Footage has emerged of Barack Obama giving a clear and concise way for the United States to effectively combat a pandemic – back in 2014.
As Donald Trump continues to deflect blame for the spread of coronavirus in the US, it would appear that his predecessor already had a plan in place to fight...
Wadau, kuna video inasambaa huko mitandaoni ikionyesha wahudumu wa afya katika mtaa unaotajwa ni mtaa wa Nkuruma street katika ya jiji asubuhi hii wakitoa kinachoonekana ni mwili wa mtu huku wakiwa wamevaa gloves na mavazi maalumu ya kuwakinga na maambukizi (protective gear).
Swali:kuna nini...
habari zenu wakuu,
kwa wale wote wanaotaka LOGO kwa ajili ya makampuni, NGO's na mashirika mbal mbali, ukitaka LOGO ya 3D au 2D zote tunadesign kwa 50,000 tu unapata brand logo yako nzuri na yakuvutia...
pia ukiitaji POSTERS zenye kuvutia wasomaji tunadesign kwa 20,000 tu...na pia ukiitaji...
Wakuu,
Naomba kujuzwa kuhusu sheria iliyowekwa hapa Tanzania ya kupost content kwenye youtube channel. Je, ni content za aina gani ambazo zinapaswa kulipiwa hiyo tshs 1,000,000 au labda ni channel yoyote ile mradi tu unafungua youtube?
Hii ni njia mbaya kabisa ya kuzuia vijana kujipatia...
Baada ya kuona Corona inawachakaza wazungu vibaya mno, wanasayansi wao wameamua kufanya mipango ya kuja kuwatumia wa-Afrika weusi kama ‘guinee pigs’ (panya wa majaribio) kwa kisingizio cha kuja kutoa chanjo, kumbe lengo ni kufanyia utafiti hizo chanjo kuona ipi ina madhara na ipi inafanya kazi...
Karne hii ya kidigitali wizara hii inafanya ? Vifaa vipo, walimu wapo wa kurekodi, nini shida?
Kwa kila topiki tena na nyenzo za kufundishia
Hii Wizara iamke usingizini
Kwa hapa Tanzania bado tunapima JOTO
Unaweza kuona namna hali isivyo shwari.
Dunia imefikia hapa kwa kutokuwa serious kwetu kuhusu COVID-19 tang mwanzo.
By Sangu Joseph
.
Ninawaza kuwaambia watu nimeiona video ya Bedroom ya Harmonize_tz na hasa nikikumbuka Mzee wangu Jakaya Kikwete alipoteza muda wake kushuhudia uzinduzi wa hii Audio, nadhani kama angejua Video Ingekua hivi ambayo Mimi nimeiona angeagiza usiimbwe pale Mlimani.
Afroeast ya...
Rais wa Marekani Donald Trump amefuta Mkutano wa viongozi wa mataifa 7 tajiri dunaini G7 na badala yake watazungumza kwa njia ya vidio kutoa fursa kwa viongozi kushughulikia mpripuko wa maambukizi ya virusi vya corona katika nchi zao.Mkutano huo uliokuwa uwakutanishe viongozi wa mataifa ya...
One of the UK's most senior black female police officers has been sacked after her conviction for possessing a video clip of child abuse.
Supt Robyn Williams was ruled by Metropolitan Police Assistant Commissioner Helen Ball to have committed gross misconduct.
At a fast-track misconduct...
Vifaa hivi vinauzwa kwa ajili ya matumizi ya Go Pro camera vifaa vya kufungia sehem mbali mbali kwenye maji, gari, pikipiki na hata baiskel kwa angle unayotaka na ukapata shoot yako nzuri na kwa position unayoitaka.
Jipatie vifaa hivi kwa 100,000/= & 150,000/= vinakua box.
CALL WHATSAPP &...
JAmani wanajamvi nilikua na utata, kama kuna mtu anaweza utundu wa kuweka muziki kwenye video ya kujirecord anielekeze, au hata kama kuna app basi tuambizane.
Kwa watu wenye uelewa wa hili tatizo naombeni mnisaidie,
Video ninazozirekodi na simu yangu ya Samsung huwa haziplay vizuri kwenye computer, video ina play kisha inasimama simama wakati track bar ya program ya kuplay video inatembea.Track bar ni kile kiashiria kinachoonyesha video ipo sekunde...
Kuna kila dalili ya jinai ya kubaka ikiwahusisha wanawake katika hii connection mpya mjini.
Kwa uelewa wangu mdogo wa sheria zetu Tanzania, mwanamke hawezi kuwa convict kwa kosa la ubakaji unless iwe gang rape na huyo mwanamke/wanawake wahusike katika kusaidia ubakaji kufanyika.
Hii connection...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.