Dodoma moja
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 307
- 175
Suzuki Jimny
Wakuu naombeni msaada wenu kwa mwenye uelewa kuhusu hii gari maana binafsi ilichonivutia ni kuwa juu na pia utumiaji wa mafuta sifahamu kuhusu gharama za spare pamoja na uimara wake.
Maana mim nahitaji gari ya kuzungukia kwenye shughuli zangu na kwa kuwa ninakofanyia shughuli barabara siyo nzuri ina mawe ndio maana nahitaji gari ndefu kutoka chini.
Asanteni!