vodacom

  1. K

    JamiiForums Tanzania Naomba nielimishwe na Vodacom

    Mimi ni mteja mkubwa wa Vodacom nikinunua bundle ya kila mwezi ya Tshs.35000. Nilinunua bundle ya Tshs.35000 ya GB 10 tarehe 27/11/2019 leo tarehe 30/11/2019 nimepata message kuwa kifurushi changu kimeisha wakati zamani nilikuwa natumia bundle kwa mwezi mzima. Bado sijaamini macho yangu...
  2. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Manager: Resourcing and Development at Vodacom Tanzania

    Position Manager: Resourcing and Development - HRLDOE Role purpose: Delivering an employee experience that unlocks personal growth & business performance by creating a strong community that everyone is proud to be part of. Responsible for acquiring and developing skills and capabilities...
  3. M

    JamiiForums Tanzania MB za Vodacom kuwahi kuisha

    Jamani ni mimi tu au wote? MB za Vodacom zinawahi kuisha kuliko matumizi. Vodacom kunani?
  4. Author

    JamiiForums Tanzania Mtandao upi uko Poa kwenye internet mikoani kati ya Vodacom na Tigo

    Habari Wana JF, Nataka kuwa B2B (Business to Business) customer kwenye moja ya mitandao niliyoitaja hapo juu ambapo nitakuwa nanunua kifurushi kila mwezi. Huwa natumia sana kwenye internet. Naomba kufahamu ni mtandao gani mzuri sana kwenye internet. Nipo Mbeya Natanguliza shukrani wadau
  5. B

    JamiiForums Tanzania Bashir Yakub: Nitayashitaki makampuni manne ya simu

    NAYASHITAKI MAKAMPUNI MANNE YA SIMU. BASHIR YAKUB, Wakili. 0714047241 Naishitaki Tigo, Airtel, Vodacom na Halotel. Kwa mujibu ya Sheria Namba 12/2003 ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania mashtaka ya aina hii natakiwa kuyaandikia makampuni hayo taarifa kuyataka yarekebishe ndani ya siku 30...
  6. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania New Job Vacancies at Vodacom Tanzania, Administrator: M-PESA Agents | Deadline: 01st November, 2019

    Jobs in Tanzania: New Job Vacancies at VODACOM Tanzania, 2019 AJIRA TANZANIA 2019 / NAFASI ZA KAZI 2019 Position: Administrator: M-PESA Agents - MPESAN JOB PURPOSE The M-PESA Agent Administrator will be responsible to assist the M-PESA support Managers deliver against M-PESA revenue targets...
  7. hidemyid2019

    JamiiForums Tanzania Vodacom wamevujisha taarifa zangu(?) - Kuweni makini na matumizi yenu ya Simu

    Kwanza kabisa naomba kuwasalimu wote, Baada ya hapo kama kichwa cha uzi kinavyojieleza naomba kueleza jinsi ilivyokuwa hadi mimi kufikia hatua ya kusema kuwa VodaCom wamevujisha taarifa zangu za mawasiliano Leo majira ya saa nane mchana, niliwasiliana na mwenye nyumba wangu kuhusu tatizo la...
  8. beth

    JamiiForums Tanzania UFISADI: $350 million stolen from Tanzanians in Vodacom scandal

    $350 million (675 BILLION SHILLINGS) stolen from Tanzanians in Vodacom scandal Posted on April 27, 2015 - Tycoons Tanil Somaiya & Rostam Aziz implicated in the scam - Vodacom Tanzania MD Rene Meza receives $5 million bribe to keep silent - Tax worth over 121.5 billion/- evaded in the deal...
Back
Top Bottom