Mabibi na mabwana tumwogope mola aliyetuumba sisi na wote wanaoitwa binadamu. Misahafu ya kikristo inatambua:
"Kumpenda jirani yako kama nafsi yako."
kuwa ndiyo amri iliyo kuu.
Hivi tutajibu nini Akhera sisi kwa udhalimu tunaowatendea wengine?
Leo tumefikia mahali pa kutumia nguvu kuhalalisha vifo vya wengine hata kama vinatokana na ugonjwa huu. Kutumia ulaghai kuhakikisha kujivua uwajibikaji wowote kwa wahanga hata kama majukumu yetu ya kwanza kabisa yalikuwa ni kuwahami wengine na dharura kama hizi.
Leo hii pana makada wa vyama fulani wanataka kutuaminisha kuwa eti wao ndiyo walio waumini wazuri zaidi kuliko hata viongozi wa madhehebu waliko wao kiimani.
Itamwingia vipi akilini mtu awaye yote ya kuwa yupo mtu angependa kutuaminisha ya kuwa yeye ni mkatoloki zaidi ya mapadre, maparoko, maaskofu na kuliko hata Papa huko Roman kwenyewe?
Jamani tuna mafikira ya kuwa watanzania watakuwa ni majuha kiasi hicho kweli?
Leo hii kuna makada wanataka kujifanya ni wa maana mno kuliko hata kina Bill Gates. Wakijishasha na vi propaganda uchwara visivyo na mashiko kuwa wao ni bora zaidi. Kwa lipi hilo jema ambalo majuha hawa waliloifanyia jamii ipi?
Ni vizuri makada uchwara hawa wakajua kina Bill Gates wameifanyia mema sana dunia hii na katu hata 0.1% yake wao hawataweza.
Jitihada za kina Gates kuisukuma mbele dunia hii kiteknologia yahitaji zezeta kutokuzifahamu.
Jitihada za kina Gates kupigana na maradhi ambayo hata kwao yalikuwa wala si issue; duniani kote, hazina kipimo.
Hivi makada hawa ambao hata kodi tu hapa nyumbani wengi wao hawalipi au zilizostahiki hawalipi, wanadhani nani aliyeelimika hata kidogo tu anaweza kuununua ulaghai uchwara wao huu?
Label za Chanjo za corona zilizoelekezwa Africa kwa kutambua ufadhili uliomo ili kutuwezesha na kina sisi kutufikia, eti imekuwa nayo ni agenda yao nyingine ya upotoshaji.
Hivi mbona umeme wa REA ni mahsusi vijijini kwa gharama za kuunganishwa na hata tarrifs?
Makada hawa wanataka leo kutuamimisha kuwa Hakuna usawa kwenye chanjo hii. Vinginevyo eti basi sisi tupewe zenye label ya Ulaya na Marekani na zile zenye ya Africa iende huko! 😂😂😂😂!
Ikumbukwe makada hawa na kina sisi tukiwamo wala hatuna mchango wowote katika utengezwaji na hata upatikanaji wa chanjo hiyo. Si kwa utaalamu wala kwa mchango wowote. Yaani ni mitoto mikaidi tu.
Yaani ni sawa na wale wajuaji wa vijijini kuukataa umeme wa REA kigharama na ki-tariff. Watake ule wa mjini na huu wa REA uende huko mijini. Ebooo! Hii ni akili au ni yale mananihii?
Haya si ndiyo maajabu ya Mussa mwenyewe basi?
Leo mataga wanadai mh. Rais kaeleweka, kuwa corona ipo ila tuchukue tahadhari. Jambo la kheri kabisa. Tuvae barakoa, tunawe na maji tiririka tuepuke misongamano. Wazee wabakie ndani:
Kwamba ghafla Magufuli si m-bia wa afya zetu! Tumwogopeni mola enyi kina mzee mwanakijiji. Kuweni japo hata na aibu kidogo hata kama utu nao hamna.
Wana thubutu kusema ukitemgemea Magufuli kuhusu huu ugonjwa, wafa na itakuwa imekula kwako na wapendwa wako.
Cha kujiuliza huyu Magufuli hana wajibu wowote kwenye hili?
Hao wanaoepuka misongamano, uchumi wao unakuwa je ukizingatia kodi zinaongezwa viwango na hata kwa wigo kila uchao?
Vipi kuhusu miradi ya serikali? Hiyo iko pale pale? Inaendelea tu?
Hivi, kweli tunauguliwa katika familia. Utekelezaji wa miradi ya maendeleo ikiwamo kama ujenzi wa nyumba mpya unaendelea tu? Aaaah Wapi!
Au hata je, serikali inaitambua dharura hii na athari zake kwetu?
Haya yakiendelea, pia wakijifanya kuwa ni wasemaji wakuu wa kuihusu hii chanjo, hali wao labda kwa kujua au kutojua si sehemu ya wanaoihitaji chanjo hii kwa sasa:
Ninawasilisha.
"Kumpenda jirani yako kama nafsi yako."
kuwa ndiyo amri iliyo kuu.
Hivi tutajibu nini Akhera sisi kwa udhalimu tunaowatendea wengine?
