FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,883
- 109,213
Hapa Jamii forums, hapo zamani tumeshajadili sana kuhusu misamaha ya kodi ya kila namna na jinsi inavyotuumiza. Leo hii sitaki kuchanganya mjadala wa kodi aina nyingi, nashauri hapa misamha ya kodi sehemu mbili tu ifutwe:
1) Wabunge wote wafutiwe misamaha yote ya kodi.
2) Taasisi za kidini zifutiwe misamaha yote ya kodi.
1) Wabunge:
Hakuna asiyeelewa kuwa Tanzania wabunge wanalipwa vizuri sana kuliko sehemu nyingi sana serikalini na uraiani. Licha ya kipato chao kuwa kikubwa, wana upendeleo maalum wa mikopo, hapohapo wanasamehewa kodi.
Naamini hii si haki kwa Watanzania ambao wengi wetu ni vipato vya chini kuendelea kuwasamehe kodi wabunge.
Misaaha ya kod kwa wabunge, imeleta athari ya kuwa na wabunge wengi ambao wapo bungeni kwa maslahi yao binafsi na si kwa kuwatumikia Watanzania. Tujadili.
2) Taasisi za dini.
Hapa ndiyo kabisa siioni sababu ya hizi taasisi kuwa na misamaha ya kodi. Sioni sababu hata moja ya kwanini taasisi za dini ziwe na misamaha ya kodi.
Tunaitaka serikali yetu, ilitazame hili haraka iwezekanavyo, misamha ya kodi yote ifutwe kwa wabunge na na taasisis za kidini.
Enough is enough.
Hili la taasisi za kidini tumeona likipigwa danadana, mara linafungiwa misamaha mara inardushwa. Tuwe na msimamo mmoja ytu na lisijadilike. Kama hatuwezi kuendesha dini etu mpaka tuwe na misamaha ya kodi, tusifunguwe taasisi za kidini, tufundishane dini misikitini na makanisani, misikiti na makanisa yasiweza kujiendesha bila misamaha ya kodi ifunge milango yake na izifanye kumbi za starehe serikali iingize pesa.
Binafsi, misamaha ya kodi naiona kuwa ni wizi mtupu.
1) Wabunge wote wafutiwe misamaha yote ya kodi.
2) Taasisi za kidini zifutiwe misamaha yote ya kodi.
1) Wabunge:
Hakuna asiyeelewa kuwa Tanzania wabunge wanalipwa vizuri sana kuliko sehemu nyingi sana serikalini na uraiani. Licha ya kipato chao kuwa kikubwa, wana upendeleo maalum wa mikopo, hapohapo wanasamehewa kodi.
Naamini hii si haki kwa Watanzania ambao wengi wetu ni vipato vya chini kuendelea kuwasamehe kodi wabunge.
Misaaha ya kod kwa wabunge, imeleta athari ya kuwa na wabunge wengi ambao wapo bungeni kwa maslahi yao binafsi na si kwa kuwatumikia Watanzania. Tujadili.
2) Taasisi za dini.
Hapa ndiyo kabisa siioni sababu ya hizi taasisi kuwa na misamaha ya kodi. Sioni sababu hata moja ya kwanini taasisi za dini ziwe na misamaha ya kodi.
Tunaitaka serikali yetu, ilitazame hili haraka iwezekanavyo, misamha ya kodi yote ifutwe kwa wabunge na na taasisis za kidini.
Enough is enough.
Hili la taasisi za kidini tumeona likipigwa danadana, mara linafungiwa misamaha mara inardushwa. Tuwe na msimamo mmoja ytu na lisijadilike. Kama hatuwezi kuendesha dini etu mpaka tuwe na misamaha ya kodi, tusifunguwe taasisi za kidini, tufundishane dini misikitini na makanisani, misikiti na makanisa yasiweza kujiendesha bila misamaha ya kodi ifunge milango yake na izifanye kumbi za starehe serikali iingize pesa.
Binafsi, misamaha ya kodi naiona kuwa ni wizi mtupu.
Serikali ya Tanzania yazungumzia msamaha wa kodi kwa taasisi za dini
Serikali imesema bado inaendelea kutathmini maombi ya kusamehe kodi kutoka kwa taasisi za dini ili kubaini hatua zinazoweza kuchukuliwa bila kuathiri matakwa ya sheria zilizopo.
www.mwananchi.co.tz