Mimi ni mteja mkubwa wa Vodacom nikinunua bundle ya kila mwezi ya Tshs.35000.
Nilinunua bundle ya Tshs.35000 ya GB 10 tarehe 27/11/2019 leo tarehe 30/11/2019 nimepata message kuwa kifurushi changu kimeisha wakati zamani nilikuwa natumia bundle kwa mwezi mzima.
Bado sijaamini macho yangu...
Position Manager: Resourcing and Development - HRLDOE
Role purpose:
Delivering an employee experience that unlocks personal growth & business performance by creating a strong community that everyone is proud to be part of.
Responsible for acquiring and developing skills and capabilities...
Habari Wana JF,
Nataka kuwa B2B (Business to Business) customer kwenye moja ya mitandao niliyoitaja hapo juu ambapo nitakuwa nanunua kifurushi kila mwezi. Huwa natumia sana kwenye internet. Naomba kufahamu ni mtandao gani mzuri sana kwenye internet. Nipo Mbeya
Natanguliza shukrani wadau
NAYASHITAKI MAKAMPUNI MANNE YA SIMU.
BASHIR YAKUB, Wakili.
0714047241
Naishitaki Tigo, Airtel, Vodacom na Halotel. Kwa mujibu ya Sheria Namba 12/2003 ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania mashtaka ya aina hii natakiwa kuyaandikia makampuni hayo taarifa kuyataka yarekebishe ndani ya siku 30...
Jobs in Tanzania: New Job Vacancies at VODACOM Tanzania, 2019
AJIRA TANZANIA 2019 / NAFASI ZA KAZI 2019
Position: Administrator: M-PESA Agents - MPESAN
JOB PURPOSE
The M-PESA Agent Administrator will be responsible to assist the M-PESA support Managers deliver against M-PESA revenue targets...
Kwanza kabisa naomba kuwasalimu wote,
Baada ya hapo kama kichwa cha uzi kinavyojieleza naomba kueleza jinsi ilivyokuwa hadi mimi kufikia hatua ya kusema kuwa VodaCom wamevujisha taarifa zangu za mawasiliano
Leo majira ya saa nane mchana, niliwasiliana na mwenye nyumba wangu kuhusu tatizo la...
$350 million (675 BILLION SHILLINGS) stolen from Tanzanians in Vodacom scandal
Posted on April 27, 2015
- Tycoons Tanil Somaiya & Rostam Aziz implicated in the scam
- Vodacom Tanzania MD Rene Meza receives $5 million bribe to keep silent
- Tax worth over 121.5 billion/- evaded in the deal...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.