Aisee siasa za bongo utasuuzika na roho yako.Tutakuwa tukibadilisha badilisha kutaja maeneo halisi atakayokuwepo mgombea kwa muda husika kutokana na jinsi tunavyoona kiusalama. Pia hili gari analotumia Lissu msilichukulie poa maana yaliyomo humo yamo!
Tunaondoka Tarime kama hivyo!
Duh....hivi jiwe hajaanza kutafuta wadhamini kweli!!
🤣🤣🤣Chadema imekufa haya sasa
Mkuu haya maneno Magu hawezi akayaongea,anajua what happenedLowassa alidekiwa barabara huko na kura wakamyima.
Dah kuna baadhi tunaumia sana tukiona hii nyomi tunatamani tungekuwa sisiTutakuwa tukibadilisha badilisha kutaja maeneo halisi atakayokuwepo mgombea kwa muda husika kutokana na jinsi tunavyoona kiusalama. Pia hili gari analotumia Lissu msilichukulie poa maana yaliyomo humo yamo!
Tunaondoka Tarime kama hivyo!
Duh mkuu naona Mara imezizima hapo kweli mwaka huu ni mwaka wa CDM, Mungu awalinde katika safari yenu naamini hadi mwisho wa safari tutakuwa tumeelewana kabisa.Tutakuwa tukibadilisha badilisha kutaja maeneo halisi atakayokuwepo mgombea kwa muda husika kutokana na jinsi tunavyoona kiusalama. Pia hili gari analotumia Lissu msilichukulie poa maana yaliyomo humo yamo!
Tunaondoka Tarime kama hivyo!
Mtu asiye na busara ndiye atasema hayo uliyoyasema. Tutajuta na lipi lankujutisha mlilokuwa nalo.Watajuta
Hafi wala hana pressure, yuko fresh kabisa. Nyie campaign yenu imekuwa ni vilio tuuMeko atakufa kwa pressure mwaka huu.
Anajuta sana kwanini aliwaziba wenzie midomo kwenye masuala ya kisiasa kwa miaka minne na nusu.
Alipokuwa anatamba peke yake alidhani watanzania wanampenda kumbe alikuwa anajidanganya.
Ona sasa mgombea wa CHADEMA anavyopokelewa kifalme kila apitapo.