GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,554
- 108,895
Hivi kuna baridi gani kwa sasa Mkoa wa Dar es Salaam hii hadi Dume zima kila mara tena likiwa limejikunyata Chumbani linamuomba Mkewe amchemshie Maji ya Moto akaoge?
Kuna Wanaume wengine ni Mayai Mayai ( Nyoro Nyoro ) hadi nikiwasikia wanafanya 'Upuuzi' huu wakiwa Makwao natamani 'niwaibukie' ili hata niwawambe ( niwapige ) tu Makofi ili Wachangamke na waache Kudekadeka.
Na Wanaume wengi niliowagundua wenye 'Unyoro Unyoro' huu ni wa kutoka Makabila ya Wahaya, Wanyiramba, Waha, Wanyaturu, Warangi na Wakara.
Huwezi kamwe Kumkuta Mwanamume wa Shoka kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) kwa akina GENTAMYCINE kwa baridi hili la Kawaida mno lililopo Mkoani Dar es Salaam sasa anatia Huruma na Kuomba Mke amchemshie Maji.
Kuna Mtu atanikoma tu Kijiweni Kesho!!
Kuna Wanaume wengine ni Mayai Mayai ( Nyoro Nyoro ) hadi nikiwasikia wanafanya 'Upuuzi' huu wakiwa Makwao natamani 'niwaibukie' ili hata niwawambe ( niwapige ) tu Makofi ili Wachangamke na waache Kudekadeka.
Na Wanaume wengi niliowagundua wenye 'Unyoro Unyoro' huu ni wa kutoka Makabila ya Wahaya, Wanyiramba, Waha, Wanyaturu, Warangi na Wakara.
Huwezi kamwe Kumkuta Mwanamume wa Shoka kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) kwa akina GENTAMYCINE kwa baridi hili la Kawaida mno lililopo Mkoani Dar es Salaam sasa anatia Huruma na Kuomba Mke amchemshie Maji.
Kuna Mtu atanikoma tu Kijiweni Kesho!!