vodacom

  1. Mlenge

    Vodacom, huu wema umeanza lini?

    Vodacom, huu wema umeanza lini? Leo nimeona push menu za USSD, zikiniuliza na hatimaye kuniwezesha kujitoa kwenye matumizi ya salio kulipia huduma za mtandao wa intaneti kutoka kwenye salio la kawaida. Kwa hiyo kuanzia leo, hata bando la GB likikata, salio la kawaida lililopo halitaguswa...
  2. Mkyamise

    VodaCom mmezidi

    Jamaa wamekuja na mpya sasa. Ukitaka kuangalia salio M-Pesa kawaida unatozwa shilingi 60. Ukitaka kuangali bure unaambiwa download App yao. Sasa mimi nina simu ya tochi. Je hiyo App ninaiwekaje? Duuhhhh
  3. Naantombe Mushi

    Kwa wanaojua, hivi naweza kutumia Vodacom Mastercard kupokea pesa nje

    Kuna platform ya betting najaribugi bahati humo kama mjuavyo hakuna pesa chafu na maisha kupambana. Sasa kuna issue ya kwenye ku withdrawal, nimeona wao wana options za kutumia debit card au credit card, sasa mimi pia nnayo Vodacom mastercad, endapo nikijaribu kutoa mpunga kwa kuweka ile namba...
  4. K

    Tanzania tulimkataa Mkenye kuwa Mkurugenzi wa Vodacom lakini tukaruhusu Egyptian!

    Watu weusi wengi tuna jichukia/self hate. Serikali ilimkataa Mkenya kuwa CEO wa Vodacom Tanzania kwa kisingizio tunahitaji mkurugenzi Mtanzania. Cha kushangaza mkurugenzi wa Voda Tanzania sio Mtanzania ni Egyptian. Sasa ni kwanini tumkatalie Mkenya lakini tumruhusu Egyptian!!. Hata wataalamu...
  5. Infantry Soldier

    Vodacom Tanzania: Kwanini mnataka kunisitishia huduma ya kukopa M-PAWA halafu tena mnaniuliza kama ninahitaji mkopo?

    Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Sio kila muda tunapaswa kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya Cold War, jeshi na ujasusi wa KGB. Leo ngoja tujadili kidogo...
  6. kokudo

    Vodacom wanavyonitesa na kuonekana tapeli

    Ndugu Wasalam, Nimekua mteja wa kununua bidhaa mtandaoni mara kwa mara na mzigo wangu wa mwisho nimelipa kwa Mpesa MasterCard. Lakini Vodacom wameng'ang'ania hela yangu niliyoweka Mpesa MasterCard kumbe Card ime expire ila wao wakakubili pesa iingie nilipojaribu kuitoa IMEGOMA. Kinachoniuma...
  7. YEHODAYA

    Mteja wa Vodacom sasa anaweza kupokea pesa kutoka nchi za nje akitumiwa kwa njia ya World Remit, Money Gram na Juba express

    Kilio cha wadau cha kutaka kurahishwe njia za kupokea pesa zimeanza kusikilizwa Sasa hivi Mteja wa vodacom mwenye Mpesa Sasa waweza pokea pesa toka nchi za nje kwenye simu yako ukitumiwa kwa njia ya World Remit,Money Gram na Juba express. Kama una mtu nje na una namba ya vodacom yenye Mpesa...
  8. Mlenge

    Pongezi kwa TPB na Vodacom Tanzania kwa huduma ya M-Koba

    Pongezi nyingi kwa TPB na Vodacom Tanzania kwa huduma maridhawa ya M-Koba. Nimefurahi kukuta sasa mtu mwenye laini ya simu ya mtandao wowote anaweza kuwa mwanachama wa M-Koba. Mbona kimyakimya? Hili ni jambo kubwa sana. Lilipaswa kuzinduliwa kwa mashamsham yote. Fursa ya Kuboresha: Wekeni...
  9. E

    TCRA Tanzania kwa haya yanayofanywa na kampuni ya Vodacom Tanzania kwa wateja wanaotumia simu janja yako sawa?

