Umeongea kwa uchungu sanaa🤣Mwanamke malaya ataleta watoto wa nje kwenye familia
Kwani mwanaume malaya yeye haleti kwenye familia
😂😂😂 Kwenye usaliti nature takes place, kwenye kutuhudumia nature mnaitupa kuleLet the nature take place
Hata na yeye anakutunza mfano,kukupikia,kukufulia,kukuuguza ukiumwa,Wanaume huwa hatupend kushare kwaiy mwanamke akicheat anakuwa ameonesha dharau sana
Mwanaume akicheat huwa tunahesabu tu kama ni haki kufanya ivyo ila mke akifanya ivyo ni kosa kwasabab wew ndy unamtunza,
HahahaaaaaaaaaaaaaaKwenye usaliti nature takes place, kwenye kutuhudumia nature mnaitupa kule
😂😂😂😂Usaliti unauma mbaka kwenye misuli ya ndani kabisa kwenye moyo .
Yaani ni asilimia chache Sana za mwanamke kujilinda eti atumie kinga,akishaingizwa ndani,na jamaa,labda limuulumie tu,yeye tu haweziMm sinaga wivu na kiungo cha mtu, ilimradi heshima iwepo. Na atumie Kinga asilete magonjwa nyumbani. Maana hata ufanye nini mke kugongewa ni asilimia 98.9.