Hivi Mtandao wa Vodacom ndio wamegoma kurudisha vifurushi katika zile bei za mwanzo au bado tusubirie tu

commm

JF-Expert Member
Sep 6, 2019
1,674
1,905
Habari za Asubuhi wakuu, natumaini mumeamka salama na wengine mshaanza kupambana tena kwa siku nyingine hii ya leo ambayo Mwenyezi Mungu ametubariki.

Sasa iko hivi tangu gharama za vifurushi za mitandao ya simu zipande, huu mtandao wa Vodacom naona bado mambo ni yale yale, yaani hakuna walichofanya kama vile hawajui kinachoendelea.

Yaani wameacha zile bei mpya za vifurushi mpaka wakati huu, ikiwa nasiki kuna baadhi ya mitandao wao wamesharudisha bei zile za mwanzo ambazo zilikuwa ni nafuu zaidi kuliko hizi za sasa hivi.

Sasa wakuu labda kama kuna mwenye kujua hizi mambo zitakaa sawa kwa wakati gani, au inabidi nizoee tu kama hawana mpango wa kurekebisha hivyo vifurushi.

Uzi tayari.
 
Nilichogundua watu walianza lalamika kuhusu vifurushi baada ya Haloteli, zantel na TTCL kupandisha vifurushi ila huko nyuma unyonyaji kwenye voda na Tigo. Sasa waliporurudisha mabando yao wakina halotel TTCL na zantel aaah watu tumewasahau voda hawajarudisha... yaaan jamaaa mpaka leo wamekomaa pale pale. Mi laini yao nimeitafuna kabisa washenzi sana.
 
Kilichobaki ni kuvumilia tu mana ndo mtandao uliouchagua.

Na usijidanganye kuhama kwani huwa mitandao yote inachezaga ngoma moja hivyo si ajabu huko kwenye vifurushi vya zamani wakawa mwendo wao ni wa kusua sua hali inayofanya uwe nao sawa kimatumizi.
 
We mgeni voda? Mbona vifurushi vimerudi kama vilivyokuwa awali!

Kabla ya mabadiliko ya bei na ujazo wa vifurushi gharama za vifurushi vya voda zilikiwa juu mno so walichofanya waliongeza bei kidogo na kupunguza ujazo na kilichofanyika baada ya tamko la serikali wamerudisha vifurushi vya awali (ambavyo navyo ni ghali sana) na walichopunguza ni vifurishi vya "ya kwako tu" ambavyo si rasmi.
 
Natamani niitupe hii laini ya voda ni kwa vile nilisajilia bili za maji na acount yaani wananikera bei za vifurushi vya zamani hawajarudisha.
 
Habari za Asubuhi wakuu, natumaini mumeamka salama na wengine mshaanza kupambana tena kwa siku nyingine hii ya leo ambayo Mwenyezi Mungu ametubariki.

Sasa iko hivi tangu gharama za vifurushi za mitandao ya simu zipande, Huu mtandao wa Vodacom naona bado mambo ni yale yale, yaani hakuna walichofanya kama vile hawajui kinachoendelea.

Yaani wameacha zile bei mpya za vifurushi mpaka wakati huu, ikiwa nasiki kuna baadhi ya mitandao wao wamesharudisha bei zile za mwanzo ambazo zilikuwa ni nafuu zaidi kuliko hizi za sasa hivi.

Sasa wakuu labda kama kuna mwenye kujua hizi mambo zitakaa sawa kwa wakati gani, au inabidi nizoee tu kama hawana mpango wa kurekebisha hivyo vifurushi.

Uzi tayari.
Wakipigwa faini, watakaa sawa. Sijui kwa nini hadi sasa hawajafanyiwa hivyo? Labda mamlaka husika wanasubiri faini iwe kubwa ndipo wawapige.
 
Vodacom tanzania ni majeuri sana! Wakifuatiwa na ndugu zao wa Tigo! Washukuru sisi wengine mpaka hapa tulipofikia, hatuwezi kubadili laini mara kwa mara. Kinyume na hapo, ningewakimbia kudadeki zao.

Mtandao wao ni wa ghali sana!!
 
We mgeni voda? Mbona vifurushi vimerudi kama vilivyokuwa awali!

Kabla ya mabadiliko ya bei na ujazo wa vifurushi gharama za vifurushi vya voda zilikiwa juu mno so walichofanya waliongeza bei kidogo na kupunguza ujazo na kilichofanyika baada ya tamko la serikali wamerudisha vifurushi vya awali (ambavyo navyo ni ghali sana) na walichopunguza ni vifurishi vya "ya kwako tu" ambavyo si rasmi.
Kweli kazi ni kwako
 
Vodacom tanzania ni majeuri sana! Wakifuatiwa na ndugu zao wa Tigo! Washukuru sisi wengine mpaka hapa tulipofikia, hatuwezi kubadili laini mara kwa mara. Kinyume na hapo, ningewakimbia kudadeki zao.

Mtandao wao ni wa ghali sana!!
Lilinitesa sana hili ila ckua na namna zaidi ya kuiacha voda iendelee kua hewan kwa ajili ya kupokea ila kupiga na data nakajisajilia kazantel ndo napeta nako hapo.
 
Habari za Asubuhi wakuu, natumaini mumeamka salama na wengine mshaanza kupambana tena kwa siku nyingine hii ya leo ambayo Mwenyezi Mungu ametubariki.

Sasa iko hivi tangu gharama za vifurushi za mitandao ya simu zipande, huu mtandao wa Vodacom naona bado mambo ni yale yale, yaani hakuna walichofanya kama vile hawajui kinachoendelea.

Yaani wameacha zile bei mpya za vifurushi mpaka wakati huu, ikiwa nasiki kuna baadhi ya mitandao wao wamesharudisha bei zile za mwanzo ambazo zilikuwa ni nafuu zaidi kuliko hizi za sasa hivi.

Sasa wakuu labda kama kuna mwenye kujua hizi mambo zitakaa sawa kwa wakati gani, au inabidi nizoee tu kama hawana mpango wa kurekebisha hivyo vifurushi.

Uzi tayari.

Voda na tigo bado wanayuchezea akili zetu. Airtel bado sijajua ka washarudisha
 
Habari za Asubuhi wakuu, natumaini mumeamka salama na wengine mshaanza kupambana tena kwa siku nyingine hii ya leo ambayo Mwenyezi Mungu ametubariki.

Sasa iko hivi tangu gharama za vifurushi za mitandao ya simu zipande, huu mtandao wa Vodacom naona bado mambo ni yale yale, yaani hakuna walichofanya kama vile hawajui kinachoendelea.

Yaani wameacha zile bei mpya za vifurushi mpaka wakati huu, ikiwa nasiki kuna baadhi ya mitandao wao wamesharudisha bei zile za mwanzo ambazo zilikuwa ni nafuu zaidi kuliko hizi za sasa hivi.

Sasa wakuu labda kama kuna mwenye kujua hizi mambo zitakaa sawa kwa wakati gani, au inabidi nizoee tu kama hawana mpango wa kurekebisha hivyo vifurushi.

Uzi tayari.
Wamesema hawapangiwi na kujibu kabisa kua Vodacom kazi ni kwako
 
Back
Top Bottom