Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,530
- 217,794
Kama ambavyo Watanzania wengi tulivyoguswa na msiba huu mzito wa Kitaifa, wasanii wetu pia wameguswa.
nini tena mkuu ?
Dah umenikumbusha utotoniTID wa enzi za Zeze
Nyota yangu bwana weweDah umenikumbusha utotoni
Zeze
Aisha
Nyota yangu
Kweli muda ukuta,huju jamaa sijui alikwama wapi
Acha kabisa huju jamaa alikuwa fundi wa kuimbaNyota yangu bwana wewe
AnaumwaKufilisika na bangi ni vitu vibaya sana.