chai ya rangi
JF-Expert Member
- Mar 7, 2026
- 1,037
- 3,080
Nina uwezo wa kupenda wanawake wengi sana hata 500 kwa pamoja, na nikishampenda mwanamke yeyote, hakuna kitachofanya niache kumpenda.
Hii inaonekana nzuri lakini inaniletea tatizo moja, hata wanawake niliowahi kuwapenda nikiwa na miaka 9, licha ya kuootezana kwa muda mrefu bado nawapenda
Hata wanawake niliowahi kuwaona kwenye video za muziki, bado ninawakumbuka na kuwapenda.
wasichana tuliokutana nao mtandaoni kipindi cha nyuma, bado nawapenda
Wanawake niliowahi kuwaona mtaani either walikuja tu kusalimia au la, japo niliwaona mara moja bado nawapenda.
Wanawake tuliosoma nao shule ya msingi, secondary na chuo bado nawapenda.
Nikisema nawapenda simaanishi kuwatamani lakini ni kuwapenda haswa toka moyoni, hata ambao sina namba zqo nitazitafuta tu ili kuwasalimia.
Yaani nina wanawake wengi mno ambao wote nawapenda kutoka moyoni, wengine natafuta mawasiliano nao, wengine nina namba zao na siachi kueajulia hali, hata waliowahi kuwa ma ex wangu nawakumbuka na kuwapenda. hata wale nilioenda kuwanunua kwenye machimbo mbalimbali nawakumbuka na kuwapenda
Sasa kitu hiki sio kizuri na sijui namna ya kuepukana nacho ?
Hii inaonekana nzuri lakini inaniletea tatizo moja, hata wanawake niliowahi kuwapenda nikiwa na miaka 9, licha ya kuootezana kwa muda mrefu bado nawapenda
Hata wanawake niliowahi kuwaona kwenye video za muziki, bado ninawakumbuka na kuwapenda.
wasichana tuliokutana nao mtandaoni kipindi cha nyuma, bado nawapenda
Wanawake niliowahi kuwaona mtaani either walikuja tu kusalimia au la, japo niliwaona mara moja bado nawapenda.
Wanawake tuliosoma nao shule ya msingi, secondary na chuo bado nawapenda.
Nikisema nawapenda simaanishi kuwatamani lakini ni kuwapenda haswa toka moyoni, hata ambao sina namba zqo nitazitafuta tu ili kuwasalimia.
Yaani nina wanawake wengi mno ambao wote nawapenda kutoka moyoni, wengine natafuta mawasiliano nao, wengine nina namba zao na siachi kueajulia hali, hata waliowahi kuwa ma ex wangu nawakumbuka na kuwapenda. hata wale nilioenda kuwanunua kwenye machimbo mbalimbali nawakumbuka na kuwapenda
Sasa kitu hiki sio kizuri na sijui namna ya kuepukana nacho ?