    TCRA tanzania, naomba mnisaidie kujua kama mambo yanayofanywa na kampuni ya simu ya vodacom tanzania nisahii! Nakama nisahii mtupe ufafanuzi, kama siyo sahihi mkomeshe jambo hili na muwaagize warudishe gharama tulizotumia katika huduma ambayo kimsingi ni haki kwa mteja kuipata bila gharama...
  10. Determinantor

    Vodacom huu sio ustaarabu

    Leo nimeletewa SMS kuwa bundle yangu imeisha, ilikuwa bundle ya week ya 3GB, nikajiunga tena, ghafla nikaletewa sms tena baada ya masaa matatu kuwa bundle limeisha. Nimepiga naona hatuelewani kabisa, mshawahi kukutana na scenario ndugu zangu?. Sijadownload wala live streaming wala sija update...
  11. pecial

    Pesa kutoka Safaricom kwenda Vodacom M-Pesa

    Jamani nimetumiwa pesa kutoka Kenya kwa kutumia Safaricom kuja kwa M-Pesa yaani kwenye namba yangu ya Voda ila ni nusu saa sasa haijafika. Kwa wale mliowahi tumiwa pesa kwa safaricom hebu nisaidieni uzoefu, huwa inachukua muda gani kupata pesa?
  12. T

    Vodacom na mitandao ya simu wekeni uwezo wa mtu kurudisha pesa aliyoipokea kimakosa

    Mitandao ya simu imerahisisha maisha kwa kuruhusu mtu kujirudishia pesa aliyotuma kimakosa kwenda kwa mtu mwingine. Hili tumelipokea kwa mikono miwili. Sasa naomba muweke uwezo wa mtu kurudisha muamala wa pesa ambayo ameipokea kimakosa au ambayo haitambui. Naomba wazo hili mlifanyie kazi...
  13. yahoo

    Tigo, Vodacom ni matapeli wa hali ya juu, hii ni baada ya kununua smart kitochi

    Baada ya kuskia matangazo ya smart kitochi, nikaenda zangu mliman city kushuhudia kitochi kikoje.nikaingia tigo kuzicheki zao then nikaingia voda, lakini nikagundua za Tigo ni bora zaidi ya voda, ingawa voda zinauzwa kwa bei ya chini na ofa zao ni nyingi ,yani wanakupa gb kibao dakika sms fb ya...
  14. C

    Hivi Matumizi ya internet kwa mtandao wa Vodacom yako vipi?

    Wakuu nauliza hivo maana kilichotokea wala sijaamini Yaani 1GB imeisha kwa kudownload apps mbili tu na kutumia whatsapp ndani ya dakika 10 Hii kali sasa
  15. T

    Ligi kuu ya Vodacom kuchezwa kituo kimoja

    Habari Taarifa ambayo Ni Rasmi Mh.Waziri Mwenye Dhamana Ya Michezo Mh.Harrison Mwakyembe Ametangaza kuwa Mfumo wa Uchezaji wa Ligi katika Mpira wa Miguu ni kuwa Ligi kuu itachezwa katika Mkoa mmoja ambao ni Dar es Salaam hivyo timu zote zitacheza mkoani Dar. Huku Ligi daraja LA kwanza na ligi...
  16. Vodacom Tanzania

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Ndugu mteja, Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu? Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi. Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya: - Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika...
  17. C

    Mnada poa wa Vodacom

    Habari zenu wakuu Kuhusu hii kampeni ya mnada poa ya Vodacom, Je ni kweli? Na kama ni kweli, mbona hatuoni hao washindi wakitangazwa?
  18. Jamii Opportunities

    Digital Support Executive at Vodacom

    Posting Country: Tanzania, United Republic of Full Time / Part Time: Full Time Contract Type: Permanent Joining Vodacom is more than a job, what we do matters. We don’t just carry minutes, texts and data – we carry people’s lives. And that’s a huge responsibility. If you think for a minute...
  19. J

    Vodacom yachangia Tsh. 2 bilioni mapambano dhidi ya Corona

    Kampuni ya simu ya Vodacom imetoa mchango wa shilingi bilioni 2 kusaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Covid 19. Mchango huo amekabidhiwa waziri wa afya, Ummy Mwalimu My take; mbona hatuioni michango ya vyama vya siasa kwa mfano Chadema?
  20. Jamii Opportunities

    System administrator at Vodacom

    Posting Country: Tanzania, United Republic of Full Time / Part Time: Full Time Contract Type: Permanent Joining Vodacom is more than a job, what we do matters. We don’t just carry minutes, texts and data – we carry people’s lives. And that’s a huge responsibility. If you think for a minute...
Back
Top Bottom