ugonjwa

  1. masara

    Hivi kazi ya wabunge wa CCM ni kumsifia Rais na Serikali na sio kukosoa na kuhoji?

    Za mda huu wadau, Nimekuwa nikijiuliza sana kuhusu wajibu wa wabunge wetu wa CCM, Pale wanapoamua kuwa upande wa Serikali asilimia mia moja hali wao ni fimbo ya Serikali. Unakuta mbunge anasifia serikali kuliko hata anavyomsifia mwezi wake au mtoto wake anapofanya vizuri. Ikumbukwe Tanzania...
  2. Roving Journalist

    Hatua ambazo Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imezichukua hadi sasa katika kukabiliana na ugonjwa wa Corona ni kama ifuatavyo:-

    1. Serikali imezifunga skuli zote za maandalizi, msingi, sekondari, vyuo Vikuu pamoja na madrasa 2. Ndege za kutoka Italia na sehemu nyengine zenye maambukizi ya Corona zimezuiwa 3. Serikali imezuia mikusanyiko inayokutanisha watu wengi kwa wakati mmoja ikiwemo mikutano, makongamano...
  3. Nyani Ngabu

    Kirusi kinachotisha kuliko Corona ni uoga/ hofu

    Dunia nzima sasa ni kama imesima kwa sababu ya hofu ya kirusi cha Corona. Watu hawaendi makazini. Shule zimefungwa. Michezo imesitishwa. Matamasha hakuna. Mikusanyiko marufuku. Madukani kuna uhaba wa baadhi ya bidhaa hadi watu wanatwangana ngumi wakigombea makaratasi ya chooni. Eti yote hayo...
  4. cha1509

    Mei Mosi 2020: Rais Magufuli atuma salamu za siku ya wafanyakazi, asisitiza waendelee kufanya kazi na kujiepusha na Corona

    Mh. Rais awasihi wafanyakaz wazidi kuchapa kazi katika kipindi ambacho dunia inapitia kipindi kigumu cha kupambana na Covid19 ........ Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Analogia Malenga

    TB Joshua fasts and prays on the mountain,"refuses to eat until COVID-19 is defeated"

    Leader and founder of The Synagogue Church of All Nations Temitope Balogun Joshua, commonly referred to as T. B. Joshua would never stop at anything to see the deadly coronavirus completely defeated. Since...
  6. J

    RC Gambo: Mazishi yoyote yatakayofanyika mkoani Arusha yatahudhuriwa na watu wasiozidi 10 bila kujali ugonjwa uliomuuwa marehemu

    Mkuu wa mkoa wa Arusha mh Mrisho Gambo amesema mazishi yoyote yatakayofanyika mkoani Arusha yatahudhuriwa na watu wasiozidi 10 hata kama marehemu hajafa kwa ugonjwa wa Corona. Gambo amesema mkoa umechukua hatua hiyo ili kudhibiti misongamano ya watu katika kipindi hiki cha janga hili la Corona...
  7. Chagu wa Malunde

    Kwanini Tanzania hakuna daily briefing juu ya Corona virus pandemic?

    Nauliza hili swali sababu kama wananchi tunataka kufahamu ukweli juu ya hili janga. Tunataka waziri wa afya, au msemaji mkuu wa serikali kila siku awe anatoa taarifa zilizo rasmi. Mbona nchi za wenzetu ambazo zimekumbwa na hili janga kila siku lazima watoe taarifa rasmi kuhusu...
  8. Mzukulu

    Hivi kuna Mtanzania ambaye hadi leo hii anapata shida kuielewa kwa haraka hii Misamiati Miwili mipya ya sasa?

    Mmeshakuwa Watu wazima sasa na siyo kila Kitu hadi mtafuniwe na muwekwe wazi bali mkibahatika tu kukutana na hii Misamiati mikubwa Miwili iliyoanza Kuzoeleka na Kutumika kuwahabarisha Watanzania kuhusu Kifo cha Marehemu au Sababu ya Kifo chake tafadhali hebu muwe mnaelewa haraka. Misamiati...
  9. Chagu wa Malunde

    Wizara ya afya watalaamu wenu wapo wapi? Tunahitaji taarifa sahihi juu ya ugonjwa wa Covid-19

    Kila mtu sasa hivi amechanganyikiwa, watu wanaishi kwa hofu maana elimu au taarifa kuhusu huu ugonjwa zinachanganya. Mimi binafsi nilitarajia kuwa hata kila baada ya saa moja anakuja mtaalamu wa wizara ya afya na kutoa elimu juu ya huu ugonjwa kwenye Tv. Mfano mmoja tu ni kwenye kuvaa mask ni...
  10. J

    Corona ni kama ugonjwa wa ukoma ukiupata unatengwa na ukipona unaenda kujionyesha kwa wakuu wa makuhani. Je, waliponaje?

    Najaribu kuangalia visa vya ugonjwa wa Corona katika Biblia takatifu na njia zilizotumika kuudhibiti zama hizo. Ugonjwa wa ukoma ulihesabiwa kama ni laana " fulani" hivyo waathirika walitengwa na jamii ili wajipatie utakaso na kuweza kupona na kuirudia jamii tena. Zama hizo hapakuwepo chanjo...
  11. MakinikiA

    WHO Wanasema corona waliujua ni ugonjwa X tangu 2018

    Virusi vya corona: WHO ilijua kuhusu virusi vya corona miaka miwili iliopita Ugonjwa uliopewa jina X ulisemekana kuwa na hatari na huenda ungelisababisha janga la kimataifa Mnamo mwezi februari 2018, kundi la wataalam wa shirika la Afya duniani WHO lilichapisha orodha ya magonjwa ambayo...
  12. J

    Coronavirus: Fahamu kiundani kuhusu Virusi hivi | Usambaaji, Dalili na Kinga

    Kirusi cha korona (Corona virus), ni kimelea chenye gamba na kutunza vinasaba vyake katika malighafi za RNA. Corona virus ni kisababishi cha magonjwa mbalimbali na vimelea hivyo vina makabila mbalimbali. Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus) - JamiiForums COVID-19-...
  13. Victor Mlaki

    Uhusiano kati ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa COVID-19 na vile vinavyosababisha ugonjwa wa Ukimwi

    Tafiti mbalimbali zinaonesha kuwa virusi vinavyosababisha ugonjwa wa COVID-19 (SARS Cov 2) na vile vinavyosababisha ugonjwa wa Ukimwi (HIV) vinafanana katika mifumo vinayoiathiri na pia tabia zake. 1. Virusi vya HIV vina Ribonucleic acid(RNA) halikadhalika virusi vya Corona vina RNA. 2...
  14. Victor Mlaki

    Hatari iliyopo nyuma ya ugonjwa wa COVID19

    Nimejaribu kusoma andiko lililiochapishwa na shirika la Afya Duniani lililochapishwa tarehe 4/4/2020 likitoa maelekezo juu ya janga la COVID-19 na Tuberculosis (TB). Andiko hili linasisitiza Serikali kutoacha kudhibiti Ugonjwa wa TB unaoenezwa na bacteria na kuathiri mfumo wa upumuaji kwa...
  15. Influenza

    CoronaVirus: Pierre Liquid athibitika kupata maambukizi ya Ugonjwa wa COVID19

    MCHEKESHAJI Pierre Liquid maarufu kwa vibwagizo vya kama utabaki kileleni, mama nakufaa, amekutwa na corona. Akizungumza leo Jumapili na Mwanaspoti, Pierre ambaye jina lake ni Peter Mollel, amesema amebaini kukutwa na ugonjwa huo juzi. Akizungumza kwa njia ya simu Pierre amesema kwa sasa yupo...
  16. Mkazamoyo

    Tanga: RAS aagiza Walimu waendelee kuhudhuria kazini licha ya agizo la Serikali kuzuia mikusanyiko

    Wakati serikali ikiwahimiza wananchi wake kupunguza mikusanyiko na safari zisizo za lazima ikiwa ni pamoja na kuzifunga shule zote na vyuo vyote nchi nzima kwa lengo la kupunguza athari za kusambaa kwa Virusi vya CORONA, imebainika hali ni tofauti huko mkoani Tanga kwani katibu Tawala wa mkoa...
  17. Chagu wa Malunde

    Kwa jinsi maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19 yanavyoongezeka natoa ushauri Serikali iagize hii dawa kwa wingi toka nchi za nje inapotengenezwa

    Mimi binafsi sio mtaalamu wa mambo ya afya,ila kidogo napenda kusikiliza ushauri hasa wa wataalamu. Tokea janga hili baya la ugonjwa wa Covid -19 kulipuka nimekuwa nikishinda katika luninga na kuangalia ushauri wa wataalamu wa afya jinsi ya kukabiliana na ugonjwa huu. Mfano Cnn mara nyingi...
  18. Mystery

    Hivi Rais Magufuli ametambua uwepo wa viongozi wa dini wakati huu wa ugonjwa wa Corona pekee?

    Leo ndiyo siku ya kwanza ambayo Rais Magufuli amewaomba viongozi wa dini nchini kote pamoja na waumini wao, wamliiie Mungu wetu ili atuondolee na autokomeze kabisa ugonjwa huu hatari wa Corona unaosumbua duniani kote Wito huo sisi waumini wa dini mbalimbali tunaupokea kwa moyo mkunjufu na...
  19. J

    Kanisa Katoliki lasitisha huduma za kufungisha ndoa na ubatizo hadi pale ugonjwa wa COVID-19 utakapodhibitiwa

    Rais wa TEC baba Askofu Nyaisonga ambaye pia ni askofu wa Dayosisi ya Mbeya amesema katika kupambana na maambukizi ya Covid 19 wanasitisha Huduma za sakramenti ya ubatizo na ile ya Ndoa. Baba askofu amesema Huduma hizo zitarejea tena kama kawaida pale ugonjwa huo utakapokuwa umedhibitiwa. Baba...
  20. U

    Kwanini wengi wanaosumbuliwa na ugonjwa wa Gout/Acute Gouty Arthritis ni Wachaga?

    Najua Sasa macho na masikio yote Ni Corona, nikaona Leo nizungumzie huu ugonjwa wa Gout, ambao nasikia Ni kukakamaa kwa joints na maymiv ya Sina flani ya misuli inayopelekea kushindwa kutembea vizuri na mikono pia kupata shida ya kukunjika. Wanasema ugonjwa huu unasababishwa na acid flani...
Back
Top Bottom