Kwako,
Rais wa JMT,
Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan,
Awali ya yote nachukua nafasi huu kumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema na huruma kwa kutujalia afya njema na uzima mpaka muda na wakati huu.
Mhe. Rais, ni heshima kubwa kwangu kukuandikia maoni na ushauri wangu katika kusukuma mbele...