Vodacom mnahuduma mbovu sana. Nimetuma Pesa kwenda mtandao wa Tigo nimekatwa hela lakini baadaye wanatuma message hii,
"Samahani, muamala wako haukukamilika kwasababu za kiufundi. Tafadhali wasiliana na huduma kwa wateja."
Nawapigia customer care wananiambia wana hitilafu ya kimtandao hela niliyotuma ipo hewani.
Kwamba watatua tatizo ndani ya saa 24 nawaambia huo ni muda mrefu hela ni ya mgonjwa hawezi kuwasubiri wanasema hawana njia yeyote ya kutakua.
Nawaza kwa sauti vyombo vinavyowasimamia hawa jamaa TCRA na BOT wako wapi?
Kama wana tatizo na wameona muamula upo sijui hewani si wanirudishie pesa yangu nitume kwa njia nyingine?
Ni wakati muafaka kukomesha huu ubabe wa kibiashara ni kinyume na haki za mteja.
"Samahani, muamala wako haukukamilika kwasababu za kiufundi. Tafadhali wasiliana na huduma kwa wateja."
Nawapigia customer care wananiambia wana hitilafu ya kimtandao hela niliyotuma ipo hewani.
Kwamba watatua tatizo ndani ya saa 24 nawaambia huo ni muda mrefu hela ni ya mgonjwa hawezi kuwasubiri wanasema hawana njia yeyote ya kutakua.
Nawaza kwa sauti vyombo vinavyowasimamia hawa jamaa TCRA na BOT wako wapi?
Kama wana tatizo na wameona muamula upo sijui hewani si wanirudishie pesa yangu nitume kwa njia nyingine?
Ni wakati muafaka kukomesha huu ubabe wa kibiashara ni kinyume na haki za mteja.