Leo tumefikia mahali pa kutumia nguvu kuhalalisha vifo vya wengine hata kama vinatokana na ugonjwa huu. Kutumia ulaghai kuhakikisha kujivua uwajibikaji wowote kwa wahanga hata kama majukumu yetu ya kwanza kabisa yalikuwa ni kuwahami wengine na dharura kama hizi.
Leo hii pana makada wa vyama fulani wanataka kutuaminisha kuwa eti wao ndiyo walio waumini wazuri zaidi kuliko hata viongozi wa madhehebu waliko wao kiimani.
Itamwingia vipi akilini mtu awaye yote ya kuwa yupo mtu angependa kutuaminisha ya kuwa yeye ni mkatoloki zaidi ya mapadre, maparoko, maaskofu na kuliko hata Papa huko Roman kwenyewe?
Jamani tuna mafikira ya kuwa watanzania watakuwa ni majuha kiasi hicho kweli?
Leo hii kuna makada wanataka kujifanya ni wa maana mno kuliko hata kina Bill Gates. Wakijishasha na vi propaganda uchwara visivyo na mashiko kuwa wao ni bora zaidi. Kwa lipi hilo jema ambalo majuha hawa waliloifanyia jamii ipi?
Ni vizuri makada uchwara hawa wakajua kina Bill Gates wameifanyia mema sana dunia hii na katu hata 0.1% yake wao hawataweza.
Jitihada za kina Gates kuisukuma mbele dunia hii kiteknologia yahitaji zezeta kutokuzifahamu.
Jitihada za kina Gates kupigana na maradhi ambayo hata kwao yalikuwa wala si issue; duniani kote, hazina kipimo.
Hivi makada hawa ambao hata kodi tu hapa nyumbani wengi wao hawalipi au zilizostahiki hawalipi, wanadhani nani aliyeelimika hata kidogo tu anaweza kuununua ulaghai uchwara wao huu?
Label za Chanjo za corona zilizoelekezwa Africa kwa kutambua ufadhili uliomo ili kutuwezesha na kina sisi kutufikia, eti imekuwa nayo ni agenda yao nyingine ya upotoshaji.
Hivi mbona umeme wa REA ni mahsusi vijijini kwa gharama za kuunganishwa na hata tarrifs?
Makada hawa wanataka leo kutuamimisha kuwa Hakuna usawa kwenye chanjo hii. Vinginevyo eti basi sisi tupewe zenye label ya Ulaya na Marekani na zile zenye ya Africa iende huko! 😂😂😂😂!
Ikumbukwe makada hawa na kina sisi tukiwamo wala hatuna mchango wowote katika utengezwaji na hata upatikanaji wa chanjo hiyo. Si kwa utaalamu wala kwa mchango wowote. Yaani ni mitoto mikaidi tu.
Yaani ni sawa na wale wajuaji wa vijijini kuukataa umeme wa REA kigharama na ki-tariff. Watake ule wa mjini na huu wa REA uende huko mijini. Ebooo! Hii ni akili au ni yale mananihii?
Haya si ndiyo maajabu ya Mussa mwenyewe basi?
Leo mataga wanadai mh. Rais kaeleweka, kuwa corona ipo ila tuchukue tahadhari. Jambo la kheri kabisa. Tuvae barakoa, tunawe na maji tiririka tuepuke misongamano. Wazee wabakie ndani:
Swali Gomvi: Korona 2.0 kwani Rais Magufuli ni mbia wa maisha yenu?
Go Corona Goooo.....
www.jamiiforums.com
Kwamba ghafla Magufuli si m-bia wa afya zetu! Tumwogopeni mola enyi kina mzee mwanakijiji. Kuweni japo hata na aibu kidogo hata kama utu nao hamna.
Wana thubutu kusema ukitemgemea Magufuli kuhusu huu ugonjwa, wafa na itakuwa imekula kwako na wapendwa wako.
Cha kujiuliza huyu Magufuli hana wajibu wowote kwenye hili?
Hao wanaoepuka misongamano, uchumi wao unakuwa je ukizingatia kodi zinaongezwa viwango na hata kwa wigo kila uchao?
Vipi kuhusu miradi ya serikali? Hiyo iko pale pale? Inaendelea tu?
Hivi, kweli tunauguliwa katika familia. Utekelezaji wa miradi ya maendeleo ikiwamo kama ujenzi wa nyumba mpya unaendelea tu? Aaaah Wapi!
Au hata je, serikali inaitambua dharura hii na athari zake kwetu?
Haya yakiendelea, pia wakijifanya kuwa ni wasemaji wakuu wa kuihusu hii chanjo, hali wao labda kwa kujua au kutojua si sehemu ya wanaoihitaji chanjo hii kwa sasa:
Ikumbukwe: Chanjo ya corona ina umuhimu wa pekee kwa makundi maalumu si kwa watu wote
Mabibi na mabwana katikati ya misukosuko na gonjwa hili lililotukalia vibaya mno hasa sisi wenye migogoro yoyote mingine ya kiafya, wale wenzetu na sisi wenye umri 50+, pia wale wafanyao shughuli zao kwenye mazingira yenye hatari zaidi, kwa hakika ina fikirisha sana. Ikumbukwe kuwa hata huko...
www.jamiiforums.com
Ninawasilisha.