Za mda huu wadau,
Nimekuwa nikijiuliza sana kuhusu wajibu wa wabunge wetu wa CCM, Pale wanapoamua kuwa upande wa Serikali asilimia mia moja hali wao ni fimbo ya Serikali.
Unakuta mbunge anasifia serikali kuliko hata anavyomsifia mwezi wake au mtoto wake anapofanya vizuri.
Ikumbukwe Tanzania...
1. Serikali imezifunga skuli zote za maandalizi, msingi, sekondari, vyuo Vikuu pamoja na madrasa
2. Ndege za kutoka Italia na sehemu nyengine zenye maambukizi ya Corona zimezuiwa
3. Serikali imezuia mikusanyiko inayokutanisha watu wengi kwa wakati mmoja ikiwemo mikutano, makongamano...
Dunia nzima sasa ni kama imesima kwa sababu ya hofu ya kirusi cha Corona.
Watu hawaendi makazini. Shule zimefungwa. Michezo imesitishwa. Matamasha hakuna. Mikusanyiko marufuku. Madukani kuna uhaba wa baadhi ya bidhaa hadi watu wanatwangana ngumi wakigombea makaratasi ya chooni.
Eti yote hayo...
Mh. Rais awasihi wafanyakaz wazidi kuchapa kazi katika kipindi ambacho dunia inapitia kipindi kigumu cha kupambana na Covid19
........
Sent using Jamii Forums mobile app
Leader and founder of The Synagogue Church of All Nations Temitope Balogun Joshua, commonly referred to as T. B. Joshua would never stop at anything to see the deadly coronavirus completely defeated.
Since...
Mkuu wa mkoa wa Arusha mh Mrisho Gambo amesema mazishi yoyote yatakayofanyika mkoani Arusha yatahudhuriwa na watu wasiozidi 10 hata kama marehemu hajafa kwa ugonjwa wa Corona.
Gambo amesema mkoa umechukua hatua hiyo ili kudhibiti misongamano ya watu katika kipindi hiki cha janga hili la Corona...
Nauliza hili swali sababu kama wananchi tunataka kufahamu ukweli juu ya hili janga. Tunataka waziri wa afya, au msemaji mkuu wa serikali kila siku awe anatoa taarifa zilizo rasmi.
Mbona nchi za wenzetu ambazo zimekumbwa na hili janga kila siku lazima watoe taarifa rasmi kuhusu...
Mmeshakuwa Watu wazima sasa na siyo kila Kitu hadi mtafuniwe na muwekwe wazi bali mkibahatika tu kukutana na hii Misamiati mikubwa Miwili iliyoanza Kuzoeleka na Kutumika kuwahabarisha Watanzania kuhusu Kifo cha Marehemu au Sababu ya Kifo chake tafadhali hebu muwe mnaelewa haraka.
Misamiati...
Kila mtu sasa hivi amechanganyikiwa, watu wanaishi kwa hofu maana elimu au taarifa kuhusu huu ugonjwa zinachanganya.
Mimi binafsi nilitarajia kuwa hata kila baada ya saa moja anakuja mtaalamu wa wizara ya afya na kutoa elimu juu ya huu ugonjwa kwenye Tv. Mfano mmoja tu ni kwenye kuvaa mask ni...
Najaribu kuangalia visa vya ugonjwa wa Corona katika Biblia takatifu na njia zilizotumika kuudhibiti zama hizo.
Ugonjwa wa ukoma ulihesabiwa kama ni laana " fulani" hivyo waathirika walitengwa na jamii ili wajipatie utakaso na kuweza kupona na kuirudia jamii tena. Zama hizo hapakuwepo chanjo...
Virusi vya corona: WHO ilijua kuhusu virusi vya corona miaka miwili iliopita
Ugonjwa uliopewa jina X ulisemekana kuwa na hatari na huenda ungelisababisha janga la kimataifa
Mnamo mwezi februari 2018, kundi la wataalam wa shirika la Afya duniani WHO lilichapisha orodha ya magonjwa ambayo...
Kirusi cha korona (Corona virus), ni kimelea chenye gamba na kutunza vinasaba vyake katika malighafi za RNA. Corona virus ni kisababishi cha magonjwa mbalimbali na vimelea hivyo vina makabila mbalimbali. Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus) - JamiiForums
COVID-19-...
Tafiti mbalimbali zinaonesha kuwa virusi vinavyosababisha ugonjwa wa COVID-19 (SARS Cov 2) na vile vinavyosababisha ugonjwa wa Ukimwi (HIV) vinafanana katika mifumo vinayoiathiri na pia tabia zake.
1. Virusi vya HIV vina Ribonucleic acid(RNA) halikadhalika virusi vya Corona vina RNA.
2...
Nimejaribu kusoma andiko lililiochapishwa na shirika la Afya Duniani lililochapishwa tarehe 4/4/2020 likitoa maelekezo juu ya janga la COVID-19 na Tuberculosis (TB).
Andiko hili linasisitiza Serikali kutoacha kudhibiti Ugonjwa wa TB unaoenezwa na bacteria na kuathiri mfumo wa upumuaji kwa...
MCHEKESHAJI Pierre Liquid maarufu kwa vibwagizo vya kama utabaki kileleni, mama nakufaa, amekutwa na corona.
Akizungumza leo Jumapili na Mwanaspoti, Pierre ambaye jina lake ni Peter Mollel, amesema amebaini kukutwa na ugonjwa huo juzi.
Akizungumza kwa njia ya simu Pierre amesema kwa sasa yupo...
Wakati serikali ikiwahimiza wananchi wake kupunguza mikusanyiko na safari zisizo za lazima ikiwa ni pamoja na kuzifunga shule zote na vyuo vyote nchi nzima kwa lengo la kupunguza athari za kusambaa kwa Virusi vya CORONA, imebainika hali ni tofauti huko mkoani Tanga kwani katibu Tawala wa mkoa...
Mimi binafsi sio mtaalamu wa mambo ya afya,ila kidogo napenda kusikiliza ushauri hasa wa wataalamu.
Tokea janga hili baya la ugonjwa wa Covid -19 kulipuka nimekuwa nikishinda katika luninga na kuangalia ushauri wa wataalamu wa afya jinsi ya kukabiliana na ugonjwa huu.
Mfano Cnn mara nyingi...
Leo ndiyo siku ya kwanza ambayo Rais Magufuli amewaomba viongozi wa dini nchini kote pamoja na waumini wao, wamliiie Mungu wetu ili atuondolee na autokomeze kabisa ugonjwa huu hatari wa Corona unaosumbua duniani kote
Wito huo sisi waumini wa dini mbalimbali tunaupokea kwa moyo mkunjufu na...
Rais wa TEC baba Askofu Nyaisonga ambaye pia ni askofu wa Dayosisi ya Mbeya amesema katika kupambana na maambukizi ya Covid 19 wanasitisha Huduma za sakramenti ya ubatizo na ile ya Ndoa.
Baba askofu amesema Huduma hizo zitarejea tena kama kawaida pale ugonjwa huo utakapokuwa umedhibitiwa.
Baba...
Najua Sasa macho na masikio yote Ni Corona, nikaona Leo nizungumzie huu ugonjwa wa Gout, ambao nasikia Ni kukakamaa kwa joints na maymiv ya Sina flani ya misuli inayopelekea kushindwa kutembea vizuri na mikono pia kupata shida ya kukunjika.
Wanasema ugonjwa huu unasababishwa na acid flani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.