Uchaguzi hasa wa viongozi katika nchi ni utaratibu (mchakato) rasmi unaoendeshwa kwa mujibu wa sheria kuwawezesha wananchi kufanya maamuzi kwa njia ya kuwapigia kura kuwachagua watu ambao wanawataka kuwaongoza kwa kipindi maalum.
Uchaguzi ni utaratibu wa kawaida wa demokrasia wa kuwapata wawakilishi wa kisiasa ambao umekuwa ukitumika tangu karne ya 17. Kuna aina tatu za msingi za uchaguzi zinazotumiwa kuwapata viongozi kulingana na mfumo unaotumiwa na nchi husika.
Aina hizo ni uchaguzi wa Rais, Uchaguzi wa Wabunge na Wawakilishi katika Baraza la Kutunga Sheria na Uchaguzi wa Viongozi wa Serikali za Mitaa.
Vyama vya Siasa kwa upande wao navyo huendesha chaguzi ambazo zinajulikana kwa jina la “Chaguzi wa Msingi” zinazotumika kuwachagua wateuliwa wa vyama katika aina za uchaguzi ambazo zimetajwa hapo juu.
Endapo Tume haitaridhika kabla ya kutangaza matokeo ya uchaguzi kwamba kulikuwa na kutokufuatwa kwa taratibu, matumizi mabaya au ukiukwaji wa taratibu za uchaguzi au pale ambapo kura za wagombea waliopata kura za juu imelingana, Tume itasimamisha au kufuta uchaguzi au sehemu yoyote ya uchaguzi na itatangaza siku nyengine ya kurudiwa kwa uchaguzi huo.
Wananchi ni lazima tujue kwamba katiba ya JMT ndio inayobariki ushindi wa CCM.
Na kiukweli ukiangalia maeneo ambayo upinzani huwa unashinda mara nyingi inakuwa ni ulegelege wa mkurugenzi ambaye ndiye msimamizi wa uchaguzi au huruma tu ya CCM yenyewe.
Ni wale wananchi wapenda mageuzi mkaendelea...
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Jaji mstaafu Hamid Mohamoud Hamid, amesema Tume hiyo haiwezi kubeba lawama kwa wananchi kukosa Vitambulisho vya Mzanzibar mkaazi kwani hiyo sio Mamlaka yake kwa mujibu wa sheria.
Akizungumza na Waandishi wa habari, Ofisi ya Tume ndogo ya Uchaguzi...
Chama cha ACT- Wazalendo kimelalamikia kutozingatiwa kwa maoni ya vyama vya upinzani katika mchakakato wa mabadiliko wa maadili ya uchaguzi katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba mwaka huu.
Akizungumza leo na vyombo vya habari katika ofisi ndogo za chama hicho zilizopo Magomeni...
Taarifa ya Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ndg. Ado Shaibu, leo tarehe 02 Juni 2020.
Chama cha ACT Wazalendo kinasikitishwa na kupinga vikali mwenendo wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuendesha mchakato wa mabadiliko ya Kanuni mbalimbali za Uchaguzi bila kuwashirikisha vya kutosha wadau wa...
Ninaombi kwenye sheria zetu za uchaguzi kipengele kimoja tu kibadilishwe au kiongezwe.
Kwa maoni yangu ningependa iwe hivi Mbunge yeyote " Akijihudhuru au kuhama chama" basi aliyekuwa anafuatia kwenye kura wakati wa uchaguzi Mkuu yaani wa pili aapishwe ili kuchukua nafasi iliyoachwa wazi...
Habarini wanajamvi. Baada ya salamu nije kwenye mada.
Wote tunajua kuwa tunaenda kwenye uchaguzi mkuu. Msimu huu rushwa hutembea kifua mbele kana kwamba rushwa ni halali 🤔
Mkoani Njombe jimbo la Njombe Mjini kuna mtia nia mmoja ameruhusu viongozi wa chama (CCM) kufanyia kikao kwenye madarasa...
USA ubaguzi wa rangi na matendo ya kinyanyasaji yalizidi sana. Mpaka leo bado kuna Miji inatangaza maandamano. Nimeona waandamanaji wanaokuwa tayari kugongwa hata na magari ili wafe kwa ajili ya uchungu wa manyanyaso hadi kifo ya mpendwa wao George Floyd.
