Polepole anasema majimbo yote yenye mbunge wa ccm hata kama hafanyi vizuri asisumbuliwe na mtu. Nafikiri watanzania tunajipeleka kwenye utawala wa ki-imla kwa kushabikia chama hiki na kuua upinzani. Bado hatujaona machungu ya kuua nguvu ya upinzani. Wenzetu walioendelea kamwe hawafanyi hivi...
Miaka ya tisini (1990s) swala la kumiliki television a.k.a video ilikuwa ni tatizo ni familia chache sana ambazo zilizokuwa na uwezo wa kumiliki, hivyo kuifanya ni bidhaa hadimu kwenye mitaa ya uswahilini.Nakumbuka miaka hiyo tukiwa tumepangisha maeneo ya Kinondoni mtaa wa togo karibu na kipindi...
Footage on state TV shows the vehicle disappearing inside the sinkhole in the city of Xining as people run away
Photo: Chinese rescuers prepare to lift a bus out of the ground after the road collapse in Xining. Photograph: STR/AFP via Getty Images
An enormous sinkhole has swallowed a bus and...
A video of slain Iraqi militia leader Abu Mahdi al-Mohandes in which he expresses his wish of dying only after seeing Saudi Arabia “destroyed” has resurfaced and gone viral after being shown on Iranian state television.
The video is a short, behind-the-scenes clip from a more than...
Baracka the Prince ametamka hayo wakat akihojiwa na kituo fulan, amesema Kwa sasa ni kumkosea heshima Diamond kumfananisha na Ally Kiba , na hvyo Ally Kiba anatakiwa afananishwe na Best naso , video sekunde 38 waweza Ichek
Mzuqa!
Hizi sankshen za Marekani dhidi ya Iran balaa na zina effect kubwa sana.
Pia ukitazama kwa makini utamuona Qassim Solemani kwenye mstari wa mbele akilia sana enzi za uhai wake huku kafunika uso wake kwa kiganja.
Inaonekana hii ni kama bongo star sech yao ama X Factor yao. Nimecheka...
Iran imerusha makombora zaidi ya 10 ikilenga Majengo ya Marekani yaliyopo Kaskazini mwa Iraq ikiwemo Kambi ya Jeshi ya Ain al-Asad ambapo kuna Majeshi ya Marekani ikiwa ni siku chache baada ya Marekani kumuua Qassem Soleimani
Chaneli ya Taifa ya Iran imesema, Jeshi la Kimapinduzi la Nchi hiyo...
Kikao cha Baraza la Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam nchini Tanzania cha kujadili tuhuma zinazomkabili Meya wa jiji hilo, Isaya Mwita kimesimama kwa muda baada ya jina la mjumbe wa Chama cha Wananchi (CUF) kusainiwa wakati hayupo ukumbini.
Kikao hicho kinafanyikia ukumbi wa Karimejee jijini...
Kiungo wa Arsenal Mesut Ozil ameondoshwa kwenye mchezo wa video wa Pro Evolution Soccer (PES) 2020 toleo la Uchina baada ya kuikosoa nchi hiyo kwa kuwatesa jamii ya Waislamu ya Uighur.
Ozil, 31, ambaye ni Muislamu, amewaita Wauighur (Wachina wa asili ya Kiislamu) "mashujaa wanaokabiliana na...
Juzi Diamond Platnumz alikuwa Guinnea Bissau akipiga show ,
Wimbo wa mdogo mdogo ulipopigwa uwanja wote ulizizima na ikawa shangwe kila Kona chek video, video ni fupi ya dk moja
Verdiana Mjwahuzi (81) ambaye ni mama wa mwandishi wa habari, Erick Kabendera amemuomba Rais wa Tanzania, John Magufuli kumsamehe mwanaye.
Akizungumza kwa huzuni leo Ijumaa Desemba 13, 2019 katika mkutano na waandishi wa habari, Verdiana amesema Kabendera ni mwanaye pekee anayemsaidia katika...
Habari ya asubuhi wanajamii.
Kuna mambo mengi sana ya kuiga hapa duniani lakini kuna mengine siyo ya kuiga kabisa kama jambo ambalo amefanya Mr Blue kuvaa mavazi ya kinazi kwenye video ya music inayokwenda kwa jina MAWE akiwa kashirikishwa yeye pamoja na RayVanny na msanii wa kitaa ambaye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.