Sophist
Platinum Member
- Mar 26, 2009
- 4,484
- 3,400
Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020, ninawashauri wapinzani kutumia Kauli-Mbiu moja hata kama kila chama kinashindana kivya-vyake. Ni kwa njia hii upinzania utaweza kuichinjia CCM baharini ki-mkakati.
Ninawashauri kuchagua Kauli-Mbiu inayoelekea kufanana na hii:
Ondoa Balaa [la udikiteita], [Ruhusu] Imarisha Demokrasia, [Ruhusu] Imarisha Maendeleo ya Watu [siyo vitu].....Chagua...[jina la mgombea Uraia/Ubunge/Udiwani].
AU
Ondoa Balaa [la udikiteita] Nchini/jimboni/kwenye kata...[Ruhusu] Imarisha Demokrasia Nchini/jimboni/kwenye kata.....[Ruhusu] Imarisha Maendeleo ya Watu [siyo vitu] nchini/jimboni/kwenye kata.... Chagua... [jina la mgombea Urais, Ubunge/Udiwani].
Jaribuni italipa
Ninawashauri kuchagua Kauli-Mbiu inayoelekea kufanana na hii:
Ondoa Balaa [la udikiteita], [Ruhusu] Imarisha Demokrasia, [Ruhusu] Imarisha Maendeleo ya Watu [siyo vitu].....Chagua...[jina la mgombea Uraia/Ubunge/Udiwani].
AU
Ondoa Balaa [la udikiteita] Nchini/jimboni/kwenye kata...[Ruhusu] Imarisha Demokrasia Nchini/jimboni/kwenye kata.....[Ruhusu] Imarisha Maendeleo ya Watu [siyo vitu] nchini/jimboni/kwenye kata.... Chagua... [jina la mgombea Urais, Ubunge/Udiwani].
Jaribuni italipa