Moja kwa moja kwenye mada. Waswahili wanasema asiyejua maana haambiwi maana.
Kwamba haka kaugonjwa ni ka upepo tu katapita. Na kwa kuwa sisi tu wacha Mungu sana sijui kuliko nani, basi sisi tumemwachia yeye.
Vipi mambo yakienda ndivyo sivyo (katu hatuombei hivyo), je tutasema Mungu katususa?
Why This Controversial Kenyan-American Professor is very Unhappy With President Magufuli
Kwa kuwa fair tu tunapaswa sana kujitathmini.
Kama tunadhani tuko sawa basi tuna matatizo (incurable) ambayo labda ni makubwa zaidi kuliko hata Corona yenyewe.
Kama ni hivi tunaelekea kwenye kutakana kuachia ngazi.
It can't be like this.
Kwamba haka kaugonjwa ni ka upepo tu katapita. Na kwa kuwa sisi tu wacha Mungu sana sijui kuliko nani, basi sisi tumemwachia yeye.
Vipi mambo yakienda ndivyo sivyo (katu hatuombei hivyo), je tutasema Mungu katususa?
Why This Controversial Kenyan-American Professor is very Unhappy With President Magufuli
Kwa kuwa fair tu tunapaswa sana kujitathmini.
Kama tunadhani tuko sawa basi tuna matatizo (incurable) ambayo labda ni makubwa zaidi kuliko hata Corona yenyewe.
Kama ni hivi tunaelekea kwenye kutakana kuachia ngazi.
It can't be like this.