CCM yangu inaingia kwenye Uchaguzi...
Salaam Wakuu,
Kuelekea Uchaguzi mkuu, Wanasiasa wamekuwa wakivalia nguo za vyama na kisha kuzunguka huku na huku kutoa Zawadi na kudaiwa kwamba wanatimiza ahadi walizozitoa 2015.
Na hii imekuwa na pande mbili:
1). Anayetoa Msaada kama sio Mbunge au kiongozi yoyote wa Kuchaguliwa huwa...
Ukiniuliza swali hili; Je, ungependa Tundu A. M. Lissu awe mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA katika uchaguzi mkuu wa 2020?
Hakika jibu langu haraka haraka na pasipo kupepesa macho huku nikitabasamu, ningekujibu tu....YES, HUYU NDIYE...!!
Huyu ndiye si kwa sababu kina Zitto Z.R. Kabwe...
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, amewataka baadhi ya wananchi ambao ni washtakiwa au wafungwa wanaopata msamaha wa Rais kutoka gerezani, kuacha kujiingiza katika matukio ya uhalifu jambo ambalo nikinyume na sheria za nchi.
“Tunataka uchaguzi wa mwaka huu uwe ‘credible’ tunataka...
Tanzania inatarajiwa kufanya uchaguzi mkuu mwaka huu 2020 mwezi October.
Chama tawala CCM chini ya Rais Magufuli inamaliza muda wake wa miaka mitano.Serekali ya awamu ya tano imefanya mambo mengi mazuri katika kipindi chake cha miaka mitano,lakini pia yapo mambo mengi imekosea mojawapo kubwa ni...
Tukijilinganisha sisi na wakenya ktk maeneo mengi tunakuta wakenya wametutangulia kwa kuonyesha dhamira njema katika kila jambo.
Mathalan tukilinganisha katiba ya Kenya na ya Tanzania utagundua dhamira njema iliopo katik katiba ya Kenya katika kuwaunganisha raia wake. Huku ya ya Tanzania...
Wakuu tumebakiwa na mda mchache kabla ya kipyenga cha uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kupulizwa, Tumeshuhudia CHADEMA ikigawanyika katika vipande vipande na kusababisha vijana makini waliowanoa kwa miaka mingi kukihama chama hiki.
CHADEMA iliundwa na Vijana makini waliokua wamejengeka kisiasa na...
Chama kikuu cha upinzani hapa nchini kwetu kinaweweseka kisiasa.
Kimekuwa hakina muelekeo na kama ni mashua inazama baharini.
Wamekuwa ni watu wa kutafuta ishu au tukio ili wajiokoe kisiasa kakini wanakwama.
Sasa hivi wamebadili gia angani kama ilivyokawaida yao wanasema eti tume ya uchaguzi...
Shamrashamra zimeshaanza hapa Manzese tawi la Kosovo. Inasemekana Mh Lwakatare yuko maeneo ya Kibaha kwa sasa.
Watu wako kwenye ari kubwa sana.
===
CUF yaeleza itakavyomtumia Lwakatare kuiangamiza Chadema
CHAMA cha Wananchi (CUF) nchini Tanzania kimesema...
Huu ndio msimamo wangu. Sababu ipo wazi kabisa, sioni namna hata dalili kipande kwamba uchaguzi mkuu utakuwa huru na haki.Kama unaiona nionyeshe.
Kibaya zaidi serikali ya awamu ya tano imejipambanua kwa vitendo kutokufuata misingi ya kidemokrasia na hata sheria iliyojiwekea. Mnataka wafanye...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza
Je, uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu, ndugu Zitto sheria za uchaguzi zinamruhusu kugombea nafasi yoyote, mfano nafasi ya ubunge nk?
Tumebakiza muda mfupi sana bunge kuvunjwa na kwenda kwenye ungwe nyingine ya hiena hiena.
Wengi tunajua Musa aliwavuja Israel bahari ya Shamu, na baadae Joshua akawavusha mto Jordan ili kuingia nchi ya ahadi. Sina shaka na ushindi wa Rais; ila kwa wabunge ambao baadhi yao ndiyo wanakuja kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.