Naombeni ushauri: Wazazi wananizuia kuondoka nyumbani kwenda kutafuta maisha

Dullah694

Member
Jan 20, 2021
31
48
Habari mimi ni kijana wa miaka 23 nimemaliza masomo yangu ya chuo kikuu mwaka huu.

Tangu nimalize chuo nipo nyumbani nakumbana na changamoto wazazi wamenizuia kuondoka hapa nyumbani nikajaribu bahati yangu huko pengine.

Pia nikitaka nijaribu kufanya kazi yoyote wananikatalia wanasema siwezi nkafanya kazi za wasiosoma nisubiri kazi za ofisini.

Hata kama nijaribu biashara nazuiwa wanasema kila kitu nnapata kula pia sitegemewi so nitulie tu mpk nitakapopata kazi naombeni ushauri
 
Habari mimi ni kijana wa miaka 23 nimemaliza masomo yangu ya chuo kikuu mwaka huu.

Tangu nimalize chuo nipo nyumbani nakumbana na changamoto wazazi wamenizuia kuondoka hapa nyumbani nikajaribu bahati yangu huko pengine.

Pia nikitaka nijaribu kufanya kazi yoyote wananikatalia wanasema siwezi nkafanya kazi za wasiosoma nisubiri kazi za ofisini.

Hata kama nijaribu biashara nazuiwa wanasema kila kitu nnapata kula pia sitegemewi so nitulie tu mpk nitakapopata kazi naombeni ushauri
Tafuta kazi ukiwa hapohapo uanze kujitegemea.ukisimama imara utahamia kwako utaanza maisha yako,utaoa na mengine yatakuja.hao ni wazazi wako,wamepitia hatua hiyo yako so wanaielewa dunia na ulimwengu ulivyo kwa ujumla hasa katika utafutaji wa riziki.wasikilize

Huna wategemezi,una kwenu unakula unalala,na bado wanakuomba usiondoke,kuna wenzio wakifikisha miaka 18 mzee anamwambia ushakua mwanaume kesho nsikukute kwangu
Na hapo ana 4m4 ama la saba tu.

Pata picha una kibarua ama biashara 5000 kwa siku ndo faida,kula siku nzima,kodi,bili,nauli uanjigawaje?

Jipange hapo,una miaka 23,jipe miaka miwili ukifika 25 unaondoka
 
Habari mimi ni kijana wa miaka 23 nimemaliza masomo yangu ya chuo kikuu mwaka huu.

Tangu nimalize chuo nipo nyumbani nakumbana na changamoto wazazi wamenizuia kuondoka hapa nyumbani nikajaribu bahati yangu huko pengine.

Pia nikitaka nijaribu kufanya kazi yoyote wananikatalia wanasema siwezi nkafanya kazi za wasiosoma nisubiri kazi za ofisini.

Hata kama nijaribu biashara nazuiwa wanasema kila kitu nnapata kula pia sitegemewi so nitulie tu mpk nitakapopata kazi naombeni ushauri
Tafuta kazi, zenye uelekeo wa kazi uliyosomea, pia soma zaidi
 
Habari mimi ni kijana wa miaka 23 nimemaliza masomo yangu ya chuo kikuu mwaka huu.

Tangu nimalize chuo nipo nyumbani nakumbana na changamoto wazazi wamenizuia kuondoka hapa nyumbani nikajaribu bahati yangu huko pengine.

Pia nikitaka nijaribu kufanya kazi yoyote wananikatalia wanasema siwezi nkafanya kazi za wasiosoma nisubiri kazi za ofisini.

Hata kama nijaribu biashara nazuiwa wanasema kila kitu nnapata kula pia sitegemewi so nitulie tu mpk nitakapopata kazi naombeni ushauri

Mdogo wangu waombe radhi wakuruhusu uondoke,kutafuta nyumbani ni ngumu kutoboa watakulisha mpaka lini?hatuombei mabaya vipi wangekuwa hawapo.
 
Waambie ukweli siku wanaweza wakaondoka wasiwepo dunianutaishi vp na dunian hii ambayo haina huruma zaid ya wazazi wako wengi wamekuwa na maisha ya ovyo baada ya wazazi wao kuondoka dunian halaf walikuwa wanawalea kimayai niliona kijana mmoja arusha alikuwa analelewa ivo ivo mwisho wa siku wazaz wakafarik dogo akaja kuwa shoga mpk leo hii nakwambia hawez kazi yyte ngumu na mali za kwao ndugu walimzulum alikuwa yuko peke ake
 
Habari mimi ni kijana wa miaka 23 nimemaliza masomo yangu ya chuo kikuu mwaka huu.

Tangu nimalize chuo nipo nyumbani nakumbana na changamoto wazazi wamenizuia kuondoka hapa nyumbani nikajaribu bahati yangu huko pengine.

Pia nikitaka nijaribu kufanya kazi yoyote wananikatalia wanasema siwezi nkafanya kazi za wasiosoma nisubiri kazi za ofisini.

Hata kama nijaribu biashara nazuiwa wanasema kila kitu nnapata kula pia sitegemewi so nitulie tu mpk nitakapopata kazi naombeni ushauri
Acha uongo Hakuna mzazi anaongea upuuz huo Seema wew mwenyewe Ni mjinga tu ndio umeamua kulet Uzi humu
 
kama uthubutu wa kufanya chochote unao komaa tafuta kazi uondoke japo hawatokuelewa kwa sasa ila baadae wataelewa, wazazi mda mwingine wanakosea kama fursa wanakutaftia basi ikukute ukiwa na kitu unafanya sio waseme kazi za wasiosoma alafu ukifikisha 27+ huna kazi waanze waneno. 23 yrs kama unajitambua waweza kufanya kitu na kuishi maisha yako.
NB: hakuna atakaeishi maisha yako tofauti na wewe mwenyewe
 
usiwaendekezee mkuu, pambana nao mpaka kieleweke, usije kuishia kama nilivyoishia mimi. wazazi wa kiswahil iwengi wao ni mizinguo sana.
 
Back
Top Bottom