vodacom

  1. Kasomi

    JamiiForums Tanzania Tanzania tupaze sauti kupinga mfumo wa vifurushi vipya

    Wananzengo na members wote JF na nje ya JF, yatupasa kupaza sauti kukinzana na utaratibu huu mpya wa vifurushi huu utakandamiza masikini. Haiwezekani vifurushi vipande hivyo. Inaonekana hayo si mabadiliko bali ni ukandamizaji. Serikali lione hili. SAUTI YA WATANZANIA
  2. Orketeemi

    JamiiForums Tanzania MSHTUKO: Yawezekana Vodacom wameiondoa huduma ya free basics

    Wakuu nikiwa bado kwenye mshangao wa gharama mpya za data bundles karibia mitandao yote , nimeshtushwa kupata ujumbe kuwa huduma ya data bila malipo imeondolewa Vodacom. Kwa hakika wanyonge tunapigwa kila upande.
  3. kimsboy

    JamiiForums Tanzania Vodacom wanaingilia mpesa ya mteja na kutoa pesa zote kulipia nipige tafu bila hiari ya mtu

    Voda wanaingilia mpesa ya mteja na kutoa pesa zote kulipia nipige tafu bila hiari ya mtu Niwape indhari kuna mtindo voda wamekuja nao, kama unadaiwa nipige tafu mfano 500 ukitaka kununua kifurushi kupitia mpesa mfano kifurushi cha 5000 wanachokifanya ukilipia kwa mpesa wanachukua elfu 5...
  4. mgt software

    JamiiForums Tanzania Dkt. Ndugulile umetuachia Vodacom kuwa kibanda umiza? Haya sasa makabwela acha tusage lami

    Wana JF, Vodacom Kwa Sasa rasmi Kibanda umiza. Ukiacha hela kidogo Tu wanaanza kukwambia Asante Kwa kujiunga Sasa endelea kuchagua ili ushinde. Unaweza weka fedha kufungua kifurushi wataficha menu hhuku wakikuwekea fedha Za kiwango cha chini. Upati menu ulizoziona kabla ya kuweka fedha. Mfano...
  5. Wong Fei

    JamiiForums Tanzania Hatuko Salama: Vodacom kuiingilia Privacy za wateja

    Inasikitisha na ina hatia hasira sana. Kinachoondelea Vodacom wanasoma meseji na kusikiliza maongezi ya wateja wao ambapo ni kinyume na sheria. Vifurushi ninunue mm tena mniuzie kwa bei ghari na mnipangie cha kutuma. Kwann? Kila siku mnapandisha vifurushi na bado mnaingilia privacy za wateja...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Vodacom ni kero, wananiambia wana hitilafu ya kimtandao hela niliyotuma ipo hewani

    Vodacom mnahuduma mbovu sana. Nimetuma Pesa kwenda mtandao wa Tigo nimekatwa hela lakini baadaye wanatuma message hii, "Samahani, muamala wako haukukamilika kwasababu za kiufundi. Tafadhali wasiliana na huduma kwa wateja." Nawapigia customer care wananiambia wana hitilafu ya kimtandao hela...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Vodacom na wizi wa kifurushi cha siku: Hayatimii masaa 24, hata ukijiunga saa 11:00 jioni ikifika saa 10:59 jioni ya siku hiyohiyo kifurushi kinaisha

    Kwa kweli kwa kipindi kirefu zaidi ya miaka 2 hii laini ilibaki ya huduma ya MPESA, nilikuwa natumia Halotel, Hlotel walipoharibu kwenye spidi ya data, nikaona nijaribu Voda. Kinachofanya niandike uzi huu ni jinsi huduma zao zilivyo. Kwanza kabla ya kujiunga na kifurushi cha siku hawasemi...
  8. Mromboo

    JamiiForums Tanzania Vodacom sasa hii imezidi, tunaomba msitishe huu ujumbe wenu ambao unachukua zaidi ya sekunde kumi kuhusu uhakiki wa namba

    Wanajukwaa jumapili njema, Hivi hii kitu vodacoma wameleta wakati mtu unapiga simu kwenda voda mnaionaje? Wameshindwa kutuma ujumbe mmoja kwa kila mteja waache kutupigia kelele kila tunapotaka kupiga simu? Inafikia kiwango mpaka sasa mtu unaona tabu kupiga simu. Muda mwingine unapiga unaweka...
  9. Granite

    JamiiForums Tanzania Vodacom Kulikoni? TCRA hebu tuokoeni na hizi gharama za Data

    Nilizoea kujiunga Vifurushi vya aina mbili vya wiki 2Gb kwa Tsh.3,000/= au 4Gb kwa Tsh.5,000/= Leo nimekutana na hali tofauti, 1Gb kwa 3,000/= na 2GB kwa 5,000/= kwa kweli nimechanganyikiwa kidogo hasa ukiangalia hali tunayoipitia mtaani. Mbona hii mitandao imekuwa na upandishaji wa gharama...
  10. Red Giant

    JamiiForums Tanzania Mfumo Vodacom Airtime billing unafanyaje kazi?

    Nimepitapita playstore na nimeona kuwa ikitaka kununua kitu huu mfumo unatumika. Naomba kwa ambaye kawahi utumia au anajua jinsi unavyofanya kazi anijulishe namna unafanya kazi?
  11. sanga kariakoo

    JamiiForums Tanzania Vodacom Mastercard kuna shida gani tena?

    WAHESHIMIWA HABARI Leo nimweka pesa mara mbili kutoka m pesa kwenda Mastercard ili nilipie FB ads cha ajabu imetoka mpesa lakini aijaingia Mastercard na wala zile sms hazijarudi ukicheki M Pesa hakuna kitu ukicheki Mastercard hakuna kitu basi nikajua nimekosea nikaweka mzigo mingine tena tena...
  12. Faana

    JamiiForums Tanzania Asante kwa kuchagua Vodacom, Namba ya Mtumiaji unayempigia haipatikani kwa sasa

    Huu ujumbe umekuwa unasikika mara nyingi sana hata kama unapiga simu kutoka Tigo kwenda Tigo au Halotel au mtandao mwingine usiohusiana kabisa na Vodacom. Je kuna kuhujumiana kunafanyika humo mitandaoni?
  13. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Naona Vodacom nao wanapandisha vifurushi hivi karibuni

    Nimepokea msg kutoka vodacom wanasema "Ili kuendelea kutoa huduma bora zaidi tutafanya marekebisho kwenye vifurushi vyetu." Bila shaka maboresho nikupunguza vifurusho kama tigo na kupandisha bei. Acha tuisome namba
  14. Akili zangu hazipo sawa

    JamiiForums Tanzania Tabia ya vodacom kichukua hela ya muda wa maongezi bila idhini ya mteja na kituma ujumbe "samahani umefanikiwa kununua tiketi lakini hukiweza kishinda

    Kama umewahi kukumbwa na kitu kama hiki karibu tushauriane nn tatizo la huu mtandao au ndo namna ya kujiongezea kipato chao
  15. Samedi Amba

    JamiiForums Tanzania Vodacom angalieni hili kwa jicho lingine

    Sasa sijajua kama hapa ndo pa kupaleta, lakini najua makampuni are sensitive to citizen journalism, so acha niseme tu. Of late nikipiga simu kwenda namba ya vodacom via my vodacom line, ujumbe unaanza "rasimisha laini yako". Mara ya kwanza nikadhani nimefungiwa, nikakata simu muhimu. Kukomaa...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Nashindwa kuwaelewa Vodacom

    Nimekuwa nikitumia mtandao was Vodacom tangu mwaka 2000 na kwa ujumla nimekuwa nikiridhishwa na huduma. Lakini katika siku za karibuni nimeanza kutilia shaka huduma zake, hususan vifurushi vyao. Nasema kwa sababu siku hizi nikinunua kifurushi cha sh 2,500 kinachonipa dk 150 za kutumia wiki...
  17. Kulupango

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi wa VODACOM, TIGO, ZANTEL, TTCL, AIRTEL pitieni hapa, huwenda kukawa kuna faida kwenu

    .
  18. danjaboy

    JamiiForums Tanzania Vodacom acheni wizi wa waziwazi

    Imekuweje mbadilishe vifurushi ghafla tena bila taarifa? Hivi Watanzania mmewaona ni matajiri sana au matahira kiasi cha kufanya mnabadilisha vifurushi hovyo,fikiria kifurushi cha wiki moja chenye GB 17 cost yake ilikuwa elfu kumi na tano,sasa hv mmepunguza mpaka gb 12 kwa bei ile ile, kibaya...
  19. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Vodacom Foundation wapambana kurejeshewa usajili wao

    Mfuko wa Kusaidia Jamii wa Vodacom (Vodacom Foundation) kama kampuni ambalo lilikuwa na ukomo wa ahadi ambalo linasaidia jamii na hivyo halikuwa na malengo ya kukuza biashara au uwekezaji lilifutwa kwa tangazo la BRELA la Septemba 11, 2019. Mfuko huo ambao umekuwepo nchini tangu Oktoba 2007 na...
  20. ANT DRUGS

    JamiiForums Tanzania Uozo Vodacom na TCRA

    Morning wakuu!Naomba niende kwenye mada yangu moja kwa moja. Siku ya jumatatu tarehe 30/11/2020 niliishiwa muda wa maongezi na nikaamua kujiunga kifurushi cha TSH 2,500/ ambapo nilipewa dk50 kwenda mitandao mwingne na dk180 voda kwenye voda tu. Maana yake nilikuwa na jumla ya dk230,cha...
Back
Top Bottom