ugonjwa

  1. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Kiwango cha ugonjwa wa Malaria chapungua kwa zaidi ya asilimia 50 ndani ya miaka miwili

    Kiwango cha ugonjwa wa Malaria nchini, kimepungua zaidi ya asilimia 50 ndani ya miaka miwili kutoka asilimia 14 hadi kufi kia asilimia 7.3. Pia, vifo vitokanavyo na ugonjwa huo, vimepungua kwa asilimia 75. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi wa Huduma za Kinga kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya...
  2. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Visa vya ugonjwa wa Surua duniani vyazidi kuongezeka

    Chanjo Takriban watu 140,000 hufariki duniani kutokana na ugonjwa wa surua au ukambi huku ulimwengu ukishuhudia ongezeko la maambukizi ya ugonjwa huo. Bara la Afrika linasadikiwa kuwa na idadi kubwa zaidi ya vifo vinavyotokana na ugonjwa huo (52,600) kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani, WHO...
  3. Influenza

    JamiiForums Tanzania Siku ya UKIMWI Duniani: Watu Milioni 74.9 wameugua ugonjwa huo tangu ulipogundulika

    Siku ya UKIMWI Duniani huadhimishwa kila tarehe 01 Desemba ikitoa mwanya kwa kusherekea na kuunga mkono jitihada zinazofanyika Ulimwenguni za kuzuia maambukizi mapya ya Virusi Vya UKIMWI, kuongeza uelewa kuhusu UKIMWI na kuwafariji wale waishio na Virusi hivyo Tangu Siku ya UKIMWI ilipoanza...
  4. KENZY

    JamiiForums Tanzania Kwa wengine nini maana ya maisha kama mambo ni hivi..?

    Sijui maisha Yana maana gani kwa miondoko hii..!
  5. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania DRC: Watoto 5000 wafariki kwa ugonjwa wa Surua ndani ya mwaka 2019

    Wataalam wameonya hakuna chanjo za kutosha nchini humo. Ugonjwa wa ukambi ama Surua umewaua takriban watoto 5000 katika taifa la Jamhuri ya KidemokrasIa ya Congo mwaka 2019, kulingana na mamlaka baada ya ugonjwa huo kusambaa hadi mikoa yote. Takriban watoto 250,000 wameambukizwa mwaka huu...
  6. Rebeca 83

    JamiiForums Tanzania Je, mchanganyiko wa Dawa za Kienyeji na za hospitalini zinaweza kutibu Ugonjwa wa akili?

    Hello JF, Ningependa kujua kama ushawahi kupata tiba, kati ya hizo mbili (Tradition Medicine au Modern Medicine) Ipi ili work? Au zote? Kipi kilichokusukuma utumie kimoja wapo? Nini kilikusukuma utumie vyote? Unatushaurije? ---------- Maoni ya Mdau
  7. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Kasi ya maambukizi mapya ya ugonjwa wa UKIMWI katika Jiji la Tanga Imeshuka kutoka asilimia 5 mpaka 2.2

    KASI ya maambukizi mapya ya ugonjwa wa Ukimwi katika Jiji la Tanga yameshuka kutoka asilimia tano mwaka juzi hadi asilimia 2.2 Julai mwaka huu. Hayo yamesemwa na Mratibu wa Ukimwi wa Jiji la Tanga, Mosses Kisibo wakati akiongea na gazeti hili kuhusu mikakati ya utekelezaji wa shughuli za...
  8. Wakulonga

    JamiiForums Tanzania Hivi ugonjwa wa Ebola tulioambiwa na Mabeberu upo Tanzania umeishia wapi?

    Mimi nilikuwa ni miongoni mwa watu waliokuwa wanafuatilia kwa makini sana sakata la Ebola tanzania. Hawa mabeberu waliuaminisha ulimwengu kuwa tz kuna Ebola na kushindana katika kutoa matamko kwa raia wao. Mimi nijuavyo Ebola kama pembe la ng’ombe halifichiki cha kushangaza mpaka leo sijackia...
  9. Jmwasele

    JamiiForums Tanzania Je, Mfanyakazi akiumwa mwenzi mzima mshahara wake utakuwepo pale pale au inakuaje?

    Habari zenu wakuu. Nilikuwa nauliza kama mfanyakazi wa tanesco akiwa anaumwa mwezi mzima kiasi cha kushindwa kufanya kazi na huku akiwa na ruhusa ya ofisi, je mshahara wake utakuwepo pale pale au inakuaje?
  10. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Homa ya Manjano (Homa ya Ini): Zijue athari, kinga na tiba za ugonjwa huu

    Hepatitis b (Homa ya Ini) ni maambukizi ya virusi kwenye Ini(Liver) . Ini likiambukizwa hatuna matibabu kamili na yakueleweka Tanzania. Hepatitis (Homa ya Ini) imekuwa tishio kwa miaka hii na hasa kwa vijana. JINSI HOMA YA INI INAVYOENEA 1.Ngono isiyo salama 2.Kuchangia nguo(Jasho na maji...
Back
Top Bottom