Kama unamtu serious humu mwambie asiwe anajirahisisha , kama unajua unamtu punguza kuishi humu kama single lady au single man jitoe humu, maana sasa wengine ila sio mie , wanajua waliohumu wapo free kumbe kashikwa.
Unajua bisa mtu wako anasoma unatongoza humu mtu mwingine inakera . Hata kama...