Diamond anajua sana aisee, kwamfano kwenye ile official video ya nyimbo ya gere (tanasha x platnumz) kuanzia ile dakika ya 1:57 mpaka dakika ya 2:15 jamaa kaonesha body language presence ya hali ya juu sana, pale anapoanza kuimba "Eeh mama kasema mwali mwana, umepata ntuliee simba, ntuliee...
Wabunge wa CHADEMA leo wameanza kuwasili katika ofisi za TAKUKURU jijini Dodoma kwa ajili ya kuhojiwa. Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi (Sugu) amekuwa wa kwanza kufika.
TAKUKURU ilisema itawahoji wabunge 69 wa chama hicho kufuatia malalamiko juu ya matumizi ya fedha za makato katika...
Polisi mwingine muuwaji huko New Mexico, Marekani huyo hapo.
====
Body camera footage obtained Sunday shows a New Mexico police officer telling a man he’s going to “choke you out” before allegedly causing his death with what authorities described as a “vascular neck restraint.”
The officer...
Mwanamke Mmoja na mpwa wake wamefikishwa Mahakamani nchini Uganda Wakituhumiwa kuingia nyumbani kwa Mwanaume na kujificha juu ya dari kisha kumrecord Video wakati akijamiiana na baadaye wakamtaka alipe Mil 150 ya Uganda ili wazivujishe Mzigo huo (Video) Mtandaoni,
Wawili hao wameshtakiwa kwa...
SIMBA KAMA LION, ALMASI KAMA DIAMOND, HAKIKA MAJINA HAYA ANAYATENDEA HAKI KWA VITENDO ZAIDI
NI ZAIDI YA WIKI SASA VIDEO YA QARANTINE BADO IMETULIA KILELENI KWENYE VIDEO ZINAZOTREND YOUTUBE BILA BUGUDHA AMA KUPEPESWA,
HIVI KARIBUNI NILITEGEMEA VIDEO ITASHUKA BAADA YA WASANII MAARUFU KUTOA VIDEO...
Wakuu kama kichwa kinavyojieleza nahitaji software ya kushushia video kwenye Youtube kwenye Macbook, ikiwa zipo zeye funguo tafadhali nishushie na funguo zake
Teknolojia imekua, na mambo mengi yanafanyika kutokana na ukuaji huo wa teknolojia ili kurahisisha mambo. Kwa upande wa uhusiano, unaweza kutafuta mchumba popote pale duniani na mkaonana kwa kutumia vifaa vya mawasiliano.
Kumekuwa na wimbi la kutafuta wachumba kimtandao, na wakati mwingine...
Minneapolis, USA
Police nationwide, in unequivocal and unprecedented language, have condemned the actions of Minneapolis police in the custody death of a handcuffed black man who cried for help as an officer knelt on his neck, pinning him to the pavement for at least eight minutes.
“There is...
Waziri wa utalii Dkt. Kigwangalla leo amezindua video ya kupromote utalii wetu duniani kote.
Dkt. Kigwangalla amesema video hiyo ambayo itasambazwa dunia nzima ikionyesha vivutio vya utalii nchini itawafanya watalii waanze kumiminika Tanzania licha ya mkwamo wa Corona ulioikumba dunia...
Haya tuliyaona mapema na tukawaonya wasaliti wote kwamba Usaliti ni laana na inateketeza hadi kizazi cha 4 kwa bahati mbaya wakaona kununuliwa kama mafungu ya dagaa ni kuzuri, sasa yamewakuta.
Hivi mbunge kama Mtolea wa Temeke atamshinda nani kwenye kura za maoni ?
Leo hii NEC iliandaa kikao maalum na wawakilishi wa vyama vyote vya siasa ili kujadili na kupokea baadhi ya marekebisho ya sheria mbali mbali.
Ktk kutekeleza hayo NEC walikwisha andaa documents tayari kwa kila mwakilishi wa chama azisome na kuzisaini hapo hapo. Mnyika akastukia mchezo wao kwani...
======
A video taken by an onlooker Monday evening shows a Minneapolis police officer keeping his knee on the neck of a motionless, moaning man at the foot of a squad car. The man, who was later identified as George Floyd, later died.
Tuesday afternoon, Minneapolis Police Chief Medaria...
Gaming Startup Usiku Games has launched what they describe as the first “made in Africa for Africa” video conferencing system. Dubbed Gumzo, which is Kiswahili for chatting, the new platform promises better quality calls with unlimited attendees at affordable prices.
Currently, the company says...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.