markbusega
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 826
- 846
Kwa kweli kwa kipindi kirefu zaidi ya miaka 2 hii laini ilibaki ya huduma ya MPESA, nilikuwa natumia Halotel, Hlotel walipoharibu kwenye spidi ya data, nikaona nijaribu Voda. Kinachofanya niandike uzi huu ni jinsi huduma zao zilivyo.
Kwanza kabla ya kujiunga na kifurushi cha siku hawasemi kabla kwamba kifurushi cha siku kinaishia saa 10 jioni, pili hata kama wangesema kabla, siku mzima in a saa 24. Iweje siku yao haieleweki ina masaa mangapi?
Pili, hata data unazonunua unashindwa kujua zimeishaje, maana ukijiunga kifurushi cha siku ndani ya dakika 5 unaambiwa kimeisha.
Sijui nani wakutusaidia!
Naomba msaada ni mtandao upi unaunafuu na wenye huduma ya kuridhisha.
Kwanza kabla ya kujiunga na kifurushi cha siku hawasemi kabla kwamba kifurushi cha siku kinaishia saa 10 jioni, pili hata kama wangesema kabla, siku mzima in a saa 24. Iweje siku yao haieleweki ina masaa mangapi?
Pili, hata data unazonunua unashindwa kujua zimeishaje, maana ukijiunga kifurushi cha siku ndani ya dakika 5 unaambiwa kimeisha.
Sijui nani wakutusaidia!
Naomba msaada ni mtandao upi unaunafuu na wenye huduma ya kuridhisha.