Waraka: Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) latoa tahadhari kuhusu ugonjwa wa Corona nchini

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
656F11EB-5518-4CB8-AD3A-6171644E6662.jpeg

B53E8687-8B47-490A-B6A9-46A4D44DA1A9.jpeg
 
Afadhali sasa sauti zinaanza kupazwa toka kila kona, tuache kuishi kwa kudanganyana kama watoto, kila mmoja popote alipo achukue tahadhari kwa kujilinda yeye na awapendao, Corona ipo na inaua.

Inawezekana kifo cha Padre huko Kagera ndio kimewasukuma TEC kutoa hili tamko, wameona ukimya ungezidi kutuangamiza.
 
Back
Top Bottom