Kiwango cha ugonjwa wa Malaria nchini, kimepungua zaidi ya asilimia 50 ndani ya miaka miwili kutoka asilimia 14 hadi kufi kia asilimia 7.3. Pia, vifo vitokanavyo na ugonjwa huo, vimepungua kwa asilimia 75.
Hayo yameelezwa na Mkurugenzi wa Huduma za Kinga kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya...
Chanjo
Takriban watu 140,000 hufariki duniani kutokana na ugonjwa wa surua au ukambi huku ulimwengu ukishuhudia ongezeko la maambukizi ya ugonjwa huo.
Bara la Afrika linasadikiwa kuwa na idadi kubwa zaidi ya vifo vinavyotokana na ugonjwa huo (52,600) kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani, WHO...
Siku ya UKIMWI Duniani huadhimishwa kila tarehe 01 Desemba ikitoa mwanya kwa kusherekea na kuunga mkono jitihada zinazofanyika Ulimwenguni za kuzuia maambukizi mapya ya Virusi Vya UKIMWI, kuongeza uelewa kuhusu UKIMWI na kuwafariji wale waishio na Virusi hivyo
Tangu Siku ya UKIMWI ilipoanza...
Wataalam wameonya hakuna chanjo za kutosha nchini humo.
Ugonjwa wa ukambi ama Surua umewaua takriban watoto 5000 katika taifa la Jamhuri ya KidemokrasIa ya Congo mwaka 2019, kulingana na mamlaka baada ya ugonjwa huo kusambaa hadi mikoa yote.
Takriban watoto 250,000 wameambukizwa mwaka huu...
Hello JF,
Ningependa kujua kama ushawahi kupata tiba, kati ya hizo mbili (Tradition Medicine au Modern Medicine)
Ipi ili work?
Au zote?
Kipi kilichokusukuma utumie kimoja wapo?
Nini kilikusukuma utumie vyote?
Unatushaurije?
----------
Maoni ya Mdau
KASI ya maambukizi mapya ya ugonjwa wa Ukimwi katika Jiji la Tanga yameshuka kutoka asilimia tano mwaka juzi hadi asilimia 2.2 Julai mwaka huu.
Hayo yamesemwa na Mratibu wa Ukimwi wa Jiji la Tanga, Mosses Kisibo wakati akiongea na gazeti hili kuhusu mikakati ya utekelezaji wa shughuli za...
Mimi nilikuwa ni miongoni mwa watu waliokuwa wanafuatilia kwa makini sana sakata la Ebola tanzania. Hawa mabeberu waliuaminisha ulimwengu kuwa tz kuna Ebola na kushindana katika kutoa matamko kwa raia wao. Mimi nijuavyo Ebola kama pembe la ng’ombe halifichiki cha kushangaza mpaka leo sijackia...
Habari zenu wakuu. Nilikuwa nauliza kama mfanyakazi wa tanesco akiwa anaumwa mwezi mzima kiasi cha kushindwa kufanya kazi na huku akiwa na ruhusa ya ofisi, je mshahara wake utakuwepo pale pale au inakuaje?
Hepatitis b (Homa ya Ini) ni maambukizi ya virusi kwenye Ini(Liver) .
Ini likiambukizwa hatuna matibabu kamili na yakueleweka Tanzania. Hepatitis (Homa ya Ini) imekuwa tishio kwa miaka hii na hasa kwa vijana.
JINSI HOMA YA INI INAVYOENEA
1.Ngono isiyo salama
2.Kuchangia nguo(Jasho na maji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.