kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,992
- 17,892
Voda wanaingilia mpesa ya mteja na kutoa pesa zote kulipia nipige tafu bila hiari ya mtu
Niwape indhari kuna mtindo voda wamekuja nao, kama unadaiwa nipige tafu mfano 500 ukitaka kununua kifurushi kupitia mpesa mfano kifurushi cha 5000 wanachokifanya ukilipia kwa mpesa wanachukua elfu 5 ulolipia kifurushi kwa mpesa hawakupi kifurushi bali wanaielekeza hiyo 5000 kuja kwenye salio la kawaida wanakata 500 yao halafu hiyo 4500 iliyobaki wanaibakisha kwenye salio la kawaida haya wanafanya bila hiari ya mteja huu ni wizi
Kwanini wasikate pesa wanayodai tu badala yake wanaingia kwenye mpesa na kukomba kiasi chote ulichotarajia kununua kwenye mpesa kisha wanaweka kwenye salio la kawaida bila khiari ya mteja? Huu utaratibu wa kibazazi voda mmeutowa wapi?hii ni too much kwa kweli
Tatizo sio kukata pesa yao, tatizo wanakata pesa yao halafu hizo nyengine wanazichukua wanakuwekea kwenye salio la kawaida hili ndo tatizo, dawa ya deni ni kulipa na ndivyo ilivyo wakate pesa yao lakini sio wakishakata wanachukua na pesa yote ilobaki kwenye mpesa na kuiweka katika salio la kawaida...
Tabia mbovu saaana hii wanafanya..!
Wanapaswa kukata deni lao halafu inayobaki waiache MPESA, kitendo cha kuileta kwenye muda wa maongezi sio sahihi
Halaf inakua ni shida pale unapotaka kujiunga na vifurushi ambavyo masharti yake ni kwamba unatakiwa ulipie kwa mpesa tu yaan hivyo vifurushi vinalipiwaga kwa mpesa tuu sasa wanakuwekea hiyo hela kwa salio la kawaida, hapo inakua ishakula kwako maana hautoweza kujiunga tena hicho kifurushi hiyo hela inaishia kudonolewa tu na wao kwenye hilo salio....
Niwape indhari kuna mtindo voda wamekuja nao, kama unadaiwa nipige tafu mfano 500 ukitaka kununua kifurushi kupitia mpesa mfano kifurushi cha 5000 wanachokifanya ukilipia kwa mpesa wanachukua elfu 5 ulolipia kifurushi kwa mpesa hawakupi kifurushi bali wanaielekeza hiyo 5000 kuja kwenye salio la kawaida wanakata 500 yao halafu hiyo 4500 iliyobaki wanaibakisha kwenye salio la kawaida haya wanafanya bila hiari ya mteja huu ni wizi
Kwanini wasikate pesa wanayodai tu badala yake wanaingia kwenye mpesa na kukomba kiasi chote ulichotarajia kununua kwenye mpesa kisha wanaweka kwenye salio la kawaida bila khiari ya mteja? Huu utaratibu wa kibazazi voda mmeutowa wapi?hii ni too much kwa kweli
Tatizo sio kukata pesa yao, tatizo wanakata pesa yao halafu hizo nyengine wanazichukua wanakuwekea kwenye salio la kawaida hili ndo tatizo, dawa ya deni ni kulipa na ndivyo ilivyo wakate pesa yao lakini sio wakishakata wanachukua na pesa yote ilobaki kwenye mpesa na kuiweka katika salio la kawaida...
Tabia mbovu saaana hii wanafanya..!
Wanapaswa kukata deni lao halafu inayobaki waiache MPESA, kitendo cha kuileta kwenye muda wa maongezi sio sahihi
Halaf inakua ni shida pale unapotaka kujiunga na vifurushi ambavyo masharti yake ni kwamba unatakiwa ulipie kwa mpesa tu yaan hivyo vifurushi vinalipiwaga kwa mpesa tuu sasa wanakuwekea hiyo hela kwa salio la kawaida, hapo inakua ishakula kwako maana hautoweza kujiunga tena hicho kifurushi hiyo hela inaishia kudonolewa tu na wao kwenye hilo salio....