ugonjwa

  1. beth

    Serikali yatoa tahadhari ya Virusi Corona, yasema hakuna mgonjwa Tanzania

    Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto imetoa tahadhari ya mlipuko wa ugonjwa wa homa ya mafua makali unaosababishwa na kirusi aina ya Corona, uliozikumba nchi za China, Thailand, Japan, Korea Kusini na Marekani. Wizara imesema kuanzia Desemba mwanzo mwaka jana wamekuwa...
  2. Influenza

    China: Mji wa Wuhan kulikoanzia virusi vya Corona kujenga Hospitali kwa siku 6 kusaidia katika kutibu Ugonjwa huo

    Mji wa Wuhan unaharakisha kujenga Hospitali mpya kusaidia kutibu Wagonjwa waliokumbwa na Virusi vya Corona ambavyo vimeshaua watu 80 na zaidi ya 870 wameambukizwa nchini humo Kusambaa kwa virus hivyo kulianzia kwenye Mji huo ambapo sasa Madaktari wanasema Waathirika wanapanga foleni kwa muda...
  3. F

    Hivi hii tabia nayo sio ugonjwa kweli?

    Halo JF habari mchanganyo. Nimeishi na kuona watu baadhi wenye tabia hii kuhusiana na viatu vyao bila kujali ni vipya au vimeisha. Mtu hataki kuvaa kiatu inavyotakikana. Yaani anakanyagia tu, haswa sehemu za visigino haswa viatu vyenye kufunika na sio sendo. Mwingine kiatu kipya kabisa wala...
  4. Analogia Malenga

    DR Congo: Vifo kutokana na ugonjwa wa surua vyafika 6000

    Shirika la Afya Duniani WHO limesema nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo mlipuko wa ugonjwa wa surua mkubwa zaidi ulimwenguni umesababisha vifo vya maelfu ya watu ijapokuwa ugonjwa huo unaweza kukingwa kwa chanjo. Idadi ya watu waliokufa kutokana na mlipuko wa maradhi ya surua imepindukia...
  5. everlenk

    Fahamu kuhusu bakteria wa H.Pylori; Athari na tiba yake

    BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU BAKTERIA HUYU Habari wanajamvi!!! Naomba kujua tiba ya Helicobacter pylori( H-pylori) ni ipi? Na je huu ugonjwa unatibika ? Je wapo watu walioumwa wakapona? Nina ndugu yangu yapata sasa miezi 6 anateseka na huu ugonjwa, anatapika sana sana mpaka...
  6. S

    Hivi ugonjwa wa macho mekundu umeingia Dar?

    Wakuu, hivi ugonjwa wa macho mekundu (red eyes) umeingia Dar. Leo nimeenda nyumba moja nimekuta watu mawili wanaumwa macho. Kwakuwa nimekaa sana hapo nina wasiwasi nami naweza kupata. Nifanyeje ili usinipate?
  7. Cobra70

    Ngono ilitaka kukatisha maisha yangu

    Wadau kheri ya mwaka mpya 2020! Nimeamua nijipinde mgongo kuandika ujumbe huu maana naona kizazi cha vijana wabichi kinaangamia huenda kwa kujua au kutojua. Mimi ni kijana niliyelelewa kwenye maadili ya kumcha Mungu na wazazi. Niliyaishi maisha hayo yakuwa na hofu ya Mungu hadi kufikia umri wa...
  8. Gemini Are Forever

    Msaada: Ugonjwa wa mbuzi kuzunguka. Huu ni ugonjwa gani?

    Habarini! Mbuzi wangu wamekuwa wakisumbuliwa na ugonjwa wa kuzunguka. Yaani huu ugonjwa mbuzi akiugua anashindwa hata kutembea (anabaki kuzunguka tu hapo hapo) na unaonekana huwa unaathiri upande fulani wa mbuzi. Kwa mfano, akiathirika sana kiasi cha kushindwa kusimama, yaani akishalalia tu...
  9. Suley2019

    Kiwango cha ugonjwa wa Malaria chapungua kwa zaidi ya asilimia 50 ndani ya miaka miwili

    Kiwango cha ugonjwa wa Malaria nchini, kimepungua zaidi ya asilimia 50 ndani ya miaka miwili kutoka asilimia 14 hadi kufi kia asilimia 7.3. Pia, vifo vitokanavyo na ugonjwa huo, vimepungua kwa asilimia 75. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi wa Huduma za Kinga kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya...
  10. Miss Zomboko

