Uchaguzi 2020 Chonde chonde upinzani, uchaguzi huu msiazime wagombea

Benmpo

JF-Expert Member
Mar 23, 2015
450
424
Mwaka 2015 Chadema iliazima mgombea kutoka chama tawala ikitarajia kushinda kwa kishindo, matokeo yake wote tunayafahamu waliangukia pua. Baadaye mgombea huyo aliwatelekeza na kurudi nyumbani kwake, wakashindwa kumchafua kama wanavyofanya kwa watu wengine wanaokihama chama hicho kwa sababu walikuwa wameshatumia nguvu kubwa kuutangazia umma kuwa jamaa alikuwa clean; in short waligeuka mabubu kwake.

2020 hiyo, CDM wanaonekana kuuanza mchakato wa kutafuta wagombea mapema kabisa. Script iliyochezwa na CDM mwaka ule wa 2015, inaonekana kutumiwa na ACT-Wazalendo wakitarajia matokeo tofauti.

Niwakumbushe ACT-Wazalendo kuwa mwaka 2015, Watanzania wengi walitaka mabadiliko, lakini hawakutaka ahadi za baadhi ya watia nia kwa wakati huo kuwa wangeweza kuleta mabadiliko hayo. Yalitokea makundi makubwa manne ambayo ni Neutrals, Team Lowassa, Team Membe, na Upinzani. Team Membe ilionekana kukosa mvuto kwa kiasi kikubwa kwani BM hakuwa na mvuto kabisa kwa wapiga kura. Ili kuepuka mpasuko ndani ya chama, CCM walimweka Mgombea anayeweza kuleta mabadiliko hayo na ambaye hakuwa na makundi yoyote ndani ya chama, huyo ni JPM.

Matumaini mapya yaliibuka, kwani JPM alijipatia wafuasi wengi kutoka katika team hizo kwa sababu alikuwa na record nzuri ya utendaji kwenye Wizara alizoziongoza. Na mia misimamo yake katika utendaji ilifahamika wazi, na ni moja kati ya sifa ambazo tulikuwa tukitaka Rais ajaye awe nazo.

Edo aliporejea CCM, ndipo CDM ilipoanza kuzikwa rasmi. Hata wanachama kindakindaki wa CDM walionekana kuvunjwa mioyo na kitendo hicho wakidai kuwa hawakufurahishwa na kitendo cha viongozi wa CDM kuwaletea mgombea aliyeazimwa kutoka nyumba ya pili. Edo hakuhama CDM peke yake, bali wimbi kubwa la viongozi wa CDM kama Wabunge na madiwani lilimfuata.

Kuna kila dalili kuwa ACT-Wazalendo nao wanataka kucheza mchezo kama huo. Lakini wakumbuke kuwa Edo alikuja huko baada ya mfumo wa chama chake kuona kuwa hafai kupeperusha bendera yake. Hivyo iwapo ACT-Wazalendo nao watamchukua mtu ambaye mfumo wa CCM unamuona kuwa hafai, basi watarajie kupotea kama ambavyo CDM inapoteza mvuto kwa wapiga kura.

Ni vema vyama vikawaamini wanachama wao walioshiriki kuvijenga vyama hivyo katika nyakati za taabu na raha, kwa ndio wenye uchungu halisi na vyama hivyo. Tamaa za muda mfupi na ubinafsi ndio unao vipoteza vyama vingi vya siasa.

Chonde chonde Upinzani, acheni kuazima wagombea kutoka kwa washindani wenu. Siku wakiamua kurudi nyumbani kwao mtapotea mazima, kwani huko kimsingi ndiko ambako rekodi zao za utendaji ndani ya chama zipo. Msitarajie kuwa watadumu kwenu milele.
 
siasa ni mchezo kama michezo mingine kuna muda unabidi ujitoe ufahamu ili kumsurubisha yesu wa bongo
 
Mgombea ni kama mke, haazimwi siku akiazimwa ipo siku pia ya kurudi kwa bwana wake hivyo wapinzani jifunzeni kwa EL nilimpa kura yangu 2015 kumbe alikuwa kaazimwa yaani mpaka leo sina hamu ya kujiandikisha kupiga kura wakati nayempigia kura kaazimwa
 
Mwaka 2015 Chadema iliazima mgombea kutoka chama tawala ikitarajia kushinda kwa kishindo, matokeo yake wote tunayafahamu waliangukia pua. Baadaye mgombea huyo aliwatelekeza na kurudi nyumbani kwake, wakashindwa kumchafua kama wanavyofanya kwa watu wengine wanaokihama chama hicho kwa sababu walikuwa wameshatumia nguvu kubwa kuutangazia umma kuwa jamaa alikuwa clean; in short waligeuka mabubu kwake.

