Madereva wa serikali naombeni ushauri hapa.

Madereva wa serikali naombeni ushauri hapa.

Monomer

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2023
Posts
672
Reaction score
1,257
Mwenzenu Mimi ndo natarajia kuanza veta lengo likiwa kupata cheti Cha mafunzo ya udereva hatimae nikamalizie na NIT.Lengo ni kuingia serikalini kupitia driving kwahivyo wale madereva wazoefu mlioko huko,wale mnaohusika na kada ya usafirishaji serikalini naombeni ushauri katika Hilo aidha changamoto za kazi,maswali ntakao kutana nayo kwenye interview,safari na muda ntakao tumia mpaka kuja kupata control number n.k
 
Mzee pole na hongera ingawa najua kila mtu na bahati pia na connection yake .

Ila bado unasafari kiasi kufikia hayo malengo yako je Veta unaenda kwa ajili ya basic driving,
Nikiwa na maana yani je ndio unaanza safari hii ya udereva kama jibu ni ndio,

Pambana kwanza uwe DEREVA .
 
Mzee pole na hongera ingawa najua kila mtu na bahati pia na connection yake .

Ila bado unasafari kiasi kufikia hayo malengo yako je Veta unaenda kwa ajili ya basic driving,
Nikiwa na maana yani je ndio unaanza safari hii ya udereva kama jibu ni ndio,

Pambana kwanza uwe DEREVA .
Jibu ndiyo ndo naenda pata basic driving(Sina nachojua kuhusu kuendesha hata Bajaj)
 
Mzee pole na hongera ingawa najua kila mtu na bahati pia na connection yake .

Ila bado unasafari kiasi kufikia hayo malengo yako je Veta unaenda kwa ajili ya basic driving,
Nikiwa na maana yani je ndio unaanza safari hii ya udereva kama jibu ni ndio,

Pambana kwanza uwe DEREVA .
Na kwanini unasema nipambane kwanza niwe dereva?
 
Mzee pole na hongera ingawa najua kila mtu na bahati pia na connection yake .

Ila bado unasafari kiasi kufikia hayo malengo yako je Veta unaenda kwa ajili ya basic driving,
Nikiwa na maana yani je ndio unaanza safari hii ya udereva kama jibu ni ndio,

Pambana kwanza uwe DEREVA .
Na kwanini unasema nipambane kwanza niwe dereva?
 
Na kwanini unasema nipambane kwanza niwe dereva?
Unanunua nguo kabla mtoto hajazaliwa? 1. Kuwa dereva ni rahisi kwani ni bidii na fedha zako2. Kuona/kusikia/kuambiwa uhitaji wa kazi ya udereva serekalini ni ngumu kiasi 3. Kuitwa kwenye interview ngumu 4. Kuchaguliwa na kupewa kazi ni ngumu sana. Nimeweka mlolongo huu ili ujue unaweza kabisa kuwa dereva mzuri na usipate kazi. Ushauri wangu ni kuwa udereva ni kitu muhimu kujua hivyo kama una fedha na muda basi jifundishe, mengine utakumbana nayo baada ya kumaliza kwani siyo lazima uwe dereva wa magari ya umma.
 
Unanunua nguo kabla mtoto hajazaliwa? 1. Kuwa dereva ni rahisi kwani ni bidii na fedha zako2. Kuona/kusikia/kuambiwa uhitaji wa kazi ya udereva serekalini ni ngumu kiasi 3. Kuitwa kwenye interview ngumu 4. Kuchaguliwa na kupewa kazi ni ngumu sana. Nimeweka mlolongo huu ili ujue unaweza kabisa kuwa dereva mzuri na usipate kazi. Ushauri wangu ni kuwa udereva ni kitu muhimu kujua hivyo kama una fedha na muda basi jifundishe, mengine utakumbana nayo baada ya kumaliza kwani siyo lazima uwe dereva wa magari ya umma.
Nisahihi lakini lengo langu kubwa ni kua dereva wa magari ya umma ili niingie kwenye payroll ya halmashauri.Na ningepend kama ungeeka na huo ugumu ili tujifunze kwa pamoja na tuandae methodologies za kuja kupambana nao.
 
Na kwanini unasema nipambane kwanza niwe dereva?
Yes udereva sio kukaa nyuma ya usukani tu bali pia kujua falsafa na kanuni za udereva, uzoefu wa changamoto na namna ya kuzitatua, kuyafahamu magari aina mbali mbali kwa kiasi chake,

Pili mpaka kufikia dereva wa serikali kama huna mtu wa ndani yani ikiwa unategemea ajira portal tu. Utapqta ila uta hustle kwanza hilo halina ubishi isipokua kama ni mtu wa bahati .

Sikukatishi tamaa iila ukitoka VETA hata kama siku ukimaliza na ndio ukapewa cheti siku hiyo hiyo bado hautakua Ni dereva fahamu hilo
 
Yes udereva sio kukaa nyuma ya usukani tu bali pia kujua falsafa na kanuni za udereva, uzoefu wa changamoto na namna ya kuzitatua, kuyafahamu magari aina mbali mbali kwa kiasi chake,

Pili mpaka kufikia dereva wa serikali kama huna mtu wa ndani yani ikiwa unategemea ajira portal tu. Utapqta ila utaha hustle kwanza hilo halina ubishi isipokua kama ni mtu wa bahati .

Sikukatishi tamaa iila ukitoka VETA hata kama siku ukimaliza na ndio ukapewa cheti siku hiyo hiyo bado hautakua Ni dereva fahamu hilo
Hilo nalijua kwamba nahitaji kupata practical zaidi mtaani mwanzo nilijaribu kuanzia mtaani jamaa siku 2 tu kwenda umbali kama wa 20Km akachukua 60 yangu na gari yenyewe ilikua automatic.Apo nikaona ngoja kwanza nianzie veta walau nijue kunyoosha usukani na ambako ntakua na kinga hata nikiingiza gia vibaya silipishwi.
 
Hilo nalijua kwamba nahitaji kupata practical zaidi mtaani mwanzo nilijaribu kuanzia mtaani jamaa siku 2 tu kwenda umbali kama wa 20Km akachukua 60 yangu na gari yenyewe ilikua automatic.Apo nikaona ngoja kwanza nianzie veta walau nijue kunyoosha usukani na ambako ntakua na kinga hata nikiingiza gia vibaya silipishwi.
Umefanya vyema ila risk kwenye kutafuta ni kawaida usiwe muoga sana kwenye kupambana
(Hakuna mafanikio yasio na maumivu)
 
Back
Top Bottom