guzman_
JF-Expert Member
- Jan 27, 2016
- 1,255
- 2,073
Katika harakati zangu nimezunguka viwanja vya ndege vitatu vinavyopokea sana wageni toka nje, hali niliyoikuta Mungu atusaidie.
In short, kinachosemwa na viongozi na yanayotendeka huko ni mbingu na ardhi. Nimeshuhudia raia zaidi ya 200 kutoka Uchina wakipita airport bila kupimwa wala kukaguliwa kama tunavyoaminishwa.
Kitu pekee wanachoangalia kama amevaa mask basi. Ujumbe wangu kwa wahusika Tanzania haitawasamehe kwa huu ujinga mnaofanya.
Bado nafanya uchunguzi kama kweli tuna vifaa vya kutosha kupima huu ugonjwa mipakani. Ila nasema siku ugonjwa huu ukifika Tz ndipo tutajua tuna watu wenye dhamana hovyo kiasi gani na itakuwa muda umeisha. Ni suala la muda tu.
In short, kinachosemwa na viongozi na yanayotendeka huko ni mbingu na ardhi. Nimeshuhudia raia zaidi ya 200 kutoka Uchina wakipita airport bila kupimwa wala kukaguliwa kama tunavyoaminishwa.
Kitu pekee wanachoangalia kama amevaa mask basi. Ujumbe wangu kwa wahusika Tanzania haitawasamehe kwa huu ujinga mnaofanya.
Bado nafanya uchunguzi kama kweli tuna vifaa vya kutosha kupima huu ugonjwa mipakani. Ila nasema siku ugonjwa huu ukifika Tz ndipo tutajua tuna watu wenye dhamana hovyo kiasi gani na itakuwa muda umeisha. Ni suala la muda tu.