2020 hiyo, CDM wanaonekana kuuanza mchakato wa kutafuta wagombea mapema kabisa. Script iliyochezwa na CDM mwaka ule wa 2015, inaonekana kutumiwa na ACT-Wazalendo wakitarajia matokeo tofauti.

Niwakumbushe ACT-Wazalendo kuwa mwaka 2015, Watanzania wengi walitaka mabadiliko, lakini hawakutaka ahadi za baadhi ya watia nia kwa wakati huo kuwa wangeweza kuleta mabadiliko hayo. Yalitokea makundi makubwa manne ambayo ni Neutrals, Team Lowassa, Team Membe, na Upinzani. Team Membe ilionekana kukosa mvuto kwa kiasi kikubwa kwani BM hakuwa na mvuto kabisa kwa wapiga kura. Ili kuepuka mpasuko ndani ya chama, CCM walimweka Mgombea anayeweza kuleta mabadiliko hayo na ambaye hakuwa na makundi yoyote ndani ya chama, huyo ni JPM.

Matumaini mapya yaliibuka, kwani JPM alijipatia wafuasi wengi kutoka katika team hizo kwa sababu alikuwa na record nzuri ya utendaji kwenye Wizara alizoziongoza. Na mia misimamo yake katika utendaji ilifahamika wazi, na ni moja kati ya sifa ambazo tulikuwa tukitaka Rais ajaye awe nazo.

Edo aliporejea CCM, ndipo CDM ilipoanza kuzikwa rasmi. Hata wanachama kindakindaki wa CDM walionekana kuvunjwa mioyo na kitendo hicho wakidai kuwa hawakufurahishwa na kitendo cha viongozi wa CDM kuwaletea mgombea aliyeazimwa kutoka nyumba ya pili. Edo hakuhama CDM peke yake, bali wimbi kubwa la viongozi wa CDM kama Wabunge na madiwani lilimfuata.

Kuna kila dalili kuwa ACT-Wazalendo nao wanataka kucheza mchezo kama huo. Lakini wakumbuke kuwa Edo alikuja huko baada ya mfumo wa chama chake kuona kuwa hafai kupeperusha bendera yake. Hivyo iwapo ACT-Wazalendo nao watamchukua mtu ambaye mfumo wa CCM unamuona kuwa hafai, basi watarajie kupotea kama ambavyo CDM inapoteza mvuto kwa wapiga kura.

Ni vema vyama vikawaamini wanachama wao walioshiriki kuvijenga vyama hivyo katika nyakati za taabu na raha, kwa ndio wenye uchungu halisi na vyama hivyo. Tamaa za muda mfupi na ubinafsi ndio unao vipoteza vyama vingi vya siasa.

Chonde chonde Upinzani, acheni kuazima wagombea kutoka kwa washindani wenu. Siku wakiamua kurudi nyumbani kwao mtapotea mazima, kwani huko kimsingi ndiko ambako rekodi zao za utendaji ndani ya chama zipo. Msitarajie kuwa watadumu kwenu milele.

Tatizo la ushauri huu mkuu, ni kuwa unashabihiana sana na wa jiwe na washirika wake kwa upinzani.

Labda wako ni tofauti mkuu, Ila huu wa jiwe, haimchukuu mtu muda sana kutambua kuwa kimsingi ni machozi mamba!
 
Mgombea ni kama mke, haazimwi siku akiazimwa ipo siku pia ya kurudi kwa bwana wake hivyo wapinzani jifunzeni kwa EL nilimpa kura yangu 2015 kumbe alikuwa kaazimwa yaani mpaka leo sina hamu ya kujiandikisha kupiga kura wakati nayempigia kura kaazimwa

Zitto ameshamkaribisha Membe, ngoma inogile
 
Mwaka 2015 Chadema iliazima mgombea kutoka chama tawala ikitarajia kushinda kwa kishindo, matokeo yake wote tunayafahamu waliangukia pua. Baadaye mgombea huyo aliwatelekeza na kurudi nyumbani kwake, wakashindwa kumchafua kama wanavyofanya kwa watu wengine wanaokihama chama hicho kwa sababu walikuwa wameshatumia nguvu kubwa kuutangazia umma kuwa jamaa alikuwa clean; in short waligeuka mabubu kwake.

