ushauri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    JamiiForums Tanzania Video fupi: Yesu atoa ushauri kwa team kataa ndoa

    Katika video hii fupi, Yesu anatoa ushauri kwa team kataa ndoa kwa kuwaambia, "Kataeni dhambi, si lazima mkatae ndoa" Angalizo: Sura zinazoonekana katika video ni matokeo ya Sanaa na siyo uwakilishi halisi wa wahusika. https://m.youtube.com/watch?v=MfpPNr5Vujw&pp=ygUMWWVzdSBBbmFqaWJ1
  2. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania RESOLVED HOJA Ushauri wangu: Mabasi ya abiria ya mikoani yaishie Mbezi Magufuli

    Sioni haja ya kila kampuni ya mabasi iwe na kituo chake cha kushushia abiria, inatosha wakiishia kituo kikubwa cha mabasi Mbezi Magufuli itasaidia kupunguza msongamano ktk mji na pia stendi ya Magufuli haitopoteza mapato na wafanyabishara watanufaika. Pia soma ~ Wamiliki wa mabasi wapewa wiki...
  3. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa Prof Anna Tibaijuka kwenye muswada wa Fedha 69 wa 2026

    Anna Tibaijuka, aliyekuwa Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Makazi, UN-Habitat-Nairobi na Waziri wa Tanzania, anachambua marekebisho ya Sheria ya Fedha 2026 kwenye kifungu cha 69 cha Sheria ya Benki Kuu ya Tanzania. Marekebisho hayo yanaruhusu serikali kupata mapato ya muda kutoka kwa...
  4. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania Ukipata mke anayeomba ushauri wako jambo la kushukuru Mungu

    Wanaume huwa tunavimba vichwa sana kuona mke anakuja kuomba ushauri wa mambo yake ni utiifu wa kiwango cha juu , akiwa na jambo utasikia subiri hubby aje niongee naye hafanyi jambo bila kumshirikisha mume . Mke wa aina hii anavutia sana
  5. Fbn

    JamiiForums Tanzania Hivi unaweza kupokea ushauri kama huu na kuamini kabisa

    Leo unakutaka na mtoto wa samia au mwiguru,wasira,kikwete,sirro,mwiguru,mombo na wengine wengi wabagazaji. Ushauri wao kukupa matumaini wakikwambia maneno haya. 1.Achana na wazo la kuajiliwa jiajili. 2.Tunza pesa utafanikiwa. 3.Kuwa mvumilivu ndondo si chururu. 4.jikubari maisha ndiyo haya...
  6. U

    JamiiForums Tanzania USHAURI nisome Foundation Course Program au nimalizie Diploma ya Clinical Medicine?

    Habari za muda huu wakuu, bila kuwapotezea muda niende kwenye maada. Mimi ni nina elimu ngazi ya cheti ya utabibu technician certificate in clinical medicine(NTA L5) niliishia hii level kwa sababu niligundua soko la ajira lipo sana kwa ngazi ya certificate ukilinganisha na diploma ambao kwa...
  7. Ertugrul Bey

    JamiiForums Tanzania Unaomba ushauri mtandaoni; upo tayari kukabiliana na usiyoyatarajia?

    Kama wewe ni mwenyeji humu ndani utakuwa na uzoefu mzuri sana juu ya wale wote ambao huwa wanaomba ushauri humu na kile ambacho huwa wanakipata. Ushauri unapata na kusimangwa juu,si ajabu hapo ulipo unahisi kama uanata kujinyonga kutokana na changamoto zako mbali mbali,sasa unataka kutafuta...
  8. Burn the bridge _Tz

    JamiiForums Tanzania Natafuta mshauri wa masuala ya maisha nitakulipa 20k Baada ya ushauri

    Naogopa sana kukosea, au kufanya maamuzi ambayo kwa namna moja au nyingine yanaweza kuathiri maisha yangu. Kwa kugundua hilo nimeona bora nitafute mtu wa kumuomba ushauri alafu baada ya hapo niweze kufanya yale ambayo ameielekeza. Kiukweli kuna watu wamefanya makosa hivyo wanaweza kuwa waalimu...
  9. D

    JamiiForums Tanzania Punguzeni Ushauri Kwenye Maisha ya Watu!!

