Von Bismarck
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 3,073
- 6,251
Thread is deleted
achene kabisa kumdanganya huyo dogo, dogo fuata ushauri na tiba ulizopewa na ma daktarin, humu utadanganganywa mwisho udondokee pua
Mkuu PEP sio jina la dawa, PEP ni kitendo cha wewe kuwa exposed kwenye risk then ukapewa dawa. Hizi dawa zina majina yake! Kwa sasa TLD ndio imekuwa ikifanya vizuri! Majuzi tu hapo TLE ndizo zilikuwa zikitumika. Play safeNi vizuri kutumia kitu ambacho una hakika nacho kuliko kufanya majaribio kwa hatari kama hiyo. Kama unazijua PEP ilibidi uende kituo kingine cha afya ili upate PEP na maisha yasonge.
Binafsi nimetumia PEP mara mbili, naziaminia. Mara ya kwanza nilipiga dry, mara ya pili nilijikata kwenye mlango wa daladala.
Nilikuwa sijui mkuu, mara zote mbili nilizoenda hospitali nilikuwa nikizitaja PEP na walinielewa tu.Mkuu PEP sio jina la dawa, PEP ni kitendo cha wewe kuwa exposed kwenye risk then ukapewa dawa. Hizi dawa zina majina yake! Kwa sasa TLD ndio imekuwa ikifanya vizuri! Majuzi tu hapo TLE ndizo zilikuwa zikitumika. Play safe
We jamaa unanipa matumaini ya kula papuchi kavu kavu eti!!Aliyekwambia VVU inaambukizwa nani?
Kama kusuguana ndo kupata HIV nahisi wanaume wote tungekuwa CTC muda huu kuchukua ARV.
HIV ni bizness kama ilivyo bizness nyingine.
Kikubwa acha dhambi ya uzinzi, oa ili utende haki mbele za Mungu.
Usiogope mateso ya mwili wakati unajua kabisa umemkosea Mungu.