2020 hiyo, CDM wanaonekana kuuanza mchakato wa kutafuta wagombea mapema kabisa. Script iliyochezwa na CDM mwaka ule wa 2015, inaonekana kutumiwa na ACT-Wazalendo wakitarajia matokeo tofauti.

Niwakumbushe ACT-Wazalendo kuwa mwaka 2015, Watanzania wengi walitaka mabadiliko, lakini hawakutaka ahadi za baadhi ya watia nia kwa wakati huo kuwa wangeweza kuleta mabadiliko hayo. Yalitokea makundi makubwa manne ambayo ni Neutrals, Team Lowassa, Team Membe, na Upinzani. Team Membe ilionekana kukosa mvuto kwa kiasi kikubwa kwani BM hakuwa na mvuto kabisa kwa wapiga kura. Ili kuepuka mpasuko ndani ya chama, CCM walimweka Mgombea anayeweza kuleta mabadiliko hayo na ambaye hakuwa na makundi yoyote ndani ya chama, huyo ni JPM.

Matumaini mapya yaliibuka, kwani JPM alijipatia wafuasi wengi kutoka katika team hizo kwa sababu alikuwa na record nzuri ya utendaji kwenye Wizara alizoziongoza. Na mia misimamo yake katika utendaji ilifahamika wazi, na ni moja kati ya sifa ambazo tulikuwa tukitaka Rais ajaye awe nazo.

Edo aliporejea CCM, ndipo CDM ilipoanza kuzikwa rasmi. Hata wanachama kindakindaki wa CDM walionekana kuvunjwa mioyo na kitendo hicho wakidai kuwa hawakufurahishwa na kitendo cha viongozi wa CDM kuwaletea mgombea aliyeazimwa kutoka nyumba ya pili. Edo hakuhama CDM peke yake, bali wimbi kubwa la viongozi wa CDM kama Wabunge na madiwani lilimfuata.

Kuna kila dalili kuwa ACT-Wazalendo nao wanataka kucheza mchezo kama huo. Lakini wakumbuke kuwa Edo alikuja huko baada ya mfumo wa chama chake kuona kuwa hafai kupeperusha bendera yake. Hivyo iwapo ACT-Wazalendo nao watamchukua mtu ambaye mfumo wa CCM unamuona kuwa hafai, basi watarajie kupotea kama ambavyo CDM inapoteza mvuto kwa wapiga kura.

Ni vema vyama vikawaamini wanachama wao walioshiriki kuvijenga vyama hivyo katika nyakati za taabu na raha, kwa ndio wenye uchungu halisi na vyama hivyo. Tamaa za muda mfupi na ubinafsi ndio unao vipoteza vyama vingi vya siasa.

Chonde chonde Upinzani, acheni kuazima wagombea kutoka kwa washindani wenu. Siku wakiamua kurudi nyumbani kwao mtapotea mazima, kwani huko kimsingi ndiko ambako rekodi zao za utendaji ndani ya chama zipo. Msitarajie kuwa watadumu kwenu milele.
Uchaguzi huu is not about chama, uchaguzi huu ni Taifa vs gurupu dogo linalofaidika kwenye huu mfumo. Haijalishi wewe ni chama gani, uwe CCM, CDM,ACT n.k
Tukubali au tukatae kuna watu wanaonufaika na huu mfumo kandamizi, na kwa kweli wanofaidika sio wale walio CCM peke yao bali kuna wengi wanaojiita wapinzani pia.
Kwa hio nakataa hoja ya mtu kama Membe kutoruhusiwa kugombea kupitia upinzani. Ikiwa Membe ana nia ya kuwa kiongozi kwa maslahi ya taifa hili..,why not?
Ni wapinzani wangapi waliotuaminisha kwamba wao wako upande wa haki na wakatumia mgongo wetu kujipaisha kisiasa na kisha kusaliti?
Nasema tena uchaguzi huu si wa chama na chama bali ni uchaguzi wa wale wabinafsi vs. wale wanaotakia mema taifa.
 
Back
Top Bottom