na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.