    Acheni watu waishi wanavyotaka kwani ndani yake Kuna msivyovijua.
  10. Mjomba Malume

    JamiiForums Tanzania Naomba Ushauri na Msaada Kuhusu OCD Inayonitesa Kila Siku

    Wakuu salamuni. Nimeamua kuanzisha huu uzi baada ya kuona hii hali imeanza kunipa usumbufu mkubwa kwenye maisha yangu ya kila siku. Kuna baadhi ya vitu navifanya kwa kurudia rudia sana kiasi kwamba vinanichosha na kunipotezea muda bila sababu ya msingi. Mfano nikifunga mlango, baada ya...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Huyu Binti naoa wiki hii hii sitaki nimeshindwa vumilia

    IPO hivi Kuna Binti nkutana nae kwenye gari muda natoka job sasa the way alivo alinivutia sana mwamba sikusita nikaomba namba nikampanga freshi. Kilicho nishangaza hakuonesha dalili za kutaka kukataa labda kama nilivozoea Yani tayari tumeshazoeana mpaka sasa anakuja mpaka getto kupika. Mimi...
  12. M

    JamiiForums Tanzania USHAURI

    NINA DEMU WAKATI WA KUFANYA MAPENZI HUWA ANATAKA NIMTIE DOLE NYUMA, NAPATA WASIWASI ISIJEKUWA TAYARI ANATOA NYUMA?
  13. Poker

    JamiiForums Tanzania Ni ushauri tu: Watoto wa kike acheni kunyonya 'mitura'?

    Hii tabia ya watoto wakike kunyonya mitura ya kiume, ikome mara moja. Hata kama ni ustadi au utundu ila sio sawa aisee, yaani unakuta limamsup linakufosi muende ile style ya 69 kumbe nia yake akupekenyue.
  14. Denis Gregory

    JamiiForums Tanzania Ushauri wako ni hatua kwangu Biashara gani ya kimkakati kwa mtaji wa Milioni 30

    Habari za muda huu waheshimiwa, Salam. Kabla ya yote, nipende kutanguliza shukrani zangu za dhati kwa maoni mtakayokwenda kuandika hapa, nami nitayachakata kwa uhalisia. Asante sana. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nina kiasi cha Tsh Milioni 30,000,000 ambacho kiko tayari kwa ajili ya...
  15. Dr leader

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa wanawake: Kama mwanaume hakutendei vizuri, mwingine atakutendea vizuri

    USHAURI KWA WANAWAKE • “Kama mwanaume hakutendei vizuri, mwingine atakutendea vizuri.” • “Akikusaliti, si kosa lako hata kidogo.” • Hivyo ndivyo mwanaume huonyesha upendo wake; amini zaidi matendo yake kuliko maneno yake. • Wanaume wengi si waongeaji sana kuhusu hisia; huonyesha...
  16. R

    JamiiForums Tanzania USHAURI KWA RAIS SAMIA: To soften the International stance against you and your cronies, mwachie Lisu bila masharti

    Pamoja na kuwa bado utakuwa na kibarua kigumu kuhusu yaliyotokea October 29th 2025, bado unaweza kuonesha remorse and a road to a fresh start kwa yaliyotokea 29th October 2025 kwa kumwachia Lisu as a good gesture to a road to truth, accountability and finally reconciliation. Hao wanaokushauri...
  17. Mpolah

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa dada na kaka

    Ushauri kwa dada mahusiano ni vita mwanaume msafi yupo kwenye vitabu vya kuandikwa ukiolewa na ndoa inayumba jiongeze mwanaume mchafu ukitaka aliyetukuka mtengeneze. Ushauri kaka mahusiano sio hija wanawake wasafi wapo kwenye filamu za ukiigiza kwahiyo ndoa yako inapopindi jiongeze mwanamke...
  18. K

    JamiiForums Tanzania Hili la US VS. TZ - Huu ndiyo Ushauri wangu

    Nashauri katika Yale majimbo yenye ushawishi mkubwa wa Upinzani, basi wabunge wa majimbo hayo waachie ngazi kwa kujiuzulu nafasi zao za ubunge uchaguzi ufanyike na upinzani ushinde. Mfano: Jimbo la Arusha Mjini, Mbunge wa Sasa ajiuzulu halafu Uchaguzi ufanyike upya, LEMA achukue Jimbo. Basi...
  19. Burn the bridge _Tz

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa aina ya mwili wangu.

    Mimi ni mrefu almost 6.4 ft. Miaka 27 Nina kilo 89. Kuanzia kichwani mpaka kiunoni ni mwembamba wa kawaida Ila kuanzia kiunoni mpaka kwenye mapaja ni mnene kabisa tusema Nina asili ya shape na hips nahisi ni genetics nime inherit, Je ni aina Gani ya mazoezi au life style naweza kuishi au...
  20. Kilawo

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri nina million 3 nifanye biashara gani?

    Habarini wakuu Katika Harakati za hapa na pale nimepata milion 3 nifanye biashara gani?ili niweze kupata Kwa siku faida ata 30k.
Back
Top Bottom