Kwa kweli kwa kipindi kirefu zaidi ya miaka 2 hii laini ilibaki ya huduma ya MPESA, nilikuwa natumia Halotel, Hlotel walipoharibu kwenye spidi ya data, nikaona nijaribu Voda. Kinachofanya niandike uzi huu ni jinsi huduma zao zilivyo.
Kwanza kabla ya kujiunga na kifurushi cha siku hawasemi...
Wanajukwaa jumapili njema,
Hivi hii kitu vodacoma wameleta wakati mtu unapiga simu kwenda voda mnaionaje? Wameshindwa kutuma ujumbe mmoja kwa kila mteja waache kutupigia kelele kila tunapotaka kupiga simu?
Inafikia kiwango mpaka sasa mtu unaona tabu kupiga simu. Muda mwingine unapiga unaweka...
Nilizoea kujiunga Vifurushi vya aina mbili vya wiki 2Gb kwa Tsh.3,000/= au 4Gb kwa Tsh.5,000/= Leo nimekutana na hali tofauti, 1Gb kwa 3,000/= na 2GB kwa 5,000/= kwa kweli nimechanganyikiwa kidogo hasa ukiangalia hali tunayoipitia mtaani.
Mbona hii mitandao imekuwa na upandishaji wa gharama...
Nimepitapita playstore na nimeona kuwa ikitaka kununua kitu huu mfumo unatumika. Naomba kwa ambaye kawahi utumia au anajua jinsi unavyofanya kazi anijulishe namna unafanya kazi?
WAHESHIMIWA HABARI
Leo nimweka pesa mara mbili kutoka m pesa kwenda Mastercard ili nilipie FB ads cha ajabu imetoka mpesa lakini aijaingia Mastercard na wala zile sms hazijarudi ukicheki M Pesa hakuna kitu ukicheki Mastercard hakuna kitu basi nikajua nimekosea nikaweka mzigo mingine tena tena...
Huu ujumbe umekuwa unasikika mara nyingi sana hata kama unapiga simu kutoka Tigo kwenda Tigo au Halotel au mtandao mwingine usiohusiana kabisa na Vodacom. Je kuna kuhujumiana kunafanyika humo mitandaoni?
Nimepokea msg kutoka vodacom wanasema "Ili kuendelea kutoa huduma bora zaidi tutafanya marekebisho kwenye vifurushi vyetu."
Bila shaka maboresho nikupunguza vifurusho kama tigo na kupandisha bei.
Acha tuisome namba
Sasa sijajua kama hapa ndo pa kupaleta, lakini najua makampuni are sensitive to citizen journalism, so acha niseme tu.
Of late nikipiga simu kwenda namba ya vodacom via my vodacom line, ujumbe unaanza "rasimisha laini yako". Mara ya kwanza nikadhani nimefungiwa, nikakata simu muhimu. Kukomaa...
Nimekuwa nikitumia mtandao was Vodacom tangu mwaka 2000 na kwa ujumla nimekuwa nikiridhishwa na huduma. Lakini katika siku za karibuni nimeanza kutilia shaka huduma zake, hususan vifurushi vyao.
Nasema kwa sababu siku hizi nikinunua kifurushi cha sh 2,500 kinachonipa dk 150 za kutumia wiki...
Imekuweje mbadilishe vifurushi ghafla tena bila taarifa? Hivi Watanzania mmewaona ni matajiri sana au matahira kiasi cha kufanya mnabadilisha vifurushi hovyo,fikiria kifurushi cha wiki moja chenye GB 17 cost yake ilikuwa elfu kumi na tano,sasa hv mmepunguza mpaka gb 12 kwa bei ile ile, kibaya...
Mfuko wa Kusaidia Jamii wa Vodacom (Vodacom Foundation) kama kampuni ambalo lilikuwa na ukomo wa ahadi ambalo linasaidia jamii na hivyo halikuwa na malengo ya kukuza biashara au uwekezaji lilifutwa kwa tangazo la BRELA la Septemba 11, 2019.
Mfuko huo ambao umekuwepo nchini tangu Oktoba 2007 na...
Morning wakuu!Naomba niende kwenye mada yangu moja kwa moja.
Siku ya jumatatu tarehe 30/11/2020 niliishiwa muda wa maongezi na nikaamua kujiunga kifurushi cha TSH 2,500/ ambapo nilipewa dk50 kwenda mitandao mwingne na dk180 voda kwenye voda tu.
Maana yake nilikuwa na jumla ya dk230,cha...
Vodacom mnatuboa sana sisi wateja wenu! Kila siku mnanitumia msg tuma hela Leo kwa m-pesa upate mb 2 za bure!!!! Mara ukivuta zaidi ya sh.20,000/- kutoka bank kwenda m-pesa yako utapata dk. 2 bure za maongezi!!!.
Mara ukinunua kifurushi chochote Leo utapata dk,1 bure!! Nk. Sasa haya mambo yenu...
Vodacom (T) imeripoti hasara ya shillingi bilioni 5.06 miezi sita kutoka Septemba 2020 kwa sababu ya adhabu dhidi ya makosa ya zamani yanazohusiana kodi kwa zaidi ya miaka 10 iliyopita.
Kulingana na maoni ya wachambuzi mbalimbali, ripoti hiyo ya nusu mwaka kwa kipindi hiki imechora picha mbaya...
Katika dunia ya sasa ambapo kwa sehemu kubwa tunahitaji simplicity nawapongeza Vodacom M-Pesa kwa kuachia API zao za M-Pesa ili developers mbalimbali kuweza kutengeneza products ambazo zitakuwa na uwezo wa kulink na huduma za M-Pesa bila longo longo au procedures nyingi.
Sasa ni wakati wetu...
Kila siku asubuhi kuanzia saa 12 hadi saa 2 ofaa hii inatoa MB 60 bure
Gonga *149*01# then chagua namba 1 after that utaona kama hapo kwenye image then chagua 20 supa then utaiona ASUBUHI SUPA
Kwa tulio mdharau Armstem, tunaenda kushuhudia mambo ambayo hatujawahi kuyashudia huko nyuma, ameanza na kampuni ya Airtel na Vodacom yakihusishwa na kushiriki kadhia uvunjaji wa haki za binadam nchini Tanzania.
Armstedam tuache tupumue hata kidogo waombe Mungu kuwa wanachotuhumiwa nacho kiwe...
Ndugu Mwananchi, Mimi John Pombe Joseph Magufuli, mgombea nafasi ya Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi, kwa heshima na unyenyekevu mkubwa, ninaomba kura yako ya NDIYO kwangu, Mbunge na Diwani wa CCM ifikapo tarehe 28/10/2020, Tumetekeleza kwa kishindo tunasonga mbele pamoja. Asante sana na Mungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.