The Sheriff
JF-Expert Member
- Oct 10, 2019
- 617
- 1,799
Waanze kutupatia matokeo ya chanjo kule Marekani tujue je wale waliopatiwa maambukizi kwao yamekoma?Corona inaua sio utani, rafiki kafariki tumemzika mchana, kaanza kuumwa asubuhi shida kupumua mchana kafariki saa tisa tumetoka kumzika, nilivyoona ile misafara ya Coaster inayosindikiza marehemu wao mikoani sina hamu kabisa.
Tuombe Mungu kifo hakina mjuajiSoon wote Tutakaa mguu SAWA. hii VANGAVANGA haina mbabe.
Sijui unaandika haya ukiwa wapi, inawezekana umejifungia ndani hujui chochote kinachotokea mtaa wa pili, kwa taarifa yako mkiendekeza hizi taarabu Corona itapokuja kupiga hapo sebuleni kwako ndio utapata akili, now unaisikia kwa majirani ndio maana unaleta utani, na usiombe iwatembelee ndani kwasababu haiondoki na mmoja.Hebu watupumzishe!!! Wameshindwa kuzuia vifo100 vya kupigwa risasi kila siku halafu hapa wanataka kutuongopea wanajali uhai wetuwetu
Tuko zetu busy na kazi huku tukichukua tahadhari na kumwomba Mungu sana.
Kauli za kipuuzi kama hizi muda tu ZITAFUTIKAWaanze kutupatia matokeo ya chanjo kule Marekani tujue je wale waliopatiwa maambukizi kwao yamekoma?
Naandika nikiwa hospitali nauguza.... kama wewe unaweza kuzuia corona Mungu aendelee kukupigania.Sijui unaandika haya ukiwa wapi, inawezekana umejifungia ndani hujui chochote kinachotokea mtaa wa pili, kwa taarifa yako mkiendekeza hizi taarabu Corona itapokuja kupiga hapo sebleni kwako ndio utapata akili, now unaisikia kwa majirani ndio maana unaleta utani, na usiombe iwatembelee ndani kwasababu haiondoki na mmoja.
Hata watoa vitisho pia sio muda watafutikaKauli za kipuuzi kama hizi muda tu ZITAFUTIKA
Wamekupa nini hadi unawa-asante😂😂😂Asanteni wazungu
Kwa kauli zako hapo juu tayari wewe ni mjuaji labda kama hujui maana ya ujuaji. Ubalozi umetoa tahadhari kwa watu wao, wewe kwa ujuaji wako unajifanya kukosoa andiko lisilokuhusu. Wewe endelea na kazi kama unavyojigamba na hutishwi na chochote.Tuombe Mungu kifo hakina mjuaji