    Visa vya ugonjwa wa Surua duniani vyazidi kuongezeka

    Chanjo Takriban watu 140,000 hufariki duniani kutokana na ugonjwa wa surua au ukambi huku ulimwengu ukishuhudia ongezeko la maambukizi ya ugonjwa huo. Bara la Afrika linasadikiwa kuwa na idadi kubwa zaidi ya vifo vinavyotokana na ugonjwa huo (52,600) kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani, WHO...
  11. Influenza

    Siku ya UKIMWI Duniani: Watu Milioni 74.9 wameugua ugonjwa huo tangu ulipogundulika

    Siku ya UKIMWI Duniani huadhimishwa kila tarehe 01 Desemba ikitoa mwanya kwa kusherekea na kuunga mkono jitihada zinazofanyika Ulimwenguni za kuzuia maambukizi mapya ya Virusi Vya UKIMWI, kuongeza uelewa kuhusu UKIMWI na kuwafariji wale waishio na Virusi hivyo Tangu Siku ya UKIMWI ilipoanza...
  12. KENZY

    Kwa wengine nini maana ya maisha kama mambo ni hivi..?

    Sijui maisha Yana maana gani kwa miondoko hii..!
  13. Miss Zomboko

    DRC: Watoto 5000 wafariki kwa ugonjwa wa Surua ndani ya mwaka 2019

    Wataalam wameonya hakuna chanjo za kutosha nchini humo. Ugonjwa wa ukambi ama Surua umewaua takriban watoto 5000 katika taifa la Jamhuri ya KidemokrasIa ya Congo mwaka 2019, kulingana na mamlaka baada ya ugonjwa huo kusambaa hadi mikoa yote. Takriban watoto 250,000 wameambukizwa mwaka huu...
  14. Rebeca 83

    Je, mchanganyiko wa Dawa za Kienyeji na za hospitalini zinaweza kutibu Ugonjwa wa akili?

    Hello JF, Ningependa kujua kama ushawahi kupata tiba, kati ya hizo mbili (Tradition Medicine au Modern Medicine) Ipi ili work? Au zote? Kipi kilichokusukuma utumie kimoja wapo? Nini kilikusukuma utumie vyote? Unatushaurije? ---------- Maoni ya Mdau
  15. Miss Zomboko

    Kasi ya maambukizi mapya ya ugonjwa wa UKIMWI katika Jiji la Tanga Imeshuka kutoka asilimia 5 mpaka 2.2

    KASI ya maambukizi mapya ya ugonjwa wa Ukimwi katika Jiji la Tanga yameshuka kutoka asilimia tano mwaka juzi hadi asilimia 2.2 Julai mwaka huu. Hayo yamesemwa na Mratibu wa Ukimwi wa Jiji la Tanga, Mosses Kisibo wakati akiongea na gazeti hili kuhusu mikakati ya utekelezaji wa shughuli za...
  16. Wakulonga

    Hivi ugonjwa wa Ebola tulioambiwa na Mabeberu upo Tanzania umeishia wapi?

    Mimi nilikuwa ni miongoni mwa watu waliokuwa wanafuatilia kwa makini sana sakata la Ebola tanzania. Hawa mabeberu waliuaminisha ulimwengu kuwa tz kuna Ebola na kushindana katika kutoa matamko kwa raia wao. Mimi nijuavyo Ebola kama pembe la ng’ombe halifichiki cha kushangaza mpaka leo sijackia...
  17. Jmwasele

    Je, Mfanyakazi akiumwa mwenzi mzima mshahara wake utakuwepo pale pale au inakuaje?

    Habari zenu wakuu. Nilikuwa nauliza kama mfanyakazi wa tanesco akiwa anaumwa mwezi mzima kiasi cha kushindwa kufanya kazi na huku akiwa na ruhusa ya ofisi, je mshahara wake utakuwepo pale pale au inakuaje?
  18. Herbalist Dr MziziMkavu

    Homa ya Manjano (Homa ya Ini): Zijue athari, kinga na tiba za ugonjwa huu

    Hepatitis b (Homa ya Ini) ni maambukizi ya virusi kwenye Ini(Liver) . Ini likiambukizwa hatuna matibabu kamili na yakueleweka Tanzania. Hepatitis (Homa ya Ini) imekuwa tishio kwa miaka hii na hasa kwa vijana. JINSI HOMA YA INI INAVYOENEA 1.Ngono isiyo salama 2.Kuchangia nguo(Jasho na maji...
Back